Pamoja na yote nampenda mume wangu

Pamoja na yote nampenda mume wangu

davina

Senior Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
113
Reaction score
87
Habari za masiku mengi
Naamini mko wazima tunaendelea salama na ujenzi wa Taifa
Kama nilivyowahi kuandika mikasa yangu hapa pamoja na mume wangu kunitenda sana pamoja na kunisaliti sana pamoja na mabaya yake yote ukweli ni kuwa nafurahia kuwa nae,nafurahia kuwa baba wa mtoto wangu,najivunia kumfahamu,sikati tamaa,sirudi nyuma,simuachi huyu ndiye Mume Mungu aliyenipa!
 
Amina kubwa... Watu kama nyie ndio tunaowahitaji katika taifa letu...! Kwani huu ni mfano Bora.
 
Hongera dada....No woman...no cry...things will be alright!
 
Sasa usipompenda wewe ulitaka nani akusaidie kumpenda.

We endelea kumpenda kama yeye anavyokupenda. Hivyo vidosho vya nje havipendi bali anavitamani tu. Akishamalizana navyo anarudi kwako. Chondechonde usisahau kumnunulia condom na uhakikishe anazitumia.
 
Sasa usipompenda wewe ulitaka nani akusaidie kumpenda.

We endelea kumpenda kama yeye anavyokupenda. Hivyo vidosho vya nje havipendi bali anavitamani tu. Akishamalizana navyo anarudi kwako. Chondechonde usisahau kumnunulia condom na uhakikishe anazitumia.
shikamoo babu
 
Mpende dada mpende tu endelea kumpenda kupenda ni raha zaidi yakupendwa
 
Shika Mama, akigeuka upande wa kulia shikilia, akigeuka kushoto shikilia. Mpaka kieleweke, akikuletea kaswende powa tu, gono powa tu. Ukimwi siku hizi auuwi kama ajali za barabarari. Mapenzi ya kweli ni sawa sawa na mtu aliye muweka nyuki kiganjani kisha akamkumbatia.
 
Sasa usipompenda wewe ulitaka nani akusaidie kumpenda.

We endelea kumpenda kama yeye anavyokupenda. Hivyo vidosho vya nje havipendi bali anavitamani tu. Akishamalizana navyo anarudi kwako. Chondechonde usisahau kumnunulia condom na uhakikishe anazitumia.

Ndiyo ipo hivyo ananijali ananipa kila nnachohitaji atazunguka mwisho anakuja i love u mke wangu"wacha maisha yaendeleeeeee
 
Mmeo ni tajiri au unampenda bure?
naomba unifundishe na mimi jinsi ya kupenda hivo
 
Shika Mama, akigeuka upande wa kulia shikilia, akigeuka kushoto shikilia. Mpaka kieleweke, akikuletea kaswende powa tu, gono powa tu. Ukimwi siku hizi auuwi kama ajali za barabarari. Mapenzi ya kweli ni sawa sawa na mtu aliye muweka nyuki kiganjani kisha akamkumbatia.
tobaaa....kiumbe yoyote akishajua anapendwa sana anakupanda kichwani...unakubaliana na hilo?
 
Back
Top Bottom