Shebbydo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,174
- 1,937
Mkuu me nimekuelewa sanaa. Ni kweli kile alichokuwa amekipendekeza Chenge kilikuwa the best sijui ni kwanini wabunge wa upinzani waliona njia ya shinikizo kuwa sahihi ili hali haitoweza leta positive impact ktk kile walichokuwa wanakitaka, au lilikuwa ndo chance ya kumake popularity km ilivyokawaiada ya siasa zetu!!