Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Teknolojia sio sawa na kwenda kumteka mtu kisa kachoma picha ya Rais.

Kwa Mamlaka na Cheo chako, Unaweza kutakani kuona mtu haiingii online ukashindwa.

Kiko wapi? Uliotamani tusihabalishane ndo kwanza tumefungulia.
Screenshot_20250907_023213_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom