Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Ninashangaa sana kusikia eti katiba mpya imekuwa ina umuhimu sasa hivi wakati kuna kikosi kazi kilisema mpaka mama akishinda uchaguzi wa 2025 ndio mchakato uanze.
Sio mbaya maana sasa ni hitaji la kitaifa na mchakato uanze mapema, lakini kwa nini CCM wabadili gea?
Mbona masuala ya msingi kama hujuma dhidi ya mradi wa JNHP, kupanda bei mafuta na mbolea hayajadiliwa na ilihali yanaleta dhahama kwa wananchi.
Huu mradi wa JNHP ni muhimu sana kwa maisha ya wananchi. Mbolea imekuwa ni kikwazo maana nchi jirani ni bei rahisi tofauti na hapa nchini. Mafuta nayo ni songombingo maana kuna namna za watu humo kama inavyosadikika. Kwa nini hawayajadili haya?
Sio mbaya maana sasa ni hitaji la kitaifa na mchakato uanze mapema, lakini kwa nini CCM wabadili gea?
Mbona masuala ya msingi kama hujuma dhidi ya mradi wa JNHP, kupanda bei mafuta na mbolea hayajadiliwa na ilihali yanaleta dhahama kwa wananchi.
Huu mradi wa JNHP ni muhimu sana kwa maisha ya wananchi. Mbolea imekuwa ni kikwazo maana nchi jirani ni bei rahisi tofauti na hapa nchini. Mafuta nayo ni songombingo maana kuna namna za watu humo kama inavyosadikika. Kwa nini hawayajadili haya?