Palestine thanks Tanzania for support at UN

Palestine thanks Tanzania for support at UN

In tanzania, the curse will be for Membe and his followers.

hao wayahudi ni wakolofi miaka yote.wakati wa kuelekea vita vya pili vya dunia hawa jama walikua wafanyabiashara wakubwa na walikua watu wa kujisikia sana.walichukiwa ulaya yote kwa ajili ya mambo yao biashara zao zikagomewa wakatengwa na hatimaye kuwekwa kwenye concetration camp wakati wakitafutiwa makao.walikua wapelekwe texas,ikashindikana,hatimaye ndo wakaletwa hapo palestine.jamaa wa ulaya walikua wameshawachoka na walifanya juu chini kuhakikisha wanasimika taifa hilo hapo mashariki ya kati.
Hao waliokamata israel ni wayahudi wa ukoo wa Ashekenazi na wako na ndoto ya kuitawala dunia.
 
Wewe ni mkristo alaf hujui nafasi yako kwenye dunia hii???
Support Israel kwasababu nyingine ila please sio kwa imani yako kwasababu Jews hawamtambui kristo wako hta kidogo. They are still waiting for their Mesiah.
Sasa huwa nashanga Mkristu unaye jaribu kujpendekeza kwa watu ambao wanakuona mzandiki, mzushi.


Wakristu gani hao? Imani gani hiyo?

I know your respond was not to me, but let me ask you a question: Kwanini Waislam wote wanasupport Palestine ambayo haijatajwa kwenye Koran Tukufu wakti huohuo, Allah pamoja na Mtume wake Muhammad wanaisupport Israel kama Nchi wa Wanaisrael?
 
What does the Koran say?
People assume that the Koran (Q'aran - Muslim holy scriptures) has anti-Israel passages. While there is no doubt some level of anti-Jewish sentiment in the Koran, there are many passages that are actually in support of a Jewish state of Israel! The following are eleven passages showing the support for a Jewish state in the Muslim holy scriptures.


Sura 2:190
A case could even be made that Israel's victory over the Arabs in the 1948 war was a judgement by Allah against the Arabs for their apostasy in opposing the Zionists. This would be their just reward for transgressing Sura 2:190, which says, "Fight in the way of Allah against those who fight against you, but begin not hostilities."

Sura 5:21
Moses is quoted as telling the Jews to "enter into the Holy Land which Allah has assigned to you". While Mohammed later condemns the Jews for their sins and their refusal to accept his message, he never says that, as punishment, Allah has revoked our title to the Holy Land. Therefore the title still stands, and Muslim anti-Zionists are apostates.


Sura 9:5
"Then when the Sacred Months have passed, kill the disbelievers wherever you find them, and capture them and besiege them, and prepare for them each and every ambush. But if they repent and observe the Islamic lifestyle, then leave their way free. Verily, Allah is Oft Forgiving, Most Merciful." - Does this sound like a peaceful religion to you?​

Sura 10:93-94
"We settled the Children of Israel in a beautiful dwelling-place...If thou wert in doubt as to what We have revealed unto thee, then ask those who have been reading the Book from before thee" - In case you had any doubts about whether the Koran talks about the Jews' right to live in the land of Israel.


Sura 16:126
"If ye punish, then punish with the like of that wherewith ye were afflicted." Yet Ariel Sharon's nonviolent, if provocative, visit to the Temple Mount was met with rioting,
including the use of firebombs and AK-47's.


Sura 17:4
"And We [Allah] gave (clear) warning to the children of Israel in the Book, that twice would they do mischief on the earth and be elated with mighty arrogance (and twice would they be punished)!" The succeeding verses tell us that the punishment referred to was banishment from the land. But "twice" means twice, not three times; hence the Jews, having been banished from the land once by the Babylonians and a second time by Rome, will never again be banished from the land. According to the Qur'an, Israel is an eternal nation.

Moreover, "twice would they do mischief on the earth" means twice, not three times; hence the Jews will never again do mischief on the earth. In particular, the Jews cannot bear moral responsibility for the Palestinian refugee problem.



Sura 17:7
The Palestinians deny that there ever was a Jewish Temple in Jerusalem. But Sura 17:7 records the destruction of the First Temple by Babylon and the Second Temple by Rome, and Mohammed never contests the Bible's claim that the Temples were in Jerusalem.


Sura 17:104
The Jews' return from 19 centuries of exile is actually the fulfillment of Islamic prophecy. Sura 17:104 says that
'And we said to the Children of Israel afterwards, "Go live into this land. When the final prophecy comes to pass, we will summon you all in one group."'


Sura 60:9
Moreover, Sura 60:9 forbids aiding the enemies of the Muslim people. Contrast this with the Palestinians' continued support of Saddam Hussein, whose hands are red with the blood of Iranian, Kurdish, and Kuwaiti Muslims.


Sura 83:1
"Woe to those that deal in fraud"; yet Yasir Arafat reneged on his promise to guard Joseph's Tomb in Nablus after the Israeli troops withdrew.
 
hao wayahudi ni wakolofi miaka yote.wakati wa kuelekea vita vya pili vya dunia hawa jama walikua wafanyabiashara wakubwa na walikua watu wa kujisikia sana.walichukiwa ulaya yote kwa ajili ya mambo yao biashara zao zikagomewa wakatengwa na hatimaye kuwekwa kwenye concetration camp wakati wakitafutiwa makao.walikua wapelekwe texas,ikashindikana,hatimaye ndo wakaletwa hapo palestine.jamaa wa ulaya walikua wameshawachoka na walifanya juu chini kuhakikisha wanasimika taifa hilo hapo mashariki ya kati.
Hao waliokamata israel ni wayahudi wa ukoo wa Ashekenazi na wako na ndoto ya kuitawala dunia.

To the outsider, the conflict in Israel may seem simple. Israel is "occupying Palestinian land" (what does that mean anyway? - are Canadians and Americans not occupying the Native land?) and the Palestinians want control over themselves, and have put up an armed struggle to end the 'occupation'. However, things are not this simple - there are a lot of lies out there, perpetuated by casual followers and most of the press. Please read the following for a taste of the truth.


The Palestinian Constitution, straight from the website of Yasser Arafat's Fateh movement, this document shows the unwillingness of the Palestinians do have fair peace talks with the Israelis. Please make sure you see Articles 12 and 19.


The Tragedy of Errors, by James Parkes, is an excellent synopsis of the history of "Palestine" and Israel, up to 1961. David Elazar describes James Parkes as being a "British Theologian whose post years travels brought him to the British Mandate of Palestine." An excellent read. A link on Mr. Elazar's website describes the history of Jerusalem in detail.


Jews in Arab countries: Before and after 1948 is a commentary on the treatment of Jews in pre-Israel Arab countries.


Arafat is making fools of everyone is and Op-Ed from the Israeli newspaper Ha'aretz describing the cynical attitude of Yasser Arafat and the Palestinian Authority.


Peace or Piece-by-Piece is written by Dr. Zvi Shkedi in 1996 - interestingly, not much has changed since then, many years ago. Included in the article are a number of quotes from Arafat and other Arab leaders, indicating their plans to destroy Israel, piece-by-piece. Will we let this happen???
 
mie budha.
Na yule ambae alikua haishi kumuegemea kifuani anaitwa nani kweli?yohana ama peter.dah nilishaanza kusahau.

Ujinga wako unadhihirika hapa. Kwa hiyo ulikuwa unamaanisha kuwa Yesu ana mahusiano na Mariamu?

Juzi hapa nimesikia kituko cha mwaka Msikiti wa Ubungo kutapeliwa 200m na mwarabu lakini sasa sioni ajabu ikiwa hii ndio namna mnafanya reasoning. Kwa kuwa marehemu alikuwa na wake 23 na watumwa wa ngono ndio unaelekea huko kwa maneno ambayo hata hayana maana.

Kama shida ni kumuosha miguu, acha nikuambie kuwa Yesu mwenyewe aliwaosha miguu mitume wake wote 12. Yaani umenishangaza kweli kweli. Kwa hiyo mtu yeyote akiacha shughuli zake na kumsikiliza Yesu kwa muda mrefu basi anakuwa hawara yake? Kweli mmelelewa vibaya, huko ndio mnakowaza tu. Mungu akurehemu
 
inahatarisha vipi uwepo wa vatican?wayahudi wana iman yao na kitabu chao tofauti na wakatoliki.
Kwanini nyerere na ukatoliki wake aliipinga israel na siasa zake za kuiba ardhi ya palestine.

.
Sii katoliki na wakatoliki tu mkuu hata Martin Luther aliwahi toa tamko kwamba wayahudi ni wapinga Kristo na hivyo wanastahili kuuawa. Yerusalem ilisambaratishwa na Kaisari Nero wa Rumi ya kale kwenye mwaka wa 70. Hivyo tena baadae Rumi ya katoliki kutumama majeshi kuuteka mji na kuufanya kuwa wa kikristo. Sii hivyo tu hata waislamu(waturuki) walikuwa wameisha iteka Yerusalem kabla yaani myahudi na mji wao Yerusalem wakawa ni shauku ya jamaa wote wa dunia kuwaua. Baadhi yao walifanya hivyo kwa nia njema wakifikiri wanamtumikia Mungu na hivyo kumuua myahudi ikawa ni kama ibaada ya toba kwa Mungu. Walifanya hivyo maana wengi wao ni watengenezaji na sii manabii. Manabii wasingeweza kuthubutu kufanya hilo maana wanafahamu kwa ujuzi wake neno la Mungu kuwahusu Israel. Kwa asili hakuna nchi kama Palestena hili ni jina la historia ya katikati lakini Israel ni taifa lenye mipaka ya ardhi yake toka kama karne ya ishirine hivi kabla ya Yesu. Na nchi yenye bendera(ya Daudi) ya kale kuliko nchi nyingine.
Leo hii mnathubutu kuwanyanganya nchi yao na kujaribu kuugawa mji wa Yerusalem ya Daudi kuwa makao makuu ya nchi mbili tofauti, nasema na ninarudia tena na pia historia zote mbili zinaniunga mkono, yaani dini na ile huru kwamba jambo hilo haliwezekani. NARUDIA TENA, HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUIGAWANYA YERUSALEM!!
.
 
Hapo ndipo waislamu nawaheshimu kwa kuipenda na kuilinda imani yao......Hivi sisi tunakataa hii laana kwa midomo tu bila kutaka kuuliza Membe kama waziri wa mambo ya nje atuambie alipitisha lini opinion poll kujua raia wake tunasimama upande upi?

Nadhani haya ndiyo mambo ya kuangalia kwenye katiba..Nyerere yeye msimamo wake ndiyo aliufanya uwe wa kila mtu bila hata kututaka maoni yetu? Hiyo ilikuwa sawa kwenye siasa ya chama kimoja ambapo zilidumu fikra za wasiopenda kufikiri ili wasikosolewe lakini si wakati huu....I beg to differ, Membe has to tell us sisi wakristo inakuaje atu by pass kwenda kupingana na imani yetu?

.
Mkuu hii ndiyo hoja ya msingi!!
Thanks and BIG UP.
.
 
.
Sii katoliki na wakatoliki tu mkuu hata Martin Luther aliwahi toa tamko kwamba wayahudi ni wapinga Kristo na hivyo wanastahili kuuawa. Yerusalem ilisambaratishwa na Kaisari Nero wa Rumi ya kale kwenye mwaka wa 70. Hivyo tena baadae Rumi ya katoliki kutumama majeshi kuuteka mji na kuufanya kuwa wa kikristo. Sii hivyo tu hata waislamu(waturuki) walikuwa wameisha iteka Yerusalem kabla yaani myahudi na mji wao Yerusalem wakawa ni shauku ya jamaa wote wa dunia kuwaua. Baadhi yao walifanya hivyo kwa nia njema wakifikiri wanamtumikia Mungu na hivyo kumuua myahudi ikawa ni kama ibaada ya toba kwa Mungu. Walifanya hivyo maana wengi wao ni watengenezaji na sii manabii. Manabii wasingeweza kuthubutu kufanya hilo maana wanafahamu kwa ujuzi wake neno la Mungu kuwahusu Israel. Kwa asili hakuna nchi kama Palestena hili ni jina la historia ya katikati lakini Israel ni taifa lenye mipaka ya ardhi yake toka kama karne ya nne hivi. Na nchi yenye bendera(ya Daudi) ya kale kuliko nchi nyingine.
Leo hii mnathubutu kuwanyanganya nchi yao na kujaribu kuugawa mji wa Yerusalem ya Daudi kuwa makao makuu ya nchi mbili tofauti, nasema na ninarudia tena na pia historia zote mbili zinaniunga mkono, yaani dini ya huru kwamba jambo hilo haliwezekani. NARUDIA TENA, HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUIGAWANYA YERUSALEM!!
.

jerulem ziko mbili.east jerusalem and west jerusalem kama ulikua hujui.east jerusalem inahesabika kama occupied territory.
 
Ujinga wako unadhihirika hapa. Kwa hiyo ulikuwa unamaanisha kuwa Yesu ana mahusiano na Mariamu?

Juzi hapa nimesikia kituko cha mwaka Msikiti wa Ubungo kutapeliwa 200m na mwarabu lakini sasa sioni ajabu ikiwa hii ndio namna mnafanya reasoning. Kwa kuwa marehemu alikuwa na wake 23 na watumwa wa ngono ndio unaelekea huko kwa maneno ambayo hata hayana maana.

Kama shida ni kumuosha miguu, acha nikuambie kuwa Yesu mwenyewe aliwaosha miguu mitume wake wote 12. Yaani umenishangaza kweli kweli. Kwa hiyo mtu yeyote akiacha shughuli zake na kumsikiliza Yesu kwa muda mrefu basi anakuwa hawara yake? Kweli mmelelewa vibaya, huko ndio mnakowaza tu. Mungu akurehemu

ndo hivyo bwana kama huamini is up to you.
Siwezi kukuforce uamini ila ukweli ni THE HAD A RELATIONSHIP.
 
.
Sii katoliki na wakatoliki tu mkuu hata Martin Luther aliwahi toa tamko kwamba wayahudi ni wapinga Kristo na hivyo wanastahili kuuawa. Yerusalem ilisambaratishwa na Kaisari Nero wa Rumi ya kale kwenye mwaka wa 70. Hivyo tena baadae Rumi ya katoliki kutumama majeshi kuuteka mji na kuufanya kuwa wa kikristo. Sii hivyo tu hata waislamu(waturuki) walikuwa wameisha iteka Yerusalem kabla yaani myahudi na mji wao Yerusalem wakawa ni shauku ya jamaa wote wa dunia kuwaua. Baadhi yao walifanya hivyo kwa nia njema wakifikiri wanamtumikia Mungu na hivyo kumuua myahudi ikawa ni kama ibaada ya toba kwa Mungu. Walifanya hivyo maana wengi wao ni watengenezaji na sii manabii. Manabii wasingeweza kuthubutu kufanya hilo maana wanafahamu kwa ujuzi wake neno la Mungu kuwahusu Israel. Kwa asili hakuna nchi kama Palestena hili ni jina la historia ya katikati lakini Israel ni taifa lenye mipaka ya ardhi yake toka kama karne ya nne hivi. Na nchi yenye bendera(ya Daudi) ya kale kuliko nchi nyingine.
Leo hii mnathubutu kuwanyanganya nchi yao na kujaribu kuugawa mji wa Yerusalem ya Daudi kuwa makao makuu ya nchi mbili tofauti, nasema na ninarudia tena na pia historia zote mbili zinaniunga mkono, yaani dini na ile huru kwamba jambo hilo haliwezekani. NARUDIA TENA, HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUIGAWANYA YERUSALEM!!
.

ottoman empire wamekaa hapo kwa miaka 400.na waliishi vizuri na wakazi wa hapo.ni christian na british empire ndo walikuja na wazo la kuligawa eneo hilo sehemu mbili kati ya wapalestina na wayahudi.wayahudi walikua wamekubali wapalestina waligoma ndo wakaanza kupigana 1948.na hiyo ni walipoanza kuwasombea hao misplaced european hapo middle east ili kuanzisha taifa la israel.
Mji wa jerusalem kipindi hicho ukiwa chini ya mamlaka ya jordan.
Hadi walipouteka hapo 1967.
 
WHAT?kikombe cha babu tena.tangu lini nikamuunga mkono huyo mchungaji mchawi?kwanza sidhani hata kipindi hicho nilikua nimeshaanza kupost hapa.HEBU NIWEKEE HIYO POST KAMA UNA UHAKIKA.
Sinaga imani za kipuuzi kama hizo.UNAZUSHIA MEEEN.

Umesema kweli kwamba hukuwa unamsapoti babu; sorry for this, nimekuchanganya na mtu mwingine....nimeshamkumbuka huyo niliyekuwa na mfikiria ila kwenye utata wa mambo ya biblia sikukosea sana. Ebu jikumbushe maneno yako....

Kama wanapona kweli basi tumpe nafasi maana kwanza kajionyesha hamaindi pesa ,na gurani inasema kila gonjwa mungu kaweka tiba,tutajua tu kama ni mambo za kinaijeria ama ni vipi after yote bible ilisema siku za mwisho watatokea manabii wengi wakifanya kuponya kwa uwezo wa yesu ambaye siku ya mwisho wakitaka kufunguliwa mlango wa peponi watasema tuliponya kwa jina lako naye yesu atawambia ONDOKENI SIWAJUI ni unabii unatimia kutakuwa na matetemeko(japan,ireland)tetesi za vita-mashariki ya kati.
Mwisho uko karibu zaidi udhaniavyo kuna watu wametabili disemba 2012 mambo yanayotokea sasa yananifanya niwaze sana hebu google 2012 end of world usome mwenyewe.hata wimbi la uarabuni linaloendelea wanasema ni maandao ya the return of mahd,yani masiha alieahidiwa kama ni kweli tuna mwaka mmoja tu na nusu TUBU.and google that upime mwenyewe

Lokisa akakujibu....

mwisho wa dunia utakuja kwako mwenewe, biblia huijui bora ukaekimya au uombe kuelimishwa.
 
I know your respond was not to me, but let me ask you a question: Kwanini Waislam wote wanasupport Palestine ambayo haijatajwa kwenye Koran Tukufu wakti huohuo, Allah pamoja na Mtume wake Muhammad wanaisupport Israel kama Nchi wa Wanaisrael?

Mimi sijui exactly kwann waislam wanasupport Palestine but what i know is that according to mafundisho yao, mtu akimtesa muislam mmoja its like persecuting uislam which is a duty of every muslim to wage war on the persecutor kutetea uislam. Which i find it kama kuna mapungufu katika haya maafundisho au kwenye interpretation yao ndo kuna matatizo. (sio mtaalamu wa dini ya kiislam)

So whats the point hapa?
 
Mimi sijui exactly kwann waislam wanasupport Palestine but what i know is that according to mafundisho yao, mtu akimtesa muislam mmoja its like persecuting uislam which is a duty of every muslim to wage war on the persecutor kutetea uislam. Which i find it kama kuna mapungufu katika haya maafundisho au kwenye interpretation yao ndo kuna matatizo. (sio mtaalamu wa dini ya kiislam)

So whats the point hapa?

Waislamu wako sincere sana na imani yao...Tatizo liko kubwa kwa wakristo majina...Wanapenda sana kujiita wakristo huku huyo kristo kila siku wana msulubisha msalabani mara ya pili kwa matendo yao yasioendana na wanacho kiamini....Ni rahisi kwa waislam kumjua Mungu kuliko wakristo vugu vugu...Maana hawana address, kwa Mungu hawaonekani maana hawana roho wake mtakatifu wala kwa shetani hawapo maana wachawi kila siku wanawazidi nguvu; wako kati kati na hawa ndiyo wapinga kristo haswa ndiyo maana wengi wao wapo kwenye cult groups..Ni waislam wachache sana wanakubali ku-iacha imani yao na kuingia kwenye imani wasizo zijua maana ndani mwao ni kweli wana kiu ya Mungu wa kweli...

Shida iliyopo hapo mashariki ya kati si hasa kati ya waislam (Palestine) na wayahudi (taifa la Mungu kwa agano la Abraham) bali wakristo waliovaa ngozi ya kondoo huku ndani wakiwa mbwa mwitu wakali...Ole ni kwao maana siku zao zina karibia na wala hakuna kati ya watoto wa Abraham (wayahudi na waarabu) atakaye potea hata mmoja...I hate those hypochrites wapinga kristo wakubwa huku wakijidai ni wakristo...
 
Mimi sijui exactly kwann waislam wanasupport Palestine but what i know is that according to mafundisho yao, mtu akimtesa muislam mmoja its like persecuting uislam which is a duty of every muslim to wage war on the persecutor kutetea uislam. Which i find it kama kuna mapungufu katika haya maafundisho au kwenye interpretation yao ndo kuna matatizo. (sio mtaalamu wa dini ya kiislam)

So whats the point hapa?

My point is this. Waislam ni wafuata mkumbo na WANAFIKI Wakubwa hapa Duniani. Example: It is known worldwide kuwa Syria wanauwa wananchi na wengi wao kama si wote ni Waislamu. Wanao saidia kuua hao Waislam wenzao ni Wafuasi wa dini hiyohiyo. Sasabasi, kwanini Waislam wanaisupprt zaidi Palestine kuliko, Syria, Afghanistan et al ambako wanauwa Wanawake na watoto wa Kiislam kama kuku wa kisasa wanavyo chinjwa kila kukicha. The answer is very simple: Israel ni taifa linalochukiwa na Waislam kwasababu kifo cha Mtume Muhammad kilitokana na ile sumu aliyo lishwa na Mama wa kiyahudi. Hapa ndipo chuki yote ilianzia na hawana jinsia ya kiutoa hiyo chuki yao kwa Waisrael zaidi ya kuitukana Israel, kuitupia mabomu Israel na kufanya vihoja na vituko kama vile wamerukwa na akili. Inafahamika kote duniani, na inaeleweka kote dunia, ni kwanini yule Mama wa Kiyaudi alimtesti Mtume Muhammad kwa kumpa ile Sumu. Ile ilikuwa testi ya kupima utume wake kama kweli ni wa Kutoka the same God of Israel or lah, but unfortunately, the test failed to authenticate Muhammad to the prophet hood, since he Muhammad died for that cause. In other words, Allah failed to heal Prophet Muhammad despite repeated prayers from Allah, Angels, Jinns and his fellow Muslims.
 
Wewe you are not a believer bt I am and yet i concur with you (100%)

Tatizo watu wanaleta ushabiki wa dini kwenye vitu obvious kabisa. Hata hao wanaoleta ushabiki wa dini hawaelewi mafundisho vizuri.

Mkristo anashabikia wayahudi kama vile hajasoma Injili vizuri, jinsi wayahudi hawa hawa walivyomkana Yesu na kudemand asurubiwe na mpaka leo ukienda kwa wayahudi na kutaka kuwahubiria habari za Yesu mtagombana.

Yesu mwenyewe Mwana wa Mungu aliachana nao siku nyngiiiiiii, alivyoona mioyo yao
Migumu na kuawagiza wanafunzi wake waende duniani kote na kuwahubiria injili ili yoyote aaminie atapata uzima wa milele.

Sasa watu waache kutazama mgogoro wa Palestina na Israel kidini

Kasome biblia yako vizuri mkuu. Ur a believer?...what do you believe then if not the word of GOD?
Ni kweli kwamba Jews hawamkiri Yesu hata sasa. Na ni kweli kwamba Yesu aliwaagiza wanafunzi wake kuwahubiria injili mataifa (non-Jews) na nikuongezee pia kwamba hata Mtume Paul alipokuwa anang'ang'ana hupeleka injili kwa Jews Mungu mwenyewe alimpa ujumbe kwamba aachane na Jews aende kwa Gentiles. However, all these scenarios doesn't change the fact kwamba Israel bado linabaki kuwa Taifa la Mungu. Hatujasikia wala kusoma mahali popote kwmba Mungu amebatilisha maneno yake yafuatayo:

1. "And I will bless those that bless you and curse the one who curses you. And in you shall all families of the earth be blessed."
(Mwanzo 12: 1-3)

2. "........
on account of My people, My heritage Israel, Whom they have scattered among the nations; They have also DIVIDED up My
Land." (Israel)
(Joel 3:1-2).

3.
"Thus says the Lord God: ' Surely I will take the children of Israel from among the nations, wherever they have gone, and will gather them
from every side
and bring them into their own Land." (Ezekiel 37:21).

4.
"Behold, I (God) will make Jerusalem a cup of trembling (anger, fear) unto ALL the people (nations) round about . . ." (Zechariah 12:2).

5.
"Because, even because they have seduced My people (Israel), saying, "Peace", and THERE WAS NO PEACE ..."
(Ezekiel 13:10)

6.
"Behold, the Day of the LORD is coming, And your spoil will be divided in your midst. For I (God) will gather ALL the nations to
battle
against Jerusalem" (Zechariah 14:1-2)

7.
"And it shall come to pass in all the Land (Israel), says the Lord. That two-thirds of it shall be cut off and die, but one-third shall be left in it:
I will bring the one-third through the fire, will refine them as gold is tested. They will call on My Name, and I will answer them.
I will say,
'This is My people'; and each one will say, 'the LORD is my God.'" (Zechariah 13:8-9).



Nadhani mpaka hapo Mkuu unaweza kuona jinsi suala la Israel Vs Palestina ni la Kiimani zaidi tofauti na unavyotaka tuamini ww kwamba this is a humanitarian issue. By the way U have seen many of the above prophesies already in place...few more to be fulfilled.

And for the pro-Palestine, Someni hapa chini:
"For Gaza shall be forsaken, And Ashkelon desolate; They shall drive out Ashdod at noonday, And Ekron shall be uprooted.
Woe to the inhabitants of the seacoast, The nation of the Cherethites! The word of the Lord is against you, O Canaan, land of the
Philistines (Palestinians): "I (God) will destroy you So there shall be no inhabitant." Zephaniah 2:1-7 (All 'Palestinians' and their allies should take note of this.)
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwa nini tunazungumza uvamizi wa waisrael kwa wapalestina tu?mbona hatujadili uvamizi wa warumi kwa israel uliozaa tatizo hili leo?wayahudi warudishiwe ardhi yao waliyoporwa na warumi,wapate kurudi kwao na kuondokana na mateso wanayopata ugenini kama yale ya Hitler.tukishairudisha israel state yote then tutafute ni lini na wapi ilipokuwa palestina.tuone kama kuna kitu kinaitwa palestina!na Vatican isikae kimya,inahusika sana ugomvi huu.

Pointi yako muhimu...Wayahudi wametoka ugaibuni ambako walikuwa wanaishi kama second class citizen...from Egypt to Iran, from Poland to Russia. Wakati wa "diaspora", Wayahudi kwa kweli walipata tabu na kuteswa. Kuna nchi kama Iran ambako ilikuwa ina walipisha special tax eti kwa kuwa wao ni wayahudi. Sasa tatizo ni kwamba, kurudi kwao kumeleta maafa ya wengine - yaani Wapelestina. Waisraeli imewafukuza makazi Wapalestina na kuishia ugaibuni (refugee camps)...yale yale mabaya walio fanyiwa sasa wana wafanyia Wapalestina???

Einstein, one of the greatest scientists of our times who is also a Jew, was offered to become the second president of Israel in 1952. However, Einstein categorically refused the post! Einstein did not support political Jewish movement of creating a Nation based on an ethnic or racial basis.
Yaani myahudi mwenzao ambaye ni mwana sayansi mkubwa aliwaambia "mnacho wafanyia Wapalestina ni ukatili, mimi siwaungi mkono"
 
Waislamu wako sincere sana na imani yao...Tatizo liko kubwa kwa wakristo majina...Wanapenda sana kujiita wakristo huku huyo kristo kila siku wana msulubisha msalabani mara ya pili kwa matendo yao yasioendana na wanacho kiamini....Ni rahisi kwa waislam kumjua Mungu kuliko wakristo vugu vugu...Maana hawana address, kwa Mungu hawaonekani maana hawana roho wake mtakatifu wala kwa shetani hawapo maana wachawi kila siku wanawazidi nguvu; wako kati kati na hawa ndiyo wapinga kristo haswa ndiyo maana wengi wao wapo kwenye cult groups..Ni waislam wachache sana wanakubali ku-iacha imani yao na kuingia kwenye imani wasizo zijua maana ndani mwao ni kweli wana kiu ya Mungu wa kweli...

Shida iliyopo hapo mashariki ya kati si hasa kati ya waislam (Palestine) na wayahudi (taifa la Mungu kwa agano la Abraham) bali wakristo waliovaa ngozi ya kondoo huku ndani wakiwa mbwa mwitu wakali...Ole ni kwao maana siku zao zina karibia na wala hakuna kati ya watoto wa Abraham (wayahudi na waarabu) atakaye potea hata mmoja...I hate those hypochrites wapinga kristo wakubwa huku wakijidai ni wakristo...

Tatizo lako umekataa kusema ukweli kuhusu chuki iliyopo kati ya Palestina na Israel ni ya kidini zaidi kuliko diplomasia et al. Kama nilivyo mjibu hapo juu. Chuki hii ilisababishwa na ule mtego wa kumpima utume Mtume Muhammad, kwa kumlisha sumu ambayo ilitegwa kwenye Nyama iliyo okwa. Habari inasema kuwa, yule mama alifanya hivyo kwasababu Mtume Muhammad alisema Mungu wake ndie yule yule wa Israel na Abraham. Yule Mama alisema kuwa, kama ni kweli Mungu wa Muhammad ni yule wa Israel, basi Mungu wa Abraham atamweleza kuwa kuna sumu ndani ya ile nyama iliyo okwa au ataweza kumtibu Mtume Muhammad baada ya kula ile Nyama ya Sumu. Yote hayo yalishindikana, na inafahamika hii leo kuwa Mtume Muhammad alifariki baada ya kula ile sumu kama ilivyo andikwa kwe Sunaa za Mtume na Kipenzi cha Allah.

Hivyo basi, unaposema kuwa Waislam wapo sincere sana na imani yao, usemi wako umeshindwa kuwa na nguvu, kwasababu, kama ni kweli, basi wasinge fuata Allah ambaye alishindwa kuponya Mtume Muhammad despite repeated prayers.

Zaidi ya hapo, unaposema kuwa Wakristo Ndio tatizo, hapo vile vile umeshindwa kuelewa maana ya neno "UKRISTO" kwasababu Mkristo ni Mfuasi wa Yesu Kristo aliye Hai na kamwe Mkristo hawezi kufanya mambo uliyoyasema.

Mwisho ningependa uelewe kuwa, chanzo cha chuki na vurugu huko Palestine si Wakristo wala Waisraeli bali ni Waislam wa Siasa Kali ambao kamwe hawato weza kuishinda Israel hata wakiswali na kufunga kwa Mwaka Mzima. Yesu ni kiboko yao na kila kukicha Yesu ataendelea kutoka KIDEDEA.

Watakabahu
 
cjui kwanini wa2 hawa2mii common sense,co lazima mkeshe mkibishana mzozo wa israel na palestina kupitia holy books just google 2 israel-palestina conflict utajua asili ya ugomvi,nani mkorofi nahata kupendekeza nini kifanyike
 
Back
Top Bottom