Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,139
- 4,216
Wasiopenda maendeleo ya Tanzania hawataki mradi huu ukamilike mapema.
Hapo bado mifuko ya pension ya wastaafu kukwanguliwa na na kuachwa myeupeeee na pesa zote kupelekwa bwawa la nyerere yaan mzee alikuwa anamawazo ya hovyo sana yule.Angekuwepo lingekuwa limekamilika ila mishahara, madaraja, ajira mpya nk usingeviona kamwe.
Maendeleo lazima yawe balanced, vitu na watu. Magufuli alidhani maendeleo ni VITU na sio kwa WATU
Huko kwenu sembe bei gani kwa kilo?Angekuwepo lingekuwa limekamilika ila mishahara, madaraja, ajira mpya nk usingeviona kamwe.
Maendeleo lazima yawe balanced, vitu na watu. Magufuli alidhani maendeleo ni VITU na sio kwa WATU
Ruaha mkuu haikauki MnyarukoloMvua zenyewe zi wapi?
Kwani kipindi cha RICHMOND ilikuwaje?Ruaha mkuu haikauki Mnyarukolo
JNHEP siyo kikwazo tu ni KITANZI kwao. Hata wao wanajua kuwa umma unazitazama sarakasi zao na kwamba 2024 siyo mbali.Priority ya awamu hii ni gesi sio hydro electric power.
Huo mradi ni kikwazo kwao.
Ni kama umesuswa. Yanayoendelea huko yanasikitisha mno.
Kama shule haukwenda kusomea ujinga basi ungelijua, kama kwenu unaona sembe ni ghali basi angalia na kiwango cha demand na kiwango cha suppliers.Huko kwenu sembe bei gani kwa kilo?
Marehemu aliacha ukiwa asilimia ngapi na mwaka mmoja baadae umefika asilimia ngapi!?..yaani yupi kaupeleka kwa kasi kuliko mwingine!?..ili uthibitishe madai yakoPriority ya awamu hii ni gesi sio hydro electric power.
Huo mradi ni kikwazo kwao.
Ni kama umesuswa. Yanayoendelea huko yanasikitisha mno.
Pole Sana,unatumainia chaguzi wanazoziandaa wao!?..watu wazima tumekua na matumaini hayo tangu 1995...tulipong'amua ni maigizo tukaendelea tu kujenga nchiJNHEP siyo kikwazo tu ni KITANZI kwao. Hata wao wanajua kuwa umma unazitazama sarakasi zao na kwamba 2024 siyo mbali.
Wasiopenda maendeleo ya Tanzania hawataki mradi huu ukamilike mapema.View attachment 2388685
1400Huko kwenu sembe bei gani kwa kilo?
Hapo bado mifuko ya pension ya wastaafu kukwanguliwa na na kuachwa myeupeeee na pesa zote kupelekwa bwawa la nyerere yaan mzee alikuwa anamawazo ya hovyo sana yule.
Hivi ni mimi tu ndiye ninaona tatizo kwenye hoja hii?Marehemu alikuwa akiujenga mradi wa JNHEP kwa fedha zake binafsi?Wasiopenda maendeleo ya Tanzania hawataki mradi huu ukamilike mapema.View attachment 2388685
Ilikuwa ASILIMIA 30+Yeye aliahidi lingekamilika 2022! Alivyokufa lilikuwa asilimia ngapi? Na sasa limefika ngapi?