mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Hehehe si ndo uhakiki sasa!
afu na wewe ulipotelea wapi?
nipo aisee, mishemishe tu za maisha zinanibana, siku hizi kwa kiasi kikubwa nimekuwa msomaji tu, ila nakuonaga unavyojimwaga
Hehehe si ndo uhakiki sasa!
afu na wewe ulipotelea wapi?
Yeye hajui kama nampenda il mim najua pamoja na kunitenda mm ndiyo roho yake
Mahaba nichakazeee
Samahani, aliyekuambia we ni mrembo ni kioo chako au nani?
Utakua wewe u-muumini wa serikali mbili........hahahahaaaahahaaaaaaa
Why are u telling us?
mmmh, haya bwana , Mungu wa Musa ndo atakusaidia ,hata hayo maradhi wengine tunayoyaogopa atakukwepesha nayo, zidisha imani , na mapenzi kwa mumeo, nakutamanije
sasa atajuaje kama unampenda kama humuoneshi kama unampenda?
Mimi ni mrembo sana tena bint mdogo,ndiyo nafikisha miaka 25 nimekuwa nasumbuliwa na wanaume wengi wenye sifa zote lakn leo mpaka kesho pamoja na mapungu ya mume wangu sijaona wa kumfananisha nae
Mimi ni mrembo sana tena bint mdogo,ndiyo nafikisha miaka 25 nimekuwa nasumbuliwa na wanaume wengi wenye sifa zote lakn leo mpaka kesho pamoja na mapungu ya mume wangu sijaona wa kumfananisha nae
hongera sana dada unachokipenda sana ndio kitakacho kuua, na wengi wameambukizwa ukimwi na watu waliowapenda........mh,hongera