Palestine thanks Tanzania for support at UN

Israel has the right to defend itself against Hamas terrorism. Sipendi kuona watoto wa ki-Palestina wakifa lakini sipendi pia kuona watoto wa ki-Israeli wakifa. Hamas ndio wachokozi, wamerusha mamia ya rockets kwenda Israel tena wakilenga makazi ya watu wasio na hatia. Sifurahishwi na umwagaji damu au nguvu wanayoitumia IDF kujibu mapigo kwa Gaza but I understand.
at least you have come out openly and easily to be understood. from there now, wise people can at least argue. lakini hawa wanaoegemea imani nawaona kama wendawazimu
 
at least you have come out openly and easily to be understood. from there now, wise people can at least argue. lakini hawa wanaoegemea imani nawaona kama wendawazimu

Mkuu penye ukweli lazima tuseme. Kuna watu Tanzania waliandamana kumuunga mkono Osama wakati aliratibu mauaji ya ndugu zetu 1998. Inashangaza watu kuwa na uchungu zaidi na wapalestina kuliko ndugu zao wa-Tanzania au hata Kenya hapo jirani ambapo al shabaab wanafanya mauaji kila leo lakini kimya. Imani nyingine walakini sana.
 
NOTE-bible imechakachuliwa sana kwa kuwa na machapisho ya version mbalimbali na hivyo kupotosha maana nzima ya lile neno halisi aliloliacha kristo. kumbuka hili linafanywa intentionally. na walio nyuma ya huu mkakati wote ni waizrael.
NOTE-agano la mungu na waizrael lilikuwepo lakini liliambatana na masharti(nashangaa kwa nini watu wanaongelea agano bila kuyaongelea masharti yaliyoambatana na agano!!!!!)na sharti la mungu kwa wana wa izrael ni kutomuasi na kukumbatia miungu wengine. je hilo wana wa israel wamelitekeleza???
NOTE-baada ya kumkataa kristo yesu na bible yake,mungu alimuamuru yesu awaambie wafuasi wake'''WAKAITAWANYE INJILI KWA MATAIFA'' na hapo utakatifu/uteule wa taifa la israel UKAFUTWA RASMI na mungu na kuanzia hapo utakatifu/uteule ukahamia kwa yule ATAKAYEMKIRI YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE bila kujali asili ya taifa lake.
NOTE-yakobo(israel) alikuwa na watoto 12 waliounda mataifa 12 ya wana wa israel. mataifa 11 yametoweshwa kwa makusudi na limebaki taifa moja tu linalobeba taswira ya israel nzima nalo ni taifa la YUDA.. ikumbukwe kuwa NI YUDA ndiye aliyotoa wazo la ndugu yao JOSEPH kuuzwa kwa wafanya biashara wakimisri kwa vipande ishirini vya DHAHABU na NI YUDA ALIYEKUJA KUMSALITI KRIOSTO YESU kwa vipande vya fedha.
NOTE- yuda hutafsiriwa kama usaliti kutokana na historia, lakini leo hii takriban 92% ya waisrael wanaamini katika dini iitwayo JUDAISM(wafuasi wa yuda). mpaka leo hawaamini lolote kuhusu ujio,uwepo,mafundisho,kufa na kufufuka kwa kristo.
NOTE- katika FREEMASONRY PYRAMID, eneo la juu kabisa la pyramid kabla ya jicho moja kuna kipengele kinachowakilisha kundi dogo la watu wenye mamlaka makubwa ya kidunia. HAWA WANAJIITA ''THE LEARNED FATHERS OF ZION'' na kila mwenye akili anajua kuwa ZION ni wapi na ZIONISTS ni akina nani..
NOTE- ISRAEL ya sasa ndio inayoongoza taasisi zote za kishetani na taasisi hizo ndizo haswa zinamuwakilisha MPINGA KRISTO(ANT CHRIST). taasisi kama illuminat, skull/bone pamoja na Freemasons zote zinaongozwa na BLOODLINES ambao wana asili ya ki israel na ni lazima wawe wanatoka katika ukoo wa yuda.
mtazamo wangu wa jumla.. ni muislamu -------- atakayesimama na wapelestina kwa sababu ya uislamu wao na ni mkristo -------- atakayesimama na waisrael kwa sababu ya uyahudi wao. maandiko mnayoyaamini yanahitaji tafakuri kuliko kuendekeza mapenzi na chuki.
ISRAEL ni taifa kandamizi na kinachoendelea gaza ni mlolongo wa jinsi ukoloni ulivyo bado na nguvu katika dunia hii.
kama katika hili huyo mnaomuita mungu atakuwa pamoja na waisrael, basi sina haja na huyo mungu kwani atakuwa ni mungu asiye na akili na kama nikifanikiwa kuonana naye,hakika nitamchapa vibao.
mungu wa kweli, siku zote huchukia uonevu,mungu wa haki huchukia ukandamizaji,mungu wa haki huchukia matumizi ya mabavu,mungu wa haki huchukia mauaji,mungu wa haki huchukia wanafiki,mungu wa haki huwa na huruma kwa viumbe wake,mungu wa haki katu haungi mkono manyanyaso dhidi ya watoto wasio na hatia.
kama nguvu za israel dhidi ya wapalestina zinatokana na nguvu za mungu.... basi huyo mungu atakuwa ni LIGHT BEARER ... MUNGU WA MASHETANI. MUNGU WANGU NI MWEMA SANA

Mkuu Notra.kwenye huu mtiririko wako umeenda vizuri ila ulipofikia kwa Yuda umepindisha kidogo.Ni utabiri uliokuwepo kwamba kabila la yuda ndo pekee litakalo baki.Kuhusu wayahudi na ukristo ukipata mda soma WARUMI 11:1-32.Pitia taratibu utaelewa kitu.NA KUHUSU YUDA ANGALIA MWANZO 49:8-12.
 
Back
Top Bottom