Panya Road wavamia Chamazi

Panya Road wavamia Chamazi

Ni kweli. Hili kundi hata sijui limeibukaje wakati Dar ilikuwa imenza kuwa tulivu. Serikali inapaswa kuwapa wananchi mafunzo ya kijeshi na kuwamilikisha silaha kwa ajili ya kujilinda na makundi ya kipuuzi kama hili la Panya Road.
Mafunzo kutoka wapi? Wakati bajeti ya jkt wasiwasi.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu maskini na wanyonge ndani ya nchi yao.
 
Huku moshi bar ndo wamejaa
Ila wakikamatwa wanachomwa moto,mwez huu wamechomwa moto wawili.mmoja alipigwa had amekata roho hapo hapo.
Sisi sio watu wa mchezo mchezo.
 
Siungi mkono hoja yako, cos ujinga huu ulianza miaka kumi iliyopita
Sasa unashauri nini kifanyike mkuu? Hii serikali sikivu ya CCM ndiyo iliyotufikisha hapa
 
Huku moshi bar ndo wamejaa
Ila wakikamatwa wanachomwa moto,mwez huu wamechomwa moto wawili.mmoja alipigwa had amekata roho hapo hapo.
Sisi sio watu wa mchezo mchezo.
hii safi sana...huko ndiko kwa wanaume....wageche (wakate) kwa mapanga mpaka watie akili. nina hakika huko Ukonga mtu akipiga yowe watu wote huenda kumsaidia kupambana na wavamizi. safi sana!!!!!!!!!!!
 
Wakuu, leo tena alfajiri majira ya saa 9 kimenuka maeneneo ya maji matitu. Majambazi/panya road wamevamia maduka na kupora mali ambayo thamani yake haijajulikana. Katika eneo la tukio zilisikika risasi kadhaa ambazo inadhaniwa ama ni baruti zilizotumiwa na hao wahalifu kuwatisha raia huku baadhi ya watu wakisema ilikuwa milio ya risasi kati ya polisi na majambazi. Na inasemekana baada ya kufanya uhalifu eneo hilo hao "panya" walihamia eneo lingine kuendelea na hiyo"ajira" yao isiyokuwa rasmi. Nitawajuza habari zaidi pindi nikizipata kutoka eneo la tukio. Inaonekana sasa hii CHAMAZI imekuwa shamba la bibi la panyaroad.
 
Mwaka 2001 kule Charambe kuna watoto walikua wanajiita Manchester walizingua sana kama panya road siku moja wakajichanganya wakamuua jamaa mmoja wale wanachimba mchanga(fukufuku) unaambiwa kundi la wachimba mchanga wakiwa na maserela(malori ya mchanga) wakaibuka Charambe nyumba hadi nyumba ambayo wale watoto wa Manchester wanaishi kikatembea kifinyo kwa watoto na wazazi wengi walipelekwa pale Kilwa road kituoni wengine wakakimbia na mpaka leo sidhani kama lile kundi lipo.
Hii imetulia sana.
 
Huku moshi bar ndo wamejaa
Ila wakikamatwa wanachomwa moto,mwez huu wamechomwa moto wawili.mmoja alipigwa had amekata roho hapo hapo.
Sisi sio watu wa mchezo mchezo.
Safi sana. Hao ngedere sio wa kuhurumia hata kidogo. Mtu unatafuta kwa jasho,hawajui ulikumbana na mangapi halafu wao wanataka wachukue kiafsa?
 
Ni kweli. Hili kundi hata sijui limeibukaje wakati Dar ilikuwa imenza kuwa tulivu. Serikali inapaswa kuwapa wananchi mafunzo ya kijeshi na kuwamilikisha silaha kwa ajili ya kujilinda na makundi ya kipuuzi kama hili la Panya Road.
Sawa , lakini mi maoni ni kwamba serikali iwakusanye hawa vijana na kuwaweka kwenye academy na kupewa mafunzo ya kijeshi ... Maana inaonesha wana ujasiri wa hali ya juu..
 
Sawa , lakini mi maoni ni kwamba serikali iwakusanye hawa vijana na kuwaweka kwenye academy na kupewa mafunzo ya kijeshi ... Maana inaonesha wana ujasiri wa hali ya juu..
Hili lingewezekana kwa nchi za kistaarabu kama vile ulaya lakini sio hapa Tanzania. Huku Tanzania mtu ukiwa mbunifu labda wa kutengeneza magobole, unafungwa jela badala ya kuendelezwa.
 
Sawa , lakini mi maoni ni kwamba serikali iwakusanye hawa vijana na kuwaweka kwenye academy na kupewa mafunzo ya kijeshi ... Maana inaonesha wana ujasiri wa hali ya juu..
Mkuu hili linawezekana kwa nchi za wenzetu...hapa kwetu ukiwa mbunifu, jela inakuhusu. Nakumbuka kuna wabunifu wengi waliovumbua utengenezaji wa zana za kivita kama magobole na mitambo mingine ambao wamefungwa jela badala ya kuendelezwa.
 
Sawa , lakini mi maoni ni kwamba serikali iwakusanye hawa vijana na kuwaweka kwenye academy na kupewa mafunzo ya kijeshi ... Maana inaonesha wana ujasiri wa hali ya juu..
Mkuu, sifa ya kwanza ya mwanajeshi ni nidhamu na maadili,mpaka hapo hao panya pori wamefeli. Labda watafutiwe utaratibu maalum wa kuwaweka kwenye kambi maalum za kuwafunza uraia na mafunzo ya ujasiriamali na kujitegemea na kisha kuandaliwa mazingira ya kujiunga na accademy za michezo, kambi za ujasiriamali chini ya usimamizi maalum kabla ya kuachiwa waendelee na maisha ya uraiani.
 
Back
Top Bottom