Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Mkuu me nimekuelewa sanaa. Ni kweli kile alichokuwa amekipendekeza Chenge kilikuwa the best sijui ni kwanini wabunge wa upinzani waliona njia ya shinikizo kuwa sahihi ili hali haitoweza leta positive impact ktk kile walichokuwa wanakitaka, au lilikuwa ndo chance ya kumake popularity km ilivyokawaiada ya siasa zetu!!
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutunalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, viongozi wetu ni ignorants, na hadi wabunge wetu ni ma ignorants tuu kwa kutumia wingi wao vibaya kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants,
Paskali
Huyu Jamaa yetu, leo ametajwa tena kwenye hii kamati ya pili, wajemeni kuna watu hawaruhusiwi kuguswa nchi hii, huyu ni Mtemi, akiguswa tuu, Wasukuma watakiwasha!, tena msifanye masikhara kabisa, watu uvumilivu ukiwashinda, watatoa siri wa Wahutu fulani, na Banyamulenge fulani!, tafadhalini msije kusema hatukuonya!.

Gusa wengine wote la huyu usimguse!. Unless akubali kufa kizungu na tai shingoni!, pesa alizopata yeye ni vijisenti tuu, laiti mngejua bosi wake alipata ngapi, watu msingesema humu!.

Paskali
 
Huyu Jamaa yetu, leo ametatwa tena, wajemeni kuna watu hawaruhusiwi kuguswa nchi hii, huyu ni Mtemi, akiguswa tuu, Wasukuma watakiwasha!, tena msifanye masikhara kabisa, watu uvumilivu ukiwashinda, watatoa siri wa Wahutu fulani, na Banyamulenge fulani!, tafadhalini msije kusema hatukuonya!.

Gusa wengine wote la huyu usimguse!. Unless akubali kufa kizungu na tai shingoni!, pesa alizopata yeye ni vijisenti tuu, laiti mngejua bosi wake alipata ngapi, watu msingesema humu!.

Paskali

Vijisenti na hilo litaabaki hivyo. Ukingusa yeye na uwaguse wafalme. Mnakumba Kesi ya Prof. Mahalu.
 
Huyu Jamaa yetu, leo ametatwa tena, wajemeni kuna watu hawaruhusiwi kuguswa nchi hii, huyu ni Mtemi, akiguswa tuu, Wasukuma watakiwasha!, tena msifanye masikhara kabisa, watu uvumilivu ukiwashinda, watatoa siri wa Wahutu fulani, na Banyamulenge fulani!, tafadhalini msije kusema hatukuonya!.

Gusa wengine wote la huyu usimguse!. Unless akubali kufa kizungu na tai shingoni!, pesa alizopata yeye ni vijisenti tuu, laiti mngejua bosi wake alipata ngapi, watu msingesema humu!.

Paskali
Hapa ndiyo unapoona wapi kosa linapofanyika...kelele zote mzizi wa yote unaachwa kama ulivyo. Labda kama hakutajwa kwenye report lakini kwenye zile za pembeni yumo ataitwa ahojiwe. Lakini yote 9, kumi ni kwamba viongozi wa juu wa awamu zilizopita watahojiwa? Na kama hawatahojiwa, wako tayari kutuomba radhi watanzania na chama kwa kutuingizia hasara kiasi kile?
 
Huyu Jamaa yetu, leo ametatwa tena, wajemeni kuna watu hawaruhusiwi kuguswa nchi hii, huyu ni Mtemi, akiguswa tuu, Wasukuma watakiwasha!, tena msifanye masikhara kabisa, watu uvumilivu ukiwashinda, watatoa siri wa Wahutu fulani, na Banyamulenge fulani!, tafadhalini msije kusema hatukuonya!.

Gusa wengine wote la huyu usimguse!. Unless akubali kufa kizungu na tai shingoni!, pesa alizopata yeye ni vijisenti tuu, laiti mngejua bosi wake alipata ngapi, watu msingesema humu!.

Paskali
ahahaaa aesee Paskali umenichekeshaa! Mzee wa vijisenti, imagine boss wake ana ngapi!

Chenge being 'smart' or however u call him imenifanya nifikirie jinsi viongozi wetu wachache majiniasi wanavyo take advantage of many of us 'ignorants'. Mungu anawaona lakini
 
s_1.jpg
Picha imeeleza kila kitu labda tuongezee hii...
download (8).jpg
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutunalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, viongozi wetu ni ignorants, na hadi wabunge wetu ni ma ignorants tuu kwa kutumia wingi wao vibaya kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Usitake kubadili maana

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali



Usitake kukwepesha ukweli,Sema tu watanzania ni stupid tens WA kwanza ktk USO wa dunia hii,lakini yote yameletwa na ccm
 
Huyu Jamaa yetu, leo ametajwa tena kwenye hii kamati ya pili, wajemeni kuna watu hawaruhusiwi kuguswa nchi hii, huyu ni Mtemi, akiguswa tuu, Wasukuma watakiwasha!, tena msifanye masikhara kabisa, watu uvumilivu ukiwashinda, watatoa siri wa Wahutu fulani, na Banyamulenge fulani!, tafadhalini msije kusema hatukuonya!.

Gusa wengine wote la huyu usimguse!. Unless akubali kufa kizungu na tai shingoni!, pesa alizopata yeye ni vijisenti tuu, laiti mngejua bosi wake alipata ngapi, watu msingesema humu!.

Paskali


Akatafute nchi yake akakae huko kwakuwa si mwenzetu, alisomeshwa ili kuinufaisha nchi na si vinginevyo
 
Hahahaaa umenikumbusha mbali sana daah huyu Mzee kiboko.tufanyeje kumfunga huyu Mzee maana nahisi kwa sheria hizi atatupiga chenga tu.kumbuka si uchawi tu na sheria kanajua :D :D :D :mad:


Nadhani kwanza watafutwe wanasheria brains kadhaa wenye uchungu na nchi toka moyoni waungane, hatakuwa na mahali pa kuchomokea, iwe isiwe huyu lazima akachuchumalie debe
 
Habari wanabodi....kwanza nianze kwa kusema kwa mara ya kwanza nichangie hoja ya Pasco wa JF kama anavyojiita. Napata shida sana na uwezo wa kufikiri wa huyu jamaa, sijui mtazamo wake juu ya hoja zinazozingatia uhalisia uko wap. Naomba nikiri wazi kila ninaposoma maandiko yake natofautiana nae absolutely na jinsi ninavyofikiria jambo husika na nahisi watu wengi hutofautiana nae pia, kwa mfano, suala la chenge na mchango wake wa kutetea wezi wengine...huyu pasco anaweza kuona kuwa ni best brain...shame!!!!.labda niseme tu kinachokubeba na kinachokupa ujasiri wakuandika humu jukwaani ni ukongwe wako na umaarufu na sio sensible contents...ukisoma hoja za mtu kama Nguruvi, unasoma sensible contents in every line that you read, sio hizi porojo na kejeli za pasco. Natoa rai, kama pasco ungeandika onetl just onethird ya Nguruvi ningekuona wa maana...other wise niseme tu Pasco ni mwepesi sana na commets zako ni non-sense


Zamani nilikuwa sifatilii ya siasa kizaidi kwa kuchangia bali kusoma tu, kama nilivyo sasa baada ya Mh. Magufuli kushika uskani.

Kaka mleta mada aka Pasco wa JF, bahasha sana zinachangia sana anayoyaandika hadi leo
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutunalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, viongozi wetu ni ignorants, na hadi wabunge wetu ni ma ignorants tuu kwa kutumia wingi wao vibaya kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3
Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
PASKALI WEWE NI MWANDISHI MZURI, ANALYTICAL, NAOMBA UTOE MAONI YAKO KWA RIPOTI YA PILI IN RELATION TO LISU AND THE OPPOSITION IN GENERAL
 
Kwanini mtanzania mwenzetu Andrew Chenge anatajwa katika kila tukio linalowaudhi watanzania wenzake? Kwani Chenge ni nani ndani ya CCM na taifa letu? Umuhimu wa Mh. Chenge kwa CCM na taifa ni upi? Mtandao wake una mizizi mirefu kiasi gani? Mbona hakamatiki?
Hili swali tuwaulize wana bariadi.
 
PASKALI WEWE NI MWANDISHI MZURI, ANALYTICAL, NAOMBA UTOE MAONI YAKO KWA RIPOTI YA PILI IN RELATION TO LISU AND THE OPPOSITION IN GENERAL
Kama ndio ripoti yetu hii ya wasomi wetu, then we have a serious problem. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua mchanga wetu tuna balozi zetu, kama tumeshindwa kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, then hiyo ripoti is nothing!.

Acacia ni listed company kwenye LSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document.

Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo sio uchunguzi lolote sio uchunguzi chochote, then ripoti ya pili sio chochote!.

Uchunguzi unaoonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo. major

The only fair way kwa Acacia ni full disclosure inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.

Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.

Paskali
 
Kama ndio ripoti yetu hii ya wasomi wetu, then we have a serious problem. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua mchanga wetu tuna balozi zetu, kama tumeshindwa kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, then hiyo ripoti is nothing!.

Acacia ni listed company kwenye LSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document.

Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo sio uchunguzi lolote sio uchunguzi chochote, then ripoti ya pili sio chochote!.

Uchunguzi unaoonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo. major

The only fair way kwa Acacia ni full disclosure inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.

Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.

Paskali
Good, na katika issues kama hizi huwezi ukachukua samples ukafanya bila wenzako kuwepo/kukubaliana mtumie method, maabara ipi- accreditation ya maabara etc ukakubalika kuwa matokeo ya utafiti wako ni sahihi! Hawa wamefanya kutumia data za ile kamati ya ya kwanza maana these are not chemists! Watu wanashangilia kama vile upande wa pili wameridhika na namna walivyochenjue makanikia....by joint agreed scientific method to analyze the concentrates!
 
Good, na katika issues kama hizi huwezi ukachukua samples ukafanya bila wenzako kuwepo/kukubaliana mtumie method, maabara ipi- accreditation ya maabara etc ukakubalika kuwa matokeo ya utafiti wako ni sahihi! Hawa wamefanya kutumia data za ile kamati ya ya kwanza maana these are not chemists! Watu wanashangilia kama vile upande wa pili wameridhika na namna walivyochenjue makanikia....by joint agreed scientific method to analyze the concentrates!
Hii ngoma ya makinikia bado mbichi!.

P.
 
Back
Top Bottom