Panya Road wavamia Chamazi

Panya Road wavamia Chamazi

Mkuu kwann huku mbezi beach hawaji? Huku si ndio kwa matajiri? Waje hapa tangi bovu kwa chini..tena huku hamna ujirani kila mtu na geti lake? Wakija ni kukata na kuiba tu...kwann wanaiba uswahilini ..? Nawakaribisha mbezi beach....huku kuna wanaume wa dar tu lege lege na watoto wa mama! (Kama wa mkoani wanavyosema)

Glock 17
Berretta
Pump Action
.45 colt

And so forth..
Karibuni tunawasubiri.
mtafanyia mazoezi miguu yenu ya kuku wanaogopa
 
Mheshimiwa Rais afikirie upya suala la ULINZI SHIRIKISHI.
Naona kama vile lilivyosimamishwa uhalifu unaongezeka.
 
M

Mkuu hata humu jf kuna polisi wa kumwaga. Nina hakika ujumbe umeishawafikia.
Polisi wanafanya kazi vizuri sana ikiwa kuna tip ya kweli,sasa humu majina feki,anuani feki,ingekua vizuri ungeripoti hata kanda maalum tu
 
Kukosekana kwa ajira ni kisingizio tu maana kuna vijana wengi waliojiajiri kwenye ukusanyaji wa taka majumbani, ufundi wa ujenzi, bodaboda, kilimo cha mboga mboga na hata uchuuzi wa bidhaa wa nyumba kwa nyumba, kwani wao wana nini mpaka wasifikirie kufanya shughuli kama hizo zisizohitaji mitaji mikubwa wala elimu ya ajabu? Ukitaka kujua kuwa hao ni wendawazimu, wapatie ajira rasmi kama watadumu nayo. Wengi wana tamaa ya maisha wasiyoweza kuyamudu na utajiri wa ghafla.
 
Watu wa DAR nyie nao mmezidi uzezeta kweli.
Kila mmoja anajifanya mbinafsi wa mwenzie.Na watawachapa sana na kuwabaka Wanaume wote ndio mtalegea vizuri..

Under 18?wanawasumbua?eti wengi,wengi gani wakati uwezo wa miili yao kula yao yenyewe shida.
Uoga huyo mtabakwa sasa na ndio naona kunakoelekea

Nashkuru Mungu familia yangu DAR ipo eneo Salama na Home tunamiliki Silaha,na dogo anasema ole wao wajichanganye tu mtaa wetu.Wataona Show.
Sio nyie mnamiliki Silaha mnauzia sura kwa madem tuuu
 
mimi ningekuwa askari I swear ningeua hizo takataka zote... ili ni tatizo la kuchekeana.. tunaendekezana na kulea ugonjwa... kill them all. Rais Magufuli toa tamko hizi takataka zikionekana zinafanya uhalifu hakuna kupeleka mahakamani ni kuwamiminia njugu tu.
 
Hembu atokeaa kichaa mmoja avamie kundi hilo na silaha,washa cha moto uwa kama 20 hivi
Basi watatia akili na kujua kwamba kumbe katika kundi la raia kuna mmoja anaweza kuwa Silaha.
Hapo wataogopa.Ila hivi wanafanya kirahisi hivi ndio wanazidi kuona ajira rasmi.

Jeshi La Ulinzi:
Hapa ndio namkumbuka Mzee Mrema,maana wakati huo hata mawasiliano ilikuwa hakuna.Ila ikitokea issue tu,jamaa hao wamefika.
Sasahivi teknolojia ipo juu ndio uzembe unazidi kuongezeka.Hawa madogo siku wakimvamia raia mwenye silaha,Basi mjue mji au jiji halikaliki.Kupata Risasi ni rahisi kuliko kupata Silaha.Watakuwa wameisha ingia kwenye Grade ya Ujambazi

Sasa muda wa kuchukua hatua ni huu,hawa madogo wanaona wanapata pesa kirahisi saaana ndio maana wanafanya matukio kama hayo.

Maana Age yao woote hao ni watoto wa Shule.Sasa Lawama ni kwa Wazazi wao.Wao wanajua tu kuzaa ila akili ya kulea wanaacha mtoto ajilee mtaani.
sijaona mtoto wa kuajirika hapo,wote watoto wa shule.Ila kwa vile wanaiba kirahisi inakuwa rahisi kushawishi wenzao.
 
Dar hivi kweli mmekosa hata wanaume kumi wa ukweli ambao wanaweza kuwa paka road kwaajili ya kuwakabili hao panya?....hebu siku moja mjitutumue muache kulalamika ovyo
Mkuu hao wamejiorganize na wanakuwa wengi mno... wanatumia advantage ya uwingi wao... ninavyofahamu hao wanajulikana wanapolala... ni machokoraa ambao wameamua kufanya mambo hayo.. ni aibu kwa hii nchi.p
 
mimi ningekuwa askari I swear ningeua hizo takataka zote... ili ni tatizo la kuchekeana.. tunaendekezana na kulea ugonjwa... kill them all. Rais Magufuli toa tamko hizi takataka zikionekana zinafanya uhalifu hakuna kupeleka mahakamani ni kuwamiminia njugu tu.
Kama alivyofanya yule Raisi
Aliesema kwamba Raia yoyote mwenye kumjua muuza madawa ya kulevya amuue na kesi hakuna.
Hahaha,aisee watu walifanya yao kama kawa,heshima ikarudi,tena watu walipewa silaha kabisaa tena raia.

Ishu sio Askari,wenye kukimbia Panya road wengi wana Silaha wamemilikishwa kihalali,ila ndio wale wanaume mama.
 
Hiyo ya huko Mugumu Serengeti ni noma,

kwa hiyo wananchi walikuwa wanataka,

kumtoa Kibaka kituo cha polisi ili wamuadhibu wenyewe?

safi sana hiyo ndio njia sahihi ya kudhibiti vibaka.
 
"NEET" 16-24 who are Not in Education, Employment or Training. Ni janga kubwa sana.
 
Back
Top Bottom