Ni vigezo gani vinavyofanya Wabunge walipwe posho na mishahara mikubwa kiasi hicho?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,487
2,351
Miongoni wa kundi linalokula keki ya Taifa kwa mrija bila kujali umaskini wa Wananchi ambao ni wapiga kura ni hawa wabunge wa bunge letu.

Wabunge wetu wamekuwa Wanalipwa posho, mikopo ya magari, Fedha za Mfuko Mbunge na mishahara. Fedha zote hizo ni mamiliini ya Shillingi fedha ambazo ni kodi za maskini wapiga kura.

Je, ni vigezo gani vinavyopelekea wabunge kulipwa hayo mamilioni Je ni Elimu yao? Je, ni Ugumu wa kazi zao? au wanajipendelea ili kujipa mamilioni ya fedha wakati wananchi ni maskini wa kutupwa?
 
Miongoni wa KUNDI linalokuwa KEKI ya TAIFA kwa MRIJA bila kujali UMASIKINI wa Wananchi ambao ni WAPIGA KURA ni hawa WABUNGE wa BUNGE letu.WABUNGE wetu wamekuwa Wanalipwa POSHO, MIKOPO ya MAGARI, Fedha za Mfuko Mbunge na MISHAHARA.FEDHA zote hizo ni MAMILIONI ya Shillingi FEDHA ambazo ni KODI za MASIKINI wapiga kura.
JE Ni vigezo gani vinavyopelekea WABUNGE kulipwa hayo MAMILIONI Je ni Elimu yao? JE ni Ugumu wa kazi zao? AU WANAJIPENDELEA ili KUJILIPA MAMILIONI ya FEDHA wakati WANANCHI ni MASIKINI wa kutupwa?
kigezo kikuu ni,

Kazi muhimu na nyeti sana walizonazo, majukumu mazito kwa Taifa, na dhamana kubwa na ya maana sana waliyonayo kwa wanainchi na Taifa kwa ujumla 🐒
 
kigezo kikuu ni,

kazi muhimu na nyeti sana walizonazo, majukumu mazito kwa Taifa, na dhamana kubwa na ya maana sana waliyonayo kwa wanainchi na Taifa kwa ujumla 🐒
Kazi zipi au kugonga meza. Kwanza inakuaje main function ya bunge ni kutunga sheria lakini linazoa hadi darasa la saba na form 4 eti wanajua kusoma na kuandika. Katiba ya tz raha sana.
 
Kujipendelea tu hawana jambo lolote la muhimu la kula ela yote iyo
ngojeni na mimi niwe mbunge dadeq mtanikoma
 
Kazi zipi au kugonga meza. Kwanza inakuaje main function ya bunge ni kutunga sheria lakini linazoa hadi darasa la saba na form 4 eti wanajua kusoma na kuandika. Katiba ya tz raha sana.
Mbona unazitaja wewe tena? au unanikejeli 🐒
 
Back
Top Bottom