Nilikuwa sijui, kumbe hata wewe ni mwanaume wa Dar mkuu!!!mkuu, sasa watu wasijifungie ndani ili watobolewe macho? wewe unashauri nini kifanyike?



Wanavamia Mitaa ya walalahoi tu, waje huku Mitaa ya Miande waone cha moto
Mkuu acha masiharaNi kweli. Hili kundi hata sijui limeibukaje wakati Dar ilikuwa imenza kuwa tulivu. Serikali inapaswa kuwapa wananchi mafunzo ya kijeshi na kuwamilikisha silaha kwa ajili ya kujilinda na makundi ya kipuuzi kama hili la Panya Road.
uwape wananchi mafunzo ya kijeshi na silaha za kujilindia ili wao wenyewe wageuke waharifuHatutaki waishe ila wakichomwa wawili watatu watatia adabu,hutasikia hzo karaha tena za hivyo vitoto vihuniMtawachoma sana lakini hamtawamaliza.
Hongera Sana kufanikiwa kuishi mbezi BWANAMkuu kwann huku mbezi beach hawaji? Huku si ndio kwa matajiri? Waje hapa tangi bovu kwa chini..tena huku hamna ujirani kila mtu na geti lake? Wakija ni kukata na kuiba tu...kwann wanaiba uswahilini ..? Nawakaribisha mbezi beach....huku kuna wanaume wa dar tu lege lege na watoto wa mama! (Kama wa mkoani wanavyosema)
Glock 17
Berretta
Pump Action
.45 colt
And so forth..
Karibuni tunawasubiri.
Umeshajiuliza kwa nini panya road hawako Masaki, Mikocheni, Mbezi Beach, Oyster Bay,Upanga?Mzunguko mdogo wa hela mitaani ni moja ya kichocheo cha matukio haya.
Kwa mtazamo wangu,hawa ni vijana waliokata tamaa ya maisha na wako tayari kwa lolote kwani wanaona hawana cha kupoteza.