Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Issue ya Juma Thomas Zangira naikumbuka vizuri, bahati mbaya aligundulika kufanya uhaini, Mwalimu kumuita Malaya ni hasira dhidi ya uhaini huo, ila kama ni umalaya huo, tunao malalaya hao kibao, tena very high ranking officials you can never imagine!.

Bahati nzuri nimefanya kazi na wenzetu hawa (wazungu) ndani na nje!. Wenzetu wana kitu kinachoitwa "stake holders mapping", kila awamu mpya ikiingia madarakani, wanatayarisha chart ya "who is who" na kuanza ku take "a good care" ya who matters most!"

Kwa kukusaidia tuu, mpaka hii leo, miaka 50 ya uhuru, Tanzania hatufundishi hansard reportes, hansard reportes wote wanafundishiwa kwa "wenzetu", kikitokea kitu chochote kwenye bunge letu kinachowahusu, kile kipande cha "hansard hiyo" kinatangulia kufika "kule" kabla ya kumfikia mkuu wa hansard wa bunge letu!.

Wale mabosi wananene who matters most, wakiingia tuu madarakani, kitu cha kwanza ni kupewa "study tour" kwenye nchi za "wenzetu" wao na familia zao!, kwenye exotic places, 5 stars hotels, allowances nene!, watoto wao kutafutiwa shule huko hata kama ni vilaza!, fanya simple research watoto wa "the people" who matters wa nchi hii, wanasoma wapi, and why?!. Ni ma ignorants tuu kama sisi ndio tunajua kuwa tunafanyiwa "wema" na wenzetu hawa!, na kwa taarifa yako, tule tujisenti wanazo waingizia kwenye hizo kwenye hizo accounts zao za inje kwa kufanya u zangira, accounts hizo wanawafungulia wao, kule "Credit Sussie" kwa kutumia code names only, na hiyo code haiandikwi popote zaidi ya kichwani kwa mtoaji na mpewaji, hivyo hata bank manager hajui jina la account holder!.


Kama Chenge angekuwa ni mmoja wa "mazangira hawa!" Waingereza wasingemsumbua kivile kwa huyu angekuwa ni mtu muhimu kwao hata kama services zake hazihitajiki tena kwa sasa!.

Hii ndio central theme ya uzi wangu, u legal draftsman wa Chenge ni uwezo and has nothing to do with tuhuma za ufisadi wake!, kwa kuutambua uwezo huo, BMK likampa katiba yetu mpya tunayoipenda kuisimamia!, katiba hiyo imetoka na imeishapitishwa kwa kura za kutosha ndani ya BMK na pia tayari imeishakubaliwa na Watanzania walio wengi!, ile kura ya maoni ni kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu!, tukubali, tukatea, kwenye drafting, Chenge ni mtu muhimu sana!, amelisaidia taifa kupata katiba mpya!, sasa iwe ni "Katiba Bora" au ni "Bora Katiba" its immaterial, the bottom like ni "Watanzania Watapata Katiba!" ambayo imekuwa drafted na Chenge!, na draft yenyewe ilianzia CCM ndio wakaireplace ile draft ya Warioba!.

Nimesoma kidogo "graphology" hivyo ninauwezo wa kunote change of tone kwenye maandishi, hapo nilipo bold, hili nilijua linaweza kutokea kwa mimi kushutumiwa nimewatukana Watanzania ni ignorants, wabunge ni ignorants na wana jf ni ignorants!, hivyo sasa mnakasirika kuambiwa "ignorants!.

Kwenye dhana ya ignorance, naomba unisome tena huku umetulia!.


Pasco
Mkuu Pasco, uandishi wako ambao ni "full of sarcacism" unanikumbusha mwandishi mmoja wa west Africa anaitwa Armah Kweih aliandika riwaya ya "The Beatyfull Ones are not yet Born"!
 
Pasco,

Asante kwa ujumbe huu. Kwa nini?

Wacha nianze kwa kujisifu, Nimekuwa naombwa sana kuingia kwenye siasa kwani nchi inahitaji Watu wenye maono na uwezo wa kiutendaji nilioonyesha hapa na pale. Jibu langu siku zote limekuwa hivyo ulivyoandika hapo chini. Ninaowajibu hivyo wengi wamekuwa wanachukia na wengine wanasema sina uzalendo! Finally kuna mtanzania ameita spade a spade.

Mkuu Olesa, asante kwa kunieleza ukweli, kwanza nakiri wazi kabisa kuwa mimi Pasco wa jf, ni mtu mwenye matatizo!, na tatizo langu kubwa kabisa siku zote ni kuueleza ukweli vile ulivyo na sio ukweli ambao watu wanautaka uwe!, siku zote kuna ukweli mmoja tuu na ambao ndio unasimama!, hivyo mpaka ndani ya moyo wangu na nafsi yangu, sina upande kabisa!.

Tanzania tuko kwenye vita vya ukombozi wa pili wa nchi yetu!. Kwenye vita hii, tuna wapiganaji mashujaa walioko mstari wa mbele, ambao wao kazi yao ni kupigana tuu, no matter what!. Na kuna wapiganaji makini ambao hawaamua kupigana hadi wawe na uhakika wa kushinda vita!.

Wapiganaji Shujaa!.
Ndani ya vita hii kuna wapiganaji shupavu, waliodhamiria kuingia vitani, kupigana kufa na kupona, "motto" yao ni "fight figh fight no matter what!", "no retreat!, no surrender!", hawa watapigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike, hata kama wanajua watashindwa vita, wataendelea kupigana tuu, na mwisho wa siku, all will be wiped!, ila watakuwa declared "mashujaa wa taifa" na majina yao, yatakumbukwa milele!.

Wapiganaji Makini!.
Wapiganaji makini, hawaingii vitani mpaka kwanza wajue nguvu ya jeshi la adui!, na wakijipima na nguvu yao, wanaamua kutopeleka kwanza majeshi vitani ili kuepuka a loosing battle!, hawa formula yao ni "never fight a loosing battle", na wakiwa kwenye uwanja wa mapambano, wakiona dalili za kushindwa, kuliko kuendelea ku fight na kuwa wiped out, wata retreat kwenda kujijenga upya, mpaka wawe na nguvu to hit back and win, vinginevyo baada ya majaribio kadhaa ya kushindwa, then wanaamua "if you can't beat them, join them" and learn their secrets of battlefields" kinachowafanya washinde!. That is me!.

Wengi wa wapinzani ni wapiganaji mashujaa so does wengi wa wana jf, mimi ni miongoni mwa wale tunaosema ukweli huu mchungu bila kumung'unya maneno, ili angalau watusikie, sometimes tunalazimika kutumia maneno makali kama hili la "ignorants!' tunaowaambia kuwa hata kwenye urais ni 2015 ni CCM tena!, simply kwa sababu wapinzani bado hawajawa tayari!. Wakiambiwa ukweli huu, wanakasirika!.

Pasco.
 
Nguruvi3,Pasco et al,

Very healthy discussion and debate. Tanzania needs more of this to help us understand ourself and know our true enemy.
Mjadala uendelee.Nawasilisha.
 
Tukisema moja Kwa moja wabunge wetu ni wajinga tu kupinga Chenge kupendekeza hoja ile, Mi nadhani Si Sawa. unapofanya maamuzi huangalia vitu vingi saana. tuwe waungwana mikono ya mpakua chakula wote tunajua ina kinyesi tumruhusu atupakulie chakula tule bila kuona kinyaa! Hapana! haivumiliki! ni muhimu pia kuona jamii ilitegemea nini! Chenge hakutakiwa hata kuwa Mbunge! vipi leo atumike! Pasco Chenge ilikua aone haya jambo lile ilikua akae kimya tu ndo busara
 
Bob G,
Hatuwezi kuwa tunamlaumu Chenge wakati CCM ndio inachuja na kupitisha wagombea wake, pia amepigiwa kura na kukubalika na watanzania jimboni kwake kuwa ndio anawafaa. Mie nadhani tunabweka kwenye mti ambao sio,Chenge sio tatizo. Tatizo ni CCM iliyompitisha Chenge kugombea.
Ukiangalia kwa umakini haya matatizo yetu, yamechimbuka toka kwenye Katiba yetu. Chenge amekuwa mstari wa mbele kutekeleza majukumu anayopewa na Rais na Mwenyekiti wa Chama chake ndio sababu mpaka leo hii ndiye aliyeaminiwa na kupewa jukumu la kuandika katiba mpya. Ukijiweka katika viatu vyake tokea amekuwa AG wa Mkapa, utaona kuwa amekuwa akitekeleza kwa ufasaha maelekezo yote toka kwa mamlaka ya juu yake na ndio sababu ameweza kuwepo pale mpaka amestaafu.
Ni rahisi sie tusioona internal operations za serikali na chama, kumwona kwamba yeye ndio tatizo.
Suala la kujiuliza Chenge jeuri yake inatokana na nini? Binafsi naamini ni kwa sababu amejikatia bima kubwa sana kwa kuwa loyal wa kulinda ngazi ya juu ya utawala kwa uaminifu mkubwa unlike "maZangira" wengine.

Tukisema moja Kwa moja wabunge wetu ni wajinga tu kupinga Chenge kupendekeza hoja ile, Mi nadhani Si Sawa. unapofanya maamuzi huangalia vitu vingi saana. tuwe waungwana mikono ya mpakua chakula wote tunajua ina kinyesi tumruhusu atupakulie chakula tule bila kuona kinyaa! Hapana! haivumiliki! ni muhimu pia kuona jamii ilitegemea nini! Chenge hakutakiwa hata kuwa Mbunge! vipi leo atumike! Pasco Chenge ilikua aone haya jambo lile ilikua akae kimya tu ndo busara
 
Pasco, sina tatizomkuu na maelezo yako mengi kuhusu ignorance yetu na unguli wa Chenge wa Havard. Mwisho wa siku kitachosimama ni yale manufaa tunayoyapata kutokana na huo unguli. Unguli bila nia njema ni janga. Umeme ni mzuri sana lakini kama kila siku ungekuwa unatuunguzia nyumba tu sidhani kama tungeuona wa manufaa kwetu.Unguli wake umetuzalishia kila aina ya mikataba mibovu na ya kuangamiza taifa letu, hivyo tusemeje sisi 'ignorants'?
Heri draughting ya mzalendo mwenzetu asiyekuwa nguli wa Havard, kuliko ile nguli fisadi, ambaye siku zote anafikiri atuchune vipi kwa kutumia unguli wake.
 
Mkuu Olesa, asante kwa kunieleza ukweli, kwanza nakiri wazi kabisa kuwa mimi Pasco wa jf, ni mtu mwenye matatizo!, na tatizo langu kubwa kabisa siku zote ni kuueleza ukweli vile ulivyo na sio ukweli ambao watu wanautaka uwe!, siku zote kuna ukweli mmoja tuu na ambao ndio unasimama!, hivyo mpaka ndani ya moyo wangu na nafsi yangu, sina upande kabisa!.

Tanzania tuko kwenye vita vya ukombozi wa pili wa nchi yetu!. Kwenye vita hii, tuna wapiganaji mashujaa walioko mstari wa mbele, ambao wao kazi yao ni kupigana tuu, no matter what!. Na kuna wapiganaji makini ambao hawaamua kupigana hadi wawe na uhakika wa kushinda vita!.

Wapiganaji Shujaa!.
Ndani ya vita hii kuna wapiganaji shupavu, waliodhamiria kuingia vitani, kupigana kufa na kupona, "motto" yao ni "fight figh fight no matter what!", "no retreat!, no surrender!", hawa watapigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike, hata kama wanajua watashindwa vita, wataendelea kupigana tuu, na mwisho wa siku, all will be wiped!, ila watakuwa declared "mashujaa wa taifa" na majina yao, yatakumbukwa milele!.

Wapiganaji Makini!.
Wapiganaji makini, hawaingii vitani mpaka kwanza wajue nguvu ya jeshi la adui!, na wakijipima na nguvu yao, wanaamua kutopeleka kwanza majeshi vitani ili kuepuka a loosing battle!, hawa formula yao ni "never fight a loosing battle", na wakiwa kwenye uwanja wa mapambano, wakiona dalili za kushindwa, kuliko kuendelea ku fight na kuwa wiped out, wata retreat kwenda kujijenga upya, mpaka wawe na nguvu to hit back and win, vinginevyo baada ya majaribio kadhaa ya kushindwa, then wanaamua "if you can't beat them, join them" and learn their secrets of battlefields" kinachowafanya washinde!. That is me!.

Wengi wa wapinzani ni wapiganaji mashujaa so does wengi wa wana jf, mimi ni miongoni mwa wale tunaosema ukweli huu mchungu bila kumung'unya maneno, ili angalau watusikie, sometimes tunalazimika kutumia maneno makali kama hili la "ignorants!' tunaowaambia kuwa hata kwenye urais ni 2015 ni CCM tena!, simply kwa sababu wapinzani bado hawajawa tayari!. Wakiambiwa ukweli huu, wanakasirika!.

Pasco.

labda. . . . . . . tatizo ni hili gap kati ya "uwezo wa kufikiri na nia " na "uwezo wa kuandika na nia" ambao sasa unauzungumzia juu ya muhusika naona kivuli katika uandishi wako yaani figa ipo Dar ila kivuli kiko casted Tunduma!!!!
 
Yaani ikitokea scandal yeyote ya wizi wa mabilioni basi be sure jina la ANDREW CHEGGE lita pop-up smwhere smhow...! mi naona anaweza kawa anasingiziwa..., haiwezekani kila kashfa wewe uwemo...! hivi ni nini hiki???! hivi nini kinaendelea hapa???!
 
Jamaa ni holder wa Masters of thieves planning and implimentation
Kibaya zaidi.., huwa hachukuliwi hatua yeyote ya kinidhamu pindi anapobainika.., huyu mtu ni mchawi nini..??! haiwezekani bhana..!!!!! nataka majibu hapa...!! ni nini hiki..., hivi nini kinaendelea hapa..?!
 
Ukiona mtoto ana tabia ya udokozi au wizi au uhuni au tabia mbaya nyingine yoyote ile halafu wazazi au walezi wake hawamchukulii hatua kumkanya au kumrekebisha dhidi ya mwenendo wake, ujue wazi kwamba wazazi au walezi wa mtoto huyo wamekubuhu katika hayo ayafanyayo mtoto wao na kwamba jamii ndiyo inatakiwa kuchukua hatua za kumrekebisha na hata kumchoma moto endapo atazidi kuwa tishio kwa ustawi wa jamii husika
 
Ningependa kumfahamu chenge kwa undani zaidi,maana maishu anayopiga siyo ya mchezo mchezo na huwa hapatagi kesi wala mashtaka ya kujibu, "how genius is this?"seems he know well to play samba in this country
 
yaani hadi alipewa ridhaa ya kuwa mwandishi wa katiba wa nchi hii "Tanzania "
sio mtu wa kawaida
 
Back
Top Bottom