Pamoja na kusuasua ujenzi wa bwawa la JNHP lafikia 74%

Mvua zenyewe zi wapi?
Leo umeongea kitu ambacho watu wenu walibisha kuwa ukosefu wa mvua siyo tatizo.Kwamba zitanyesha kwa ajili ya bwawa hilo na ratiba ya kulijaza maji ikatolewa,wakati wa upigaji huwa hawaoni,hawasikii wala kufikiria athari zinazoweza kutokea baadaye.
Ubishi ni fani yao ili wale 10% zao kiulaini;Vya Mlevi huliwa na Mgema?
Tanganyika raha sana.
 
Priority ya awamu hii ni gesi sio hydro electric power.

Huo mradi ni kikwazo kwao.

Ni kama umesuswa. Yanayoendelea huko yanasikitisha mno.
Awamu ipi? Ilani ya CCM 2020 ndio ilisema hayo kuwa energy mix ndio solution na sio tu gesi mlisema Hadi umeme wa upepo na Joto ardhi.

Acheni kauli mbili mbili
 
Dunia ya leo kipaumbele ni Energy Mix...

The question is: mnafanya nini kufikia hilo?! Timu Magu mnadanganyana Bwawa la Nyerere ndo kila kitu!!
Elimu yako ni very poor. Huko China na uchumi wao mkubwa wanajenga Hydropower kila siku.
 
Priority ya awamu hii ni gesi sio hydro electric power.

Huo mradi ni kikwazo kwao.

Ni kama umesuswa. Yanayoendelea huko yanasikitisha mno.
Inchi hii inawatu wanafki na waongo kabisa .mtu unaongea bila wasiwasi eti mradi umesuswa? Kwani hayati aliucha katika asilimia ngapi? Miongoni mwa dalili ya afya ya akili kumchukia mtu bila sababu.wewe unamchukia mama bila sababu za msingi.
N.B acha chuki za kidini,kikabila,na kikanda.
 
Wasiopenda maendeleo ya Tanzania hawataki mradi huu ukamilike mapema.View attachment 2388685
Usitake kupotosha,ujenzi wa Bwawa ulisuasua awamu ya 5,, kwa zaidi ya miaka 2 Bwawa lilijengwa kwa 30%

Awamu ya 6 baada ya mwaka na nusu ujenzi uko zaidi ya 70%. Mara mbili zaidi.

Kilicholeta tofauti ni kwamba awamu ya 5 hawakuwa na pesa ila walikuwa wanapiga propaganda ila awamu hii hakuna propaganda na Kazi inaonekana..

Tena sio main dam tuu bali njia ya kusafirisha umeme ambayo ni component mpya imekamilika kwa zaidi ya 95% achilia mbali barabara ya kwenda huko kwenye Bwawa..

Yote hayo yanafanyika bila kutatiza shughuli zingine za Uchumi kwa visingizio vya Bwawa na sgr maana ndio ulikuwa wimbo wa wale failures..
 
Inchi hii inawatu wanafki na waongo kabisa .mtu unaongea bila wasiwasi eti mradi umesuswa? Kwani hayati aliucha katika asilimia ngapi? Miongoni mwa dalili ya afya ya akili kumchukia mtu bila sababu.wewe unamchukia mama bila sababu za msingi.
N.B acha chuki za kidini,kikabila,na kikanda.
Ni wapuuzi na washenzi hao, wanaweza wakamata watu wajinga wasiofuatilia mambo ambao kimsingi ni wengi..

Kwa miaka zaidi ya 2 ,ujenzi ulikuwa only 30% sasa ni Mwaka na nusu uko 70% mara mbili ya alivyokuwa.
 
He was an heaven-sent President.
ENf6knOX0AEwzJy.jpeg
 
Vipi SGR, mbona zimebaki kuwa ngonjera tu hususan kipande cha Dar-Moro ambacho tangu Nov 2019 zinapigwa danadana tu kwamba safari zitaanza, wamechukua pesa za IMF na tozo wanakamua daily lakini miradi haitoboi......shida nini? au walamba asali wamerudi ukumbini.​
 
Leo umeongea kitu ambacho watu wenu walibisha kuwa ukosefu wa mvua siyo tatizo.Kwamba zitanyesha kwa ajili ya bwawa hilo na ratiba ya kulijaza maji ikatolewa,wakati wa upigaji huwa hawaoni,hawasikii wala kufikiria athari zinazoweza kutokea baadaye.
Ubishi ni fani yao ili wale 10% zao kiulaini;Vya Mlevi huliwa na Mgema?
Tanganyika raha sana.
Mkuu wanasahau potential Energy ya mradi ni ujazo wa maji kwenye bwawa hilo.
Kuna nyakati mabwawa mengine kama Mtera na Kidatu, yalikumbwa uhaba wa maji kutokea kwenye mito husika ilisababisha upungufu wa kina cha maji kwenye mabwawa hayo.
Nasikia pia walikata miti millioni 6 kupisha ujenzi wa bwawa la Nyerere hilo.

Bila kudhibiti shughuli za kilimo,mifugo,uchomaji misitu,bila kutafuta nishati mbadala ya kuni na kupanda mabilioni ya miti rafiki kwenye maeneo ya mikoa ya Iringa,Dodoma,Morogoro,Lindi Pwani,mradi huo utageuka kituko.
 
Marehemu aliacha ukiwa asilimia ngapi na mwaka mmoja baadae umefika asilimia ngapi!?..yaani yupi kaupeleka kwa kasi kuliko mwingine!?..ili uthibitishe madai yako
Sifa apewe Rais SSS ndiye kafanya kazi kubwa. Halafu Kumbuka hajanyang'anya fedha za mfanyabiashara yeyote na wafanyakazi wamepata ongezeko la mshahara.

Kuendesha Serikali kunahitaji AKILI na siyo UBABE tu. Heko Rais Samia
 
Kipi kipaumbele kati ya Hydropower na hivyo vyanzo vingine
Priority ni energy mix.... Currently umeme wa gesi unachangia 60% gridi ya taifa. Sasa sielewi mnaposema umeme wa Maji unahujumiwa ilihali gesi ndio Ina quota kubwa zaidi kwenye gridi.

Tuache bias ya kudhani mtu mmoja pekee ndio anaweza Kila kitu wengine woote ni hamnazo
 
Back
Top Bottom