Panapofuka moshi panaficha moto...

Mimi huku kitaa sioni kabisa kinachoendana na yanayosemwa humu JF!

Nachoona huku kitaa ni watu wanaopambana na hali zao kila siku.

View attachment 995985

Unajua nini mwaba, kuna uhalisia wa mambo na kuna matamanio, fikra au kuna nmna watu wanafikiria mitazamo inaweza kuwa hali halisi, ni vitu viwili tofauti.

Nakumbuka wakati wa sakata la escrow, watu walizoza, walizoza, lakini likapita, wachambuzi na nguli wa mambo ya siasa walikuja na nadharia za kila aina lakini mambo yakaenda tofauti.

Kwa ufupi, chochote kinachoendelea, kama hakiathiri watu, au hakijaleta madhara, watamalizana wenyewe huko huko.
Watu wanaendelea kupambana na hali zao...
 
Hata shetani akizeeka huwa anabadilika na kua malaika. Mabadiliko ni muhimu, na yakitokea huwezi kuwa yule yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa kaguswa mwenzako katika imani naona umeamua kuwageuka wenzako. angekuwa anayepambana na subwoofer ni mgalatia nadhani saa hizi ungekuwa unamtetea subwoofer. Haya ni maoni yangu kutokana na nilivyoelewa mada yako, hvyo uyakubali na kuyaheshimu
 
huyu bibi cku hiz kabadilishia gia angan au? mbona hana mapenz tena na serikali tukufu maana enz zile za kikwete usingeongea kitu bila kukuponda
 
Macho yako yameshikwa ukungu sababu ya uzee tu, hakuna moshi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kijana wa ufipa ameiba simu ya faiza foxy akiwa anaumwa. Ameingia Jf na kuandika habari ya mabeberu.
 
Sioni kama unazimika, mpaka uondoke na mtu huu.

Anayeuwasha ndiye mwenye uwezo wa kuuzima, ila anasubiri mpaka umwondoe adui ndo auzime. Ingawa moto hautabiliki, unaweza kumwunguza hata asiye mlengwa na uharibifu ukawa mkubwa.
hautabiliki = hautabiriki

Umeuona moto upi na wapi? Maana moshi kila upande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…