#COVID19 Pamoja na kuvaa barakoa nahisi mtu anaweza kupata virus vya Corona kupitia vinywaji vya kwenye cafe au bar

Felix

JF-Expert Member
Mar 9, 2014
876
762
Wakuu habari za siku nyingi,

Nimeshtukia hii kitu sana mtu kupata virusi vya corona kupitia vinywaji Kama soda au bia kupitia njia ya wahudumu.

Umevaa barakoa vizuri kabisaaa, una nawa mikono n.k,

Ukienda bar unavua barakoa una agiza bia ata ukiwa peke yako. Muhudum akija anakufungulia ile bia au soda, wakati anafungua chupa hakuna namna yoyote ya kufungua bia au soda bila kuishika ile chupa mdomon.

Akimaliza kufungua unachukua chupa ya soda aliyofungua unaweka mdomon unapata kinywaji. Badae unavaa barakoa na kuondoka.

Sasa basi yule muhudum aliyefungua soda, muda wote anashika shika zile meza ambazo wateja wamekalia tofauti.

Pia huyo muhudum anashika hela ambazo zimetoka kwa watu tofauti n.k, na wakati huo, anapofungua chupa hazioshi kabla n.k

Nanahisi japo si kwa utafiti, kwamba Kama atakufungulia wakati huo huo yeye amepata wadudu sehem, Kuna uwezekano mkubwa wadudu akawaacha apo kwenye ile chupa unayotumbukiza mdomon.

Napendekeza Kama hauna sababu kubwa Sana ya kunywa soda mtaani au bar nywea nyumban kwako maana chupa zitaoshwa n.k

Au basi ukiamua kunywa soda mtaani usikubali kufunguliwa na muhudum unaye muona yuko bize na watu Sana, au Kama atakufungulia basi tumia mrija kupata kinywaji.

Ni mawazo yangu tu si utafiti.
 
Hii Corona imekaa mahal pabaya sana kuna namna nying sana za kuipata unless ujifungie kwako usikutane na mtu kabisa utapona thrwise hakuna ujanja kuna Muda Mungu anatuokoa tu
 
Wakuu habari za siku nyingi,

Nimeshtukia hii kitu sana mtu kupata virusi vya corona kupitia vinywaji Kama soda au bia kupitia njia ya wahudumu.

Umevaa barakoa vizuri kabisaaa, una nawa mikono n.k,

Ukienda bar unavua barakoa una agiza bia ata ukiwa peke yako. Muhudum akija anakufungulia ile bia au soda, wakati anafungua chupa hakuna namna yoyote ya kufungua bia au soda bila kuishika ile chupa mdomon.

Akimaliza kufungua unachukua chupa ya soda aliyofungua unaweka mdomon unapata kinywaji. Badae unavaa barakoa na kuondoka.

Sasa basi yule muhudum aliyefungua soda, muda wote anashika shika zile meza ambazo wateja wamekalia tofauti.

Pia huyo muhudum anashika hela ambazo zimetoka kwa watu tofauti n.k, na wakati huo, anapofungua chupa hazioshi kabla n.k

Nanahisi japo si kwa utafiti, kwamba Kama atakufungulia wakati huo huo yeye amepata wadudu sehem, Kuna uwezekano mkubwa wadudu akawaacha apo kwenye ile chupa unayotumbukiza mdomon.

Napendekeza Kama hauna sababu kubwa Sana ya kunywa soda mtaani au bar nywea nyumban kwako maana chupa zitaoshwa n.k

Au basi ukiamua kunywa soda mtaani usikubali kufunguliwa na muhudum unaye muona yuko bize na watu Sana, au Kama atakufungulia basi tumia mrija kupata kinywaji.

Ni mawazo yangu tu si utafiti.
Mkuu kwa maisha yetu haya huna ujanja wa kuikwepa corona kwa asilimia zote, na kwa taarifa yako hasa maisha ya dar toka imeanza jiji lingebakia na wakazi 120!!tu ila ni MUNGU tu ndio anayeendelea kutulinda!!!leo hii nenda kwenye daladala kama corona hakuna tu!!
 
Wakuu habari za siku nyingi,

Nimeshtukia hii kitu sana mtu kupata virusi vya corona kupitia vinywaji Kama soda au bia kupitia njia ya wahudumu.

Umevaa barakoa vizuri kabisaaa, una nawa mikono n.k,

Ukienda bar unavua barakoa una agiza bia ata ukiwa peke yako. Muhudum akija anakufungulia ile bia au soda, wakati anafungua chupa hakuna namna yoyote ya kufungua bia au soda bila kuishika ile chupa mdomon.

Akimaliza kufungua unachukua chupa ya soda aliyofungua unaweka mdomon unapata kinywaji. Badae unavaa barakoa na kuondoka.

Sasa basi yule muhudum aliyefungua soda, muda wote anashika shika zile meza ambazo wateja wamekalia tofauti.

Pia huyo muhudum anashika hela ambazo zimetoka kwa watu tofauti n.k, na wakati huo, anapofungua chupa hazioshi kabla n.k

Nanahisi japo si kwa utafiti, kwamba Kama atakufungulia wakati huo huo yeye amepata wadudu sehem, Kuna uwezekano mkubwa wadudu akawaacha apo kwenye ile chupa unayotumbukiza mdomon.

Napendekeza Kama hauna sababu kubwa Sana ya kunywa soda mtaani au bar nywea nyumban kwako maana chupa zitaoshwa n.k

Au basi ukiamua kunywa soda mtaani usikubali kufunguliwa na muhudum unaye muona yuko bize na watu Sana, au Kama atakufungulia basi tumia mrija kupata kinywaji.

Ni mawazo yangu tu si utafiti.
Felix nashukuru kwa andiko ambalo awali sikulielewa.

Naomba nitumie uzi wako kuwaeleza watu kwamba hata kama mtu atapata chanjo, haitomzuia kupata maambukizi, lakini bado kuna faida kubwa ya chanjo.

Chanjo haipunguzi uwezekano wa kupata maambukizi. Chanjo inapunguza uwezekano wa kupata ugonjwa baada ya kupata maambukizi. Lakini isipozuia kupata ugonjwa uliotokana na maambukizi uliyopata basi dalili za huo ugonjwa zitapunguzwa makali.

Ukipata maambukizi ya mdudu anayesababisha ugonjwa fulani, haimaanishi una ugonjwa. Ugonjwa ni ile hali ya mwili kuugulia au kuathirika na maambukizi uliyopata. Ugonjwa ni dalili za mwili kuumia au kuugua, dalili hizi zinazotokea baada ya kupata kitu kama maambukizi ya mdudu fulani.

Mfano katika familia panaweza pakawa na mtu mgonjwa wa mafua (hapa nazungumzia mafua ya kuambukiza na sio ya allergy). Huyo mtu mwenye mafua ana maambukizi ya kirusi (viral infection), lakini pia ana ugonjwa ambao tumeutambua kupitia hizo dalili zilizokufanya umtambue kwamba ana mafua (ugonjwa huu wataalamu waweza ita na jina la flu au common cold).
Si ajabu hayo mafua yakaja kuwaathiri watu wachache (kuwafanya kuwa na ugonjwa) ndani ya nyumba yake na wengine wasipate ugonjwa. Kutopata ugonjwa haimaniishi hawakupata maambukizi (infection). Unaweza pata maambukizi ya huo ugonjwa ila ukawa na kinga ya huyo mdudu au usipate ugonjwa kwa sababu hukupata maambukizi kwa namna yeyote ile kama kutokuwepo na mgonjwa karibu n.k.

Infection (maambukizi) + dalili (signs and or symptoms) = ugonjwa (disease)
 
Akimaliza kufungua unachukua chupa ya soda aliyofungua unaweka mdomon unapata kinywaji. Badae unavaa barakoa na kuondoka.
Upo sahihi kabisa, inakuwa sawa na kuvaa tube baada ya tendo kikavu🤣
 
Bora hiyo, nipo Ludewa huku tunakunywa ulanzi kwa kupokezana visado na hatuna mpango na corona.
 
Mimi ndo maana huwa nakula cement inayifanya virus wa aina yoyote wabaki kwenye mwili kwa nje wakuogopa kuingia ndani
 
Back
Top Bottom