Ur very right Mkuu.
Sisi wote ni watoto wa Mungu kwa sababu tunamkubali Yesu na yeye aliyemtuma. Ila Taifa teule la Mungu kwa mujibu wa maandiko ni Israel kaka. Mungu amefunga maagano mengi sana na Israel na sisi ni sehemu ya maagano hayo. Kwa sababu kupitia kwa Yesu tunaunganishwa kuwa warithi wa ahadi za Mungu na uzao wa Ibrahim. Kwa hili uko sahihi. Ila yapo ambayo yanapply kwa Israel pekee. Usifikiri Ibrahim na Isaka na Yakobo walikuwa watu wepesi kiimani, hawa waliweka maagano na Mungu vizazi hata vizazi. Haijalishi kwamba Israel wametenda dhambi gani ila Siku wakitubu na kumuita Mungu, Mungu atayakumbuka maagano aliyofanya na Ibrahim, Isaka na Yakobo.
LAKINI ukae ukijua kwamba Mungu si Mwanadamu hata aseme uongo. Akisema kwa kinywa chake ujue atatenda kwa sababu mbingu na nchi vitapita lakini neno la Mungu litasimama. Alisema atawapiga Israel na kuwatawanya juu ya uso wa nchi na akafanya hivyo. Akasema atawakusanya Israel toka mataifa yote na kuwarudisha katika nchi aliwapa kuwa yao, na akafanya hivyo mwaka 1948. Usifikiri kwa sababu Israel hawamtambui Yesu kama messiah basi wamekoma kuwa Taifa teule la Mungu.
by the way, ushukuru kwamba Israel walimkataa Yesu kwa sababu hiyo ndiyo iliyopelekea kuzaliwa kwa kanisa la mungu na wokovu wa mataifa including you and me. Kinyume na hapo sisi tulikuwa tukihesabiwa kama (kumradhi ashakum si matusi) Mbwa mbele ya familia ya Mungu. Rejea kauli ya Yesu pale alipoombwa na mwanamke wa kabila la Canaan amponye mwanae "Si vyema kuwapa mbwa chakula cha wanangu"...So Jesus was sent only for Jews ili kutimiza yote maandiko ila walipomkataa basi neema wakapewa mataifa waaminio (kanisa).
Una maana gani kuuliza tofauti ya agano la kale na agano jipya? Au mkuu unadhani kwamba agano la kale limebatilishwa na agano jipya?. Kilichobadilika pekee ni kwamba badala ya kutegemea matendo ya sheria, sasa tunaishi kwa imani na Neema...Yesu mwenyewe anasema sikuja kuitangua torati ila kuitimiza...putting an end to the works of the law but not nullifying the prophecies of God regarding Israel.
Mkuu umenena vyema. And very right.
Sema hapa kuna tofauti ya kutafsiri Neno na mipango ya Mungu.
Nianze na swali nililouliza maana ya agano la kale na agano jipya. Kwa kiingereza imesema clearly Old tastement and the new tastement.
We all know there was a tastement kati ya Abraham na uzao wake na Mungu. Why agano kati ya israel na Mungu? Kwani kulikuwa hakuna watu wengine duniani? Noo Mungu alipendezwa na Uchamungu na matendo ya Abraham. Na akaamua kumbariki kumfanya awe Baba wa mataifa. In return Abraham na kizaze chake wamtumikie na kumuabudu yeye.
But before hapo kumbuka Mungu alikuwa kashampa ahadi Adam na Hawa kuwa atamleta mkombozi ataye waunganisha na Mungu tena. So Jesus alihaidiwa tangu enzi za Adam na Hawa watu wakwanza.
Now baada ya karne na karne Yesu anakuja na Mungu anaweka agano jipya na wanadamu through damu ya Yesu pale msalabani.
Kwani Yesu hakutambua uspecial wa watu wa Israel(He was one of them) but katika mahubiri yake alikazania kuwa sisi wote ni watoto wa Mungu na hakuna tena mambo ya hawa wa israel na hawa ni watu wa Mataifa. Wote ni watoto wa Mungu. NA ujumbe wake ni upendo. (alilidhihirisha hili mfano
Acts 10:9-19,).
Wana israel hawajakoma kuwa Taifa teule la Mungu, but they are nolonger the centre stage of imani, but Jesus is na wote wamuaminiye, they nolonger communicate moja kwa moja Mungu kwasababu wao waisrael. Its nolonger Mungu wao, au Mungu wa Israel, its Mungu wetu na mwanae mpendwa Yesu kristo.
Alaf kukujibu Hatukuupata Ukombozi kwasababu Waisrael waliukataa, huu ukombozi ulipangwa kabla hata waisrael hawajaingia agano. There is nothing to thank Jews for.
Simoni wakati Yesu anapelekwa kutahiliwa alivyomuona akasema
"atlast all Powerful Master, you give leave to your servant to go in peace according to your promise. For my eyes have seen your salvation which you have prepaired for all nations, the light to enlight the Gentiles and give glory to Israel your people.
We are nolonger second class people, we are of Jesus Christ and He lives in us and we live in Him. Through him we are made one with the Father.
Yesu hakuja kuitengua Torati bali kuitimiza. Maana yake kwamba Mafundisho ya Mussa bado yalikuwa yanamapungufu au only the half part.
So ujue kuwa the whole Old tastement na Maisha ya wayahudi was to prepare watu kwa ajili ya ujio wa Yesu na vilikuwa kwa ajili ya Yesu. So Yesu alivyokuja we began a new Chapter. There was nolonger Jews and kuobserve sheria there was only Kumuamini Yesu na Yeye ndo kweli ya Dunia