Pamoja na yote nampenda mume wangu

Pamoja na yote nampenda mume wangu

Kuna siku nimekuta condom kwa nguo yake nilisafiri naamin anajilinda

Condom ni kwa sababu, kuna wanawake wengine wanao jitambuwa awatoi maku bila wewe kuwa na Condom. Na mara nyingi inakuwa katika penzi la kwanza, la pili na la tatu. La nne condom tupa kule.
 
Najua wajua, nataka tu kiwajuza vijana. Ukiona mwenza wako anakudaka kila siku na vimeo na hakumind, ujue ana pumziko lake la moyo na wewe ndo umegeuzwa mchepuko.

mujini raha sana hehehe
Ewaaa au kama vipi awe analeta video za matukio mama ajiridhishe. Liwalo na liwe.
 
Sema tu huna ujanja ushatumika na huna pakukimbilia.Ungekuwa manzi mkali ungeshampiga chini huyo f.a.la limbukeni wa mapenzi.Ila hapo mmekutana vimeo.Aya twende kazi.
 
Fanya ile kitu moyo wako unapenda ili usije kulaumu mtu baadae.Kama moyo wako una furaha katika kumpenda mumeo basi penda tu tena penda kwelikweli.
Watu wataongea sana humu lakini ukweli ni kwamba hata wao wana watu wao wanawapenda mno mbali na mapungufu walionayo
 
Najua wajua, nataka tu kiwajuza vijana. Ukiona mwenza wako anakudaka kila siku na vimeo na hakumind, ujue ana pumziko lake la moyo na wewe ndo umegeuzwa mchepuko.

mujini raha sana hehehe

Hawajui siku hizi hata wake wa ndoa wanageuzwa michepuko na waume zao.
 
Na wewe usisahau kujilinda unaposafiri. Ila kiukweli mmeo atakuwa bweg.e sana au wewe utakuwa zuzu kupindukia. Yani anakuja na uthibitisho mpk home

U
Unaongea kwa kuwa hayajakukuta waweza sema vyovyote,,ungekuwa wewe ungevunja ndoa kisa umekuta condom mfukoni??
 
Habari za masiku mengi
Naamini mko wazima tunaendelea salama na ujenzi wa Taifa
Kama nilivyowahi kuandika mikasa yangu hapa pamoja na mume wangu kunitenda sana pamoja na kunisaliti sana pamoja na mabaya yake yote ukweli ni kuwa nafurahia kuwa nae,nafurahia kuwa baba wa mtoto wangu,najivunia kumfahamu,sikati tamaa,sirudi nyuma,simuachi huyu ndiye Mume Mungu aliyenipa!

Dada maneno yamenigusa sana. Huwezi kujua jinsi haya maneno yako yatavyowanufaisha wanawake wengine. Mimi binafsi nimetakafari sana uliyosema. Mwisho wake nimesema sasa basi. Narudi katika mstari. Imetosha mambo ya kumuumiza mke wangu. Mungu akubariki sana.
 
U
Unaongea kwa kuwa hayajakukuta waweza sema vyovyote,,ungekuwa wewe ungevunja ndoa kisa umekuta condom mfukoni??

Sio kuvunja ndoa tu, ningevunja na taya lake la kushoto. Ufuska aufanyie huko ushahidi anletee home?
 
Sema tu huna ujanja ushatumika na huna pakukimbilia.Ungekuwa manzi mkali ungeshampiga chini huyo f.a.la limbukeni wa mapenzi.Ila hapo mmekutana vimeo.Aya twende kazi.

Mimi ni mrembo ajabu na ukiniona u cant belive kama naface lots of prblem na ndoa yangu na jamii inanitazama kama mwanamke mwenye bahati kwa kuwa na mume anaenipenda lakini ukweli wa ndoa yangu naujua mm na Mungu na pekee
 
mpende sana usiwajali hao viruka njia wewe ndo mmiliki wa kampuni hakikisha inasonga mbele
 
..mhogo wa jang'ombeee sij....usitukane wakunga na .....ipo siku atajirudi (uzee ukishaanza kumwandama)
 
Kumshaur mtu aliefikwa ktk ndoa eti muache ni kujichoresha tu vzr umwambie vumilia na kumpa moyo kama bd anampenda hawez kuona mabaya yake ndo hali halisi cku akichoka mwenyewe ataanzisha bila yakumtaarifu mtu
 
Mimi ni mrembo ajabu na ukiniona u cant belive kama naface lots of prblem na ndoa yangu na jamii inanitazama kama mwanamke mwenye bahati kwa kuwa na mume anaenipenda lakini ukweli wa ndoa yangu naujua mm na Mungu na pekee

Samahani, aliyekuambia we ni mrembo ni kioo chako au nani?
 
Una uhakika na mmeo anakupenda kama unavyompenda? Maana angekupenda kamwe hasingeumiza roho yako? Mpende ukijua kuwa una wasaidizi katika ndoa yako.
 
Back
Top Bottom