Pamoja na yote nampenda mume wangu

Pamoja na yote nampenda mume wangu

Upumbavu wa mwanaume ni ule ambao akifanya ngono na mke wake anapiga kavukavu, akitoka mchepiko anapiga na condom. Huu sii upumbavu.

Nacho amini, mume wa mtu ni nadra sana kutumia condom kwa mechi za njee. Sababu mazoea ujenga tabia

Hiyo para ya pili sikubaliani nayo kabisaaa....maisha matamu asikwambie mtu. Labda kwa ma-amacha!!
 
Dada maneno yamenigusa sana. Huwezi kujua jinsi haya maneno yako yatavyowanufaisha wanawake wengine. Mimi binafsi nimetakafari sana uliyosema. Mwisho wake nimesema sasa basi. Narudi katika mstari. Imetosha mambo ya kumuumiza mke wangu. Mungu akubariki sana.

Barikiwa sana kama utafanya hivyo
 
Habari za masiku mengi
Naamini mko wazima tunaendelea salama na ujenzi wa Taifa
Kama nilivyowahi kuandika mikasa yangu hapa pamoja na mume wangu kunitenda sana pamoja na kunisaliti sana pamoja na mabaya yake yote ukweli ni kuwa nafurahia kuwa nae,nafurahia kuwa baba wa mtoto wangu,najivunia kumfahamu,sikati tamaa,sirudi nyuma,simuachi huyu ndiye Mume Mungu aliyenipa!
kwa nini uendelee kuwa naye?
umezeeka au figa mbaya?????
 
Si ndio mahaba niue yenyewe hayo dada....kazana tu manake mwisho wa siku choices huwa ni mbili tu, kuacha au kuendelea kung'ang'ania....
 
Haamin kama nampenda coz ya mambo aliyowahi kunifanyia lakn namfanya ni msiri wangu,ni rafiki yangu!
Hebu funguka dadaangu naona kuna mengi yanakusibu,Raha ya mapenzi ni kupendana na kuoneshana upendo(hii process inatakiwa iwe "giving and getting"),sasa wewe unaposema unampenda na hajui inanisikitisha kwasababu ni kama upo kwenye "LOVE BUBBLE" pekee yako...au ndio "UNCONDITIONAL LOVE"?Alikufanya nini kukutenda kiasi cha kwamba haamini kama unampenda?
 
kwa nini uendelee kuwa naye?
umezeeka au figa mbaya?????

Mimi ni mrembo sana tena bint mdogo,ndiyo nafikisha miaka 25 nimekuwa nasumbuliwa na wanaume wengi wenye sifa zote lakn leo mpaka kesho pamoja na mapungu ya mume wangu sijaona wa kumfananisha nae
 
Sema tu huna ujanja ushatumika na huna pakukimbilia.Ungekuwa manzi mkali ungeshampiga chini huyo f.a.la limbukeni wa mapenzi.Ila hapo mmekutana vimeo.Aya twende kazi.

Hakika hapa twende kazi. Watu wengine wamejaaliwa roho nzuri tu ukiwaona huwezi kuamini ko usiwe mwepesi kuhukumu
 
ukisema wa nini mwenzako anasema nitampata lini...mama shika chako usiachie. hongera
 
Hebu funguka dadaangu naona kuna mengi yanakusibu,Raha ya mapenzi ni kupendana na kuoneshana upendo(hii process inatakiwa iwe "giving and getting"),sasa wewe unaposema unampenda na hajui inanisikitisha kwasababu ni kama upo kwenye "LOVE BUBBLE" pekee yako...au ndio "UNCONDITIONAL LOVE"?Alikufanya nini kukutenda kiasi cha kwamba haamini kama unampenda?

Its long story
 
Hakika hapa twende kazi. Watu wengine wamejaaliwa roho nzuri tu ukiwaona huwezi kuamini ko usiwe mwepesi kuhukumu

Nahisi huyu wala hajielewi ndoa siyo uzuri,warembo wangapi wamejaa kimboka wanajiuza??wana heshima gani wale
 
Back
Top Bottom