round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 935
- 3,014
Update: watu wengi wanatoa maoni kuogopa watoto wao kurudi wakiwa mateja au upinde, Hofu hii hujengwa kwa vitu vichache tunavyoviona mitandaoni vinavyokuzwa kuzidi uhalisia (mfano huwa tunadhanani wanaume wengi ulaya wamepinda ila ukienda nchi kama uingereza ni asilimia 3 tu). mlee mtoto kuwa huru kifikra, mwenye maadili na uwezo wa kuchagua mema usimlee mtoto aishi unavyotaka, akiwa huru atasumbuka. watoto wengi huendelea kuwa na maadili mema hata wakiwa ughaibuni.
Maamuzi haya nimeyafanya baada ya kuona watu wengi wanaokwenda nchi hizo wanarudi wakiwa tofauti kwenye mtazamo wa maisha, uthubutu, connections, n.k. wengi wakirudi bongo huwa nawafananisha na mwanachuo anaerudi darasa la saba, success rate ipo juu.
Why Ulaya au Marekani ?
Ni makutano ya watu wengi kutoka nchi nyingi duniani, utawakuta wakenya, wahindi, waarabu, wazungu, wabrazili, n.k. si hivyo tu watu wengi wanaoenda huku makwao wana pesa na connections zilizowafikisha maana vyuo ni gharama na kupata visa si shughuli ndogo, kumpeleka mtoto asome nchi za Africa kuna exposure ndogo maana vitu na watu wengi hufanana, pia kumpeleka nchi za India, Uarabuni, Amerika ya kusini, n.k. huko kuna ubaguzi wa hali ya juu sana sambamba na udini.
Kusoma nje hutengeneza mitandao ya kimataifa, kwa kuishi hapa TZ utaishia kutengeneza network za mikoani, kujuana na mtu wa Mbeya, Arusha, Lindi, Kagera, Dsm, n.k. kiufupi utaishia kujuana na watanzania tu, networks hizi ni muhimu.
Kusoma nje unatengeneza network za kimataifa zinazoweza kuwa msaada hasa kwenye fursa, mtu una classmmate wako wahindi, waarabu, wazungu, n.k. mliesoma chuo kimoja, ni rahisi kupata mawazo ya kibashara hata zile biashara mpya ambazo hazipo bongo, unaweza kwenda kumtembelea mwenzako huko kwao akakuonesha vitu A - Z wewe unaanzisha TZ,
Exposure inapunguza kuridhika, ukiwa Tz na circle ya wabongo unaweza kuridhika ukipata kazi raasisi kubwa kama Bandarini, Tanapa, nssf, n.k. unaenda kukutana na wenzako wa nchi nyingine kwao wana biashara zinazoingiza pesa ndefu sana, hakuna mtu anayependa kuwa nyuma kwenye circle, ndio maana watanzania wengi waliosoma hizi nchi wakirudi hapa TZ wanafanya biashara na wamefanikiwa, ndilo kundi linaloongoza kwa kuacha ajira kufanya biashara zao.
Exposure inabadili mtazamo wa maisha, kwetu hapa bongo tangu tukiwa wadogo mitazamo yetu ya maisha ipo influenced na jamii, tumekaririshwa kuzipenda ajira, tumekaririshwa kuwanyenyekea wazungu, tumekaririshwa misemo ya ajabu ajabu, n.k. ukienda kwenye nchi mnazokutana watu wa mataifa mbali mbali, mtazamo wako wa maisha unabadilika fir the better, unagpata confidence ya kuwa na mawazo ya kujipata nje ya ajira, wazungu utawaona watu wa kawaida tu, vimisemo vya ajabu ajabu vya kutukuza umasikini unafyeka.
Maamuzi haya nimeyafanya baada ya kuona watu wengi wanaokwenda nchi hizo wanarudi wakiwa tofauti kwenye mtazamo wa maisha, uthubutu, connections, n.k. wengi wakirudi bongo huwa nawafananisha na mwanachuo anaerudi darasa la saba, success rate ipo juu.
Why Ulaya au Marekani ?
Ni makutano ya watu wengi kutoka nchi nyingi duniani, utawakuta wakenya, wahindi, waarabu, wazungu, wabrazili, n.k. si hivyo tu watu wengi wanaoenda huku makwao wana pesa na connections zilizowafikisha maana vyuo ni gharama na kupata visa si shughuli ndogo, kumpeleka mtoto asome nchi za Africa kuna exposure ndogo maana vitu na watu wengi hufanana, pia kumpeleka nchi za India, Uarabuni, Amerika ya kusini, n.k. huko kuna ubaguzi wa hali ya juu sana sambamba na udini.
Kusoma nje hutengeneza mitandao ya kimataifa, kwa kuishi hapa TZ utaishia kutengeneza network za mikoani, kujuana na mtu wa Mbeya, Arusha, Lindi, Kagera, Dsm, n.k. kiufupi utaishia kujuana na watanzania tu, networks hizi ni muhimu.
Kusoma nje unatengeneza network za kimataifa zinazoweza kuwa msaada hasa kwenye fursa, mtu una classmmate wako wahindi, waarabu, wazungu, n.k. mliesoma chuo kimoja, ni rahisi kupata mawazo ya kibashara hata zile biashara mpya ambazo hazipo bongo, unaweza kwenda kumtembelea mwenzako huko kwao akakuonesha vitu A - Z wewe unaanzisha TZ,
Exposure inapunguza kuridhika, ukiwa Tz na circle ya wabongo unaweza kuridhika ukipata kazi raasisi kubwa kama Bandarini, Tanapa, nssf, n.k. unaenda kukutana na wenzako wa nchi nyingine kwao wana biashara zinazoingiza pesa ndefu sana, hakuna mtu anayependa kuwa nyuma kwenye circle, ndio maana watanzania wengi waliosoma hizi nchi wakirudi hapa TZ wanafanya biashara na wamefanikiwa, ndilo kundi linaloongoza kwa kuacha ajira kufanya biashara zao.
Exposure inabadili mtazamo wa maisha, kwetu hapa bongo tangu tukiwa wadogo mitazamo yetu ya maisha ipo influenced na jamii, tumekaririshwa kuzipenda ajira, tumekaririshwa kuwanyenyekea wazungu, tumekaririshwa misemo ya ajabu ajabu, n.k. ukienda kwenye nchi mnazokutana watu wa mataifa mbali mbali, mtazamo wako wa maisha unabadilika fir the better, unagpata confidence ya kuwa na mawazo ya kujipata nje ya ajira, wazungu utawaona watu wa kawaida tu, vimisemo vya ajabu ajabu vya kutukuza umasikini unafyeka.