Palestine thanks Tanzania for support at UN

Palestine thanks Tanzania for support at UN

i don't think so. They were awake and taking care of zenji to date.

mwanamtwa kama wenyewe wamelala ngoja nikunongoneze. Ccm pia uamsho. Usimwambie mtu. Wameamka kaka. Wote lao moja. Vijana wa kileo wanasema kimenuka.
 
.
Sii katoliki na wakatoliki tu mkuu hata Martin Luther aliwahi toa tamko kwamba wayahudi ni wapinga Kristo na hivyo wanastahili kuuawa. Yerusalem ilisambaratishwa na Kaisari Nero wa Rumi ya kale kwenye mwaka wa 70. Hivyo tena baadae Rumi ya katoliki kutumama majeshi kuuteka mji na kuufanya kuwa wa kikristo. Sii hivyo tu hata waislamu(waturuki) walikuwa wameisha iteka Yerusalem kabla yaani myahudi na mji wao Yerusalem wakawa ni shauku ya jamaa wote wa dunia kuwaua. Baadhi yao walifanya hivyo kwa nia njema wakifikiri wanamtumikia Mungu na hivyo kumuua myahudi ikawa ni kama ibaada ya toba kwa Mungu. Walifanya hivyo maana wengi wao ni watengenezaji na sii manabii. Manabii wasingeweza kuthubutu kufanya hilo maana wanafahamu kwa ujuzi wake neno la Mungu kuwahusu Israel. Kwa asili hakuna nchi kama Palestena hili ni jina la historia ya katikati lakini Israel ni taifa lenye mipaka ya ardhi yake toka kama karne ya ishirine hivi kabla ya Yesu. Na nchi yenye bendera(ya Daudi) ya kale kuliko nchi nyingine.
Leo hii mnathubutu kuwanyanganya nchi yao na kujaribu kuugawa mji wa Yerusalem ya Daudi kuwa makao makuu ya nchi mbili tofauti, nasema na ninarudia tena na pia historia zote mbili zinaniunga mkono, yaani dini na ile huru kwamba jambo hilo haliwezekani. NARUDIA TENA, HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUIGAWANYA YERUSALEM!!
.
nasikia sasa papa na UN wanataka kuipa jerusalem hadhi ya international city ili wapate kuivua milki yake toka kwa israel na uwe mji wa mataifa yote.ama kweli MUNGU yupo maana nilichosoma kwenye unabii naona kikitimia.
 
Huu ni ukimbele mbele wa Membe waziri wa mambo ya nje. Taifa letu sii linasema kuwa linafuata siasa za kutofungamana na upande wowote? Mbona sasa jamaa analazimisha taofa kufungamana na upande wa Philistine. Hii dhambi ya Membe haisameheki kwa watanzania na hata kwenye ndoto za kujaribu kuwa mgombea uraisi afute kabisa hatutampigia kura hata kama akirushwa ukuta ili kuwa mgombea.
.

Sasa wewe ndo msemaji wa Watanzania ama? Jisemee peke yako sababu wapo wengi tu wanaoipenda Palestine,hizo siasa zenu znaeza wafikisha pabaya
 
My point is this. Waislam ni wafuata mkumbo na WANAFIKI Wakubwa hapa Duniani. Example: It is known worldwide kuwa Syria wanauwa wananchi na wengi wao kama si wote ni Waislamu. Wanao saidia kuua hao Waislam wenzao ni Wafuasi wa dini hiyohiyo. Sasabasi, kwanini Waislam wanaisupprt zaidi Palestine kuliko, Syria, Afghanistan et al ambako wanauwa Wanawake na watoto wa Kiislam kama kuku wa kisasa wanavyo chinjwa kila kukicha. The answer is very simple: Israel ni taifa linalochukiwa na Waislam kwasababu kifo cha Mtume Muhammad kilitokana na ile sumu aliyo lishwa na Mama wa kiyahudi. Hapa ndipo chuki yote ilianzia na hawana jinsia ya kiutoa hiyo chuki yao kwa Waisrael zaidi ya kuitukana Israel, kuitupia mabomu Israel na kufanya vihoja na vituko kama vile wamerukwa na akili. Inafahamika kote duniani, na inaeleweka kote dunia, ni kwanini yule Mama wa Kiyaudi alimtesti Mtume Muhammad kwa kumpa ile Sumu. Ile ilikuwa testi ya kupima utume wake kama kweli ni wa Kutoka the same God of Israel or lah, but unfortunately, the test failed to authenticate Muhammad to the prophet hood, since he Muhammad died for that cause. In other words, Allah failed to heal Prophet Muhammad despite repeated prayers from Allah, Angels, Jinns and his fellow Muslims.

Unafiki sio tatizo la waislam... Na wala waislam sio wanafiki, Unafiki ni moja ya mapungufu ya Mwanadamu, so apparently hata wakristu pia wanaweza kuwa wanafiki.

Mimi sijawahi na sitaki kuuangalia mzozo huu kwa minajili hiyo ya kwako.

Mimi nuona kama hivi Huu ni mzozo humanitarian ambao wahusika wao unfortunately wanaongozwa kiimani zaidi. Palestine is an islamic state na wanaongozwa na sheria za kiislam. Israel wanaongowa na sheria za kiyahudi.

Sasa hata sisi huku Tanzania tumeupokea kiimani zaidi (nashangaa wakristo nao wamo cjui how do they fit into the equation.) kiasi kwamba hata tunawalaumu Nyerere na Kikwete (only a fool would believe ulikuwa msimamo wa Membe) kusupport Palestine.
 
Kasome biblia yako vizuri mkuu. Ur a believer?...what do you believe then if not the word of GOD?
Ni kweli kwamba Jews hawamkiri Yesu hata sasa. Na ni kweli kwamba Yesu aliwaagiza wanafunzi wake kuwahubiria injili mataifa (non-Jews) na nikuongezee pia kwamba hata Mtume Paul alipokuwa anang'ang'ana hupeleka injili kwa Jews Mungu mwenyewe alimpa ujumbe kwamba aachane na Jews aende kwa Gentiles. However, all these scenarios doesn't change the fact kwamba Israel bado linabaki kuwa Taifa la Mungu. Hatujasikia wala kusoma mahali popote kwmba Mungu amebatilisha maneno yake yafuatayo:

1. "And I will bless those that bless you and curse the one who curses you. And in you shall all families of the earth be blessed."
(Mwanzo 12: 1-3)

2. "........
on account of My people, My heritage Israel, Whom they have scattered among the nations; They have also DIVIDED up My
Land." (Israel)
(Joel 3:1-2).

3.
"Thus says the Lord God: ' Surely I will take the children of Israel from among the nations, wherever they have gone, and will gather them
from every side
and bring them into their own Land." (Ezekiel 37:21).

4.
"Behold, I (God) will make Jerusalem a cup of trembling (anger, fear) unto ALL the people (nations) round about . . ." (Zechariah 12:2).

5.
"Because, even because they have seduced My people (Israel), saying, "Peace", and THERE WAS NO PEACE ..."
(Ezekiel 13:10)

6.
"Behold, the Day of the LORD is coming, And your spoil will be divided in your midst. For I (God) will gather ALL the nations to
battle
against Jerusalem" (Zechariah 14:1-2)

7.
"And it shall come to pass in all the Land (Israel), says the Lord. That two-thirds of it shall be cut off and die, but one-third shall be left in it:
I will bring the one-third through the fire, will refine them as gold is tested. They will call on My Name, and I will answer them.
I will say,
'This is My people'; and each one will say, 'the LORD is my God.'" (Zechariah 13:8-9).



Nadhani mpaka hapo Mkuu unaweza kuona jinsi suala la Israel Vs Palestina ni la Kiimani zaidi tofauti na unavyotaka tuamini ww kwamba this is a humanitarian issue. By the way U have seen many of the above prophesies already in place...few more to be fulfilled.

And for the pro-Palestine, Someni hapa chini:
"For Gaza shall be forsaken, And Ashkelon desolate; They shall drive out Ashdod at noonday, And Ekron shall be uprooted.
Woe to the inhabitants of the seacoast, The nation of the Cherethites! The word of the Lord is against you, O Canaan, land of the
Philistines (Palestinians): "I (God) will destroy you So there shall be no inhabitant." Zephaniah 2:1-7 (All 'Palestinians' and their allies should take note of this.)

i am believer and i believe Neno la Mungu, ambaye neno ni Yesu.

Israel ni taifa la Mungu so are we. Wote katika damu ya Kristu tumeunganishwa na Mungu. Tumekuwa watoto wake wapendwa na atatupigania.

Hivi ushwahi kuelewa maana ya Agano la kale na Agano jipya?
 
mie budha.
Na yule ambae alikua haishi kumuegemea kifuani anaitwa nani kweli?yohana ama peter.dah nilishaanza kusahau.

Inaelekea kweli hii DINI ni SHETANI

Nabii Issa Bin Mariam alikuwa na wa*se*nge wanaomuegemea kifuani tena mbele za watu.

Mtume Mohammed SAW pamoja na kuwa na concubine 23, lakini pia alilawiti ka-sichana ka miaka 9.

Lakini bado watu mnatokwa na mapovu kutetea huo ufedhuli, Kweli SHETANI ana wafuasi wengi.
 
ndo hivyo bwana kama huamini is up to you.
Siwezi kukuforce uamini ila ukweli ni THE HAD A RELATIONSHIP.

Na haipo siku ya kuamini unayoyaamini kwa si fungu lililo jema. Mawazo yenu lazima yalalie kwenye ngono kwa kuwa ndio msingi wa imani yenu. Hii ni kutaka kumfananisha Yesu na yule mgoni asiyeridhika hata baada ya kuoa shugamami na katoto.

Weka ushahidi wenye akili tujadili, lkn haya ya kuniambia tu ndio ukweli ndio ukweli hayo kayafanye kwenye mihadhara yenu ile ya matusi. Yawezekana hata baba yako akiongea na dada yako huwa unawaza kuwa anamtongoza kwa kuwa hilo ndio liko mioyoni mwenu na linawatia unajisi kiasi hamwezi kukaa pamoja, lazima mgawanywe kama wanyama, vinginevyo mtapandana
 
nasikia sasa papa na UN wanataka kuipa jerusalem hadhi ya international city ili wapate kuivua milki yake toka kwa israel na uwe mji wa mataifa yote.ama kweli MUNGU yupo maana nilichosoma kwenye unabii naona kikitimia.

.
Hilo umelisikia wapi tena mkuu.
Ama katika matendo ya Mitume 1:6-8 ''Basi walipokutanika wakamuuliza, wakisema, je! Bwana, wakati huu ndipo unapowarudishia Israel ufalme? Akawaambia, sii kazi yenu kujua nyakati wala majira*Baba aliyoyaweka katika mamlaka yake mwenyewe; Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu kutoka Yerusalem, na katika uyahudi wote, na samaria na hata mwisho wa nchi''.
Unajua wakati walipomuuliza swali hili alikuwa ndo katoka kufufuka katika kifo kile cha msalaba na kwa sababu ya kushawishika mno na nguvu na uweza aliokuwa nao wakajua kuwa ni wakati wa masihi kurejesha ufalme wa Mungu kwa taifa la Israel. Lakini Yesu akifahamu jinsi wasivyoujua mpango wa Mungu wa wokovu na majira yaliyokusudiwa katika huo mpango, aliwajibu wao wasubiri ahadi yao ya Roho mtakatifu kwani huyo angeliwafunulia hata yale yaliyofichika wasiyoyajua. Ndio maana hata wa leo Israel kama taifa wanamsubiri masihi ajaye katika nguvu na uweza ila alipokuja kwa mara ya kwanza kwa hali ya kinyonge mno, hali hiyo iliwapofusha wasimuone sawa na Rumi 11. Ikawa sababu ya kuondolewa na kufukuzwa katika mataifa yote ya dunia kama isemavyo pia Lk 21. Hata hivyo ahadi ya kurejea katika nchi ya uwenyeji wao iko pale pale maana Mungu hakuwahi kuahidi asitende. Sasa huku kurejea kwa Israel nyumbani kwa mataifa ni sawa na kule kupofushwa kwa Israel walipomkataa masihi. Watu watakuwa wamekuzwa katika fundisho la error kuihusu Israel na mji wake Yerusalem. Fundisho hilo litafikia kukomaa kiasi kwamba hata wale waliodhaniwa ni wakristo wataungana na mataifa yote ya dunia kuivamia kambi ya mwana kondo. Hivyo tu ndivyo inavyoweza kuiweka haja ya Israel kumhitaji masihi kwa kiu kuu, kwa kuwa atakuwa amegeukwa na dunia yote. Hali hiyo ndiyo itakayomlazimisha Bwana wa vita, mfalme wa utukufu ku-finalize mambo.
Hivyo tusishangae kuona wale wanaosema wamepokea wokovu kutoka kwa Wayahudi wakiwa rafiki za adui wao kufanikisha usaliti.
.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kasome biblia yako vizuri mkuu. Ur a believer?...what do you believe then if not the word of GOD?
Ni kweli kwamba Jews hawamkiri Yesu hata sasa. Na ni kweli kwamba Yesu aliwaagiza wanafunzi wake kuwahubiria injili mataifa (non-Jews) na nikuongezee pia kwamba hata Mtume Paul alipokuwa anang'ang'ana hupeleka injili kwa Jews Mungu mwenyewe alimpa ujumbe kwamba aachane na Jews aende kwa Gentiles. However, all these scenarios doesn't change the fact kwamba Israel bado linabaki kuwa Taifa la Mungu. Hatujasikia wala kusoma mahali popote kwmba Mungu amebatilisha maneno yake yafuatayo:

1. "And I will bless those that bless you and curse the one who curses you. And in you shall all families of the earth be blessed."
(Mwanzo 12: 1-3)

2. "........
on account of My people, My heritage Israel, Whom they have scattered among the nations; They have also DIVIDED up My
Land." (Israel)
(Joel 3:1-2).

3.
"Thus says the Lord God: ' Surely I will take the children of Israel from among the nations, wherever they have gone, and will gather them
from every side
and bring them into their own Land." (Ezekiel 37:21).

4.
"Behold, I (God) will make Jerusalem a cup of trembling (anger, fear) unto ALL the people (nations) round about . . ." (Zechariah 12:2).

5.
"Because, even because they have seduced My people (Israel), saying, "Peace", and THERE WAS NO PEACE ..."
(Ezekiel 13:10)

6.
"Behold, the Day of the LORD is coming, And your spoil will be divided in your midst. For I (God) will gather ALL the nations to
battle
against Jerusalem" (Zechariah 14:1-2)

7.
"And it shall come to pass in all the Land (Israel), says the Lord. That two-thirds of it shall be cut off and die, but one-third shall be left in it:
I will bring the one-third through the fire, will refine them as gold is tested. They will call on My Name, and I will answer them.
I will say,
'This is My people'; and each one will say, 'the LORD is my God.'" (Zechariah 13:8-9).



Nadhani mpaka hapo Mkuu unaweza kuona jinsi suala la Israel Vs Palestina ni la Kiimani zaidi tofauti na unavyotaka tuamini ww kwamba this is a humanitarian issue. By the way U have seen many of the above prophesies already in place...few more to be fulfilled.

And for the pro-Palestine, Someni hapa chini:
"For Gaza shall be forsaken, And Ashkelon desolate; They shall drive out Ashdod at noonday, And Ekron shall be uprooted.
Woe to the inhabitants of the seacoast, The nation of the Cherethites! The word of the Lord is against you, O Canaan, land of the
Philistines (Palestinians): "I (God) will destroy you So there shall be no inhabitant." Zephaniah 2:1-7 (All 'Palestinians' and their allies should take note of this.)

Asante sana kutu dadavulia...Israel is a living clock to all believers....Majira na wakati yanaonekana kupitia kwao.....I bless Israel the land of my living God! Huyu Yesu ambaye wengi wanajidai wana mwamini atakanwa na wengi ndipo Israel baada ya kumtambua kuwa ndiye ndilo Taifa pekee litasimama kupigana vita na mpinga kristo huku wengine wote wakifurahia mapochopocho ya mpinga kristo kama technology and so forth...
 
Sasa wewe ndo msemaji wa Watanzania ama? Jisemee peke yako sababu wapo wengi tu wanaoipenda Palestine,hizo siasa zenu znaeza wafikisha pabaya

.
Kama wapo wengi wanao ipenda philistine, pia wapo wengi wanao ipenda Israel. Na kama Membe anawasemea wanao ipenda Philistine ikiwa ni pamoja na wewe, nani basi Tanzania anaewasemea wanao ipenda Israel?
.
 
Unafiki sio tatizo la waislam... Na wala waislam sio wanafiki, Unafiki ni moja ya mapungufu ya Mwanadamu, so apparently hata wakristu pia wanaweza kuwa wanafiki.
You are incorrect. Unafiki is part of Islam, actually, "unafiki" is islamic. You can't convince me otherwise. All muslims including you if you are one, the sole reason you support Palestine it is because of Israel is involved in the dispute among the two. There are so many "state" conflicts in the world , lakini sijasika mkisema kitu wala saidia kama jinsi mnavyo fanya kwa Wale Palestina wanao lilia nchi ya watu.

Mimi sijawahi na sitaki kuuangalia mzozo huu kwa minajili hiyo ya kwako.
That is the problem when you live in the box. There is life out there....

Mimi nuona kama hivi Huu ni mzozo humanitarian ambao wahusika wao unfortunately wanaongozwa kiimani zaidi. Palestine is an islamic state na wanaongozwa na sheria za kiislam. Israel wanaongowa na sheria za kiyahudi.
How humanitarian is it? You know that Palestine are using children to fight that war. You know that Palestine are using women to fight that war. You know that Hamas are fighting in the cause of cacodemigod. How can you say, that is humanitarian?

Bado sijasikia Waislam mkikemea utumiaji wa watoto kama shield, bado sijasikia mkikemea utumiaji wa akina mama wenye mimba kama shield. Lakini ninacho sikia ni kuwa Israel inauwa hao viumbe mlio wapeleka mstari wa mbele huku mkiwa mmewavisha mabomu ili wajilipue. What a pathetic way of reasoning and thinking.


Sasa hata sisi huku Tanzania tumeupokea kiimani zaidi (nashangaa wakristo nao wamo cjui how do they fit into the equation.) kiasi kwamba hata tunawalaumu Nyerere na Kikwete (only a fool would believe ulikuwa msimamo wa Membe) kusupport Palestine.
.. and how do muslim fit to that imaginary equation of yours? Do you see when you said hili jambo si lakidini ulikuwa unadanganya?
 
i am believer and i believe Neno la Mungu, ambaye neno ni Yesu.

Israel ni taifa la Mungu so are we. Wote katika damu ya Kristu tumeunganishwa na Mungu. Tumekuwa watoto wake wapendwa na atatupigania.

Hivi ushwahi kuelewa maana ya Agano la kale na Agano jipya?

Ur very right Mkuu.
Sisi wote ni watoto wa Mungu kwa sababu tunamkubali Yesu na yeye aliyemtuma. Ila Taifa teule la Mungu kwa mujibu wa maandiko ni Israel kaka. Mungu amefunga maagano mengi sana na Israel na sisi ni sehemu ya maagano hayo. Kwa sababu kupitia kwa Yesu tunaunganishwa kuwa warithi wa ahadi za Mungu na uzao wa Ibrahim. Kwa hili uko sahihi. Ila yapo ambayo yanapply kwa Israel pekee. Usifikiri Ibrahim na Isaka na Yakobo walikuwa watu wepesi kiimani, hawa waliweka maagano na Mungu vizazi hata vizazi. Haijalishi kwamba Israel wametenda dhambi gani ila Siku wakitubu na kumuita Mungu, Mungu atayakumbuka maagano aliyofanya na Ibrahim, Isaka na Yakobo.

LAKINI ukae ukijua kwamba Mungu si Mwanadamu hata aseme uongo. Akisema kwa kinywa chake ujue atatenda kwa sababu mbingu na nchi vitapita lakini neno la Mungu litasimama. Alisema atawapiga Israel na kuwatawanya juu ya uso wa nchi na akafanya hivyo. Akasema atawakusanya Israel toka mataifa yote na kuwarudisha katika nchi aliwapa kuwa yao, na akafanya hivyo mwaka 1948. Usifikiri kwa sababu Israel hawamtambui Yesu kama messiah basi wamekoma kuwa Taifa teule la Mungu.

by the way, ushukuru kwamba Israel walimkataa Yesu kwa sababu hiyo ndiyo iliyopelekea kuzaliwa kwa kanisa la mungu na wokovu wa mataifa including you and me. Kinyume na hapo sisi tulikuwa tukihesabiwa kama (kumradhi ashakum si matusi) Mbwa mbele ya familia ya Mungu. Rejea kauli ya Yesu pale alipoombwa na mwanamke wa kabila la Canaan amponye mwanae "Si vyema kuwapa mbwa chakula cha wanangu"...So Jesus was sent only for Jews ili kutimiza yote maandiko ila walipomkataa basi neema wakapewa mataifa waaminio (kanisa).

Una maana gani kuuliza tofauti ya agano la kale na agano jipya? Au mkuu unadhani kwamba agano la kale limebatilishwa na agano jipya?. Kilichobadilika pekee ni kwamba badala ya kutegemea matendo ya sheria, sasa tunaishi kwa imani na Neema...Yesu mwenyewe anasema sikuja kuitangua torati ila kuitimiza...putting an end to the works of the law but not nullifying the prophecies of God regarding Israel.
 
Na haipo siku ya kuamini unayoyaamini kwa si fungu lililo jema. Mawazo yenu lazima yalalie kwenye ngono kwa kuwa ndio msingi wa imani yenu. Hii ni kutaka kumfananisha Yesu na yule mgoni asiyeridhika hata baada ya kuoa shugamami na katoto.

Weka ushahidi wenye akili tujadili, lkn haya ya kuniambia tu ndio ukweli ndio ukweli hayo kayafanye kwenye mihadhara yenu ile ya matusi. Yawezekana hata baba yako akiongea na dada yako huwa unawaza kuwa anamtongoza kwa kuwa hilo ndio liko mioyoni mwenu na linawatia unajisi kiasi hamwezi kukaa pamoja, lazima mgawanywe kama wanyama, vinginevyo mtapandana

halafu kuna huyu Lazaro,hebu soma hapo luka toka anafufuliwa hadi siku ya sita alipokwenda kuspend all nightlong na yesu kwamba alikua akifundishwa eti mystery za kingdom of god....mhh.KWELI?.
Halafu siku wanakuja kumkamata yesu wale warumi Lazaro alitoka mbio AKIWA KAMA ALIVYOZALIWA.
Isome yote afu uje na jibu what was happening between the two of them.JESUS NA LAZARO.
Huna haja ya kupanikipaniki na kutukana.JUST ANSWER .hayo ni maandiko siyo maneno yangu .
 
Inaelekea kweli hii DINI ni SHETANI

Nabii Issa Bin Mariam alikuwa na wa*se*nge wanaomuegemea kifuani tena mbele za watu.

Mtume Mohammed SAW pamoja na kuwa na concubine 23, lakini pia alilawiti ka-sichana ka miaka 9.

Lakini bado watu mnatokwa na mapovu kutetea huo ufedhuli, Kweli SHETANI ana wafuasi wengi.

oooh...sorry kama imekutouch au nimehit point lakini Maandiko yamesema yuko mwanafunzi alikua haishi kuegama kifuani kwa bwana.
Simkumbuki vizuri kama alikua ni yohana ama petero.sasa sioni sababu ya wewe kuovereact.I JUST WANTED TO KNOW.
 
Mkuu Elungata,
Nakusoma na miwani ya 3D unatisha...endelea kutoa darsa.
 
Last edited by a moderator:
.. and how do muslim fit to that imaginary equation of yours? Do you see when you said hili jambo si lakidini ulikuwa unadanganya?

Huu mzozo unahusu occupation. Ni mgogoro wa ardhi. Mmoja (israel) ilikuwa ardhi yake karne na karne, wakasambaratishwa na kutawanywa. Watu wapya wakaamia (Arabs who had no real identity but mostly from Palestine) kwenye hiyo ardhi ilioachwa na wenyeji. Wakakaa for over 100years.

Baadae baada ya miaka mingi the real natives started comibg back and they wanted to form their nation on that land.

Hawakuridhika, they also wanted waliowakuta ambao currently ndo owners watoke eneo hilo warudi walipotoka.

Wenyeji wa sasa (Arabs) nao wakagoma claiming that was their land too, lived there for 100 years and so. Wamezaliana and burried their grandfathers fathers. Thier generation have known only one place as home and that was their home.

Natives ambao ndo wageni sasa nao wakasema hakieleweki this is our land and we dont even need to show evidence the whole world knows (its even written in the Bible and your Koran) and with a strong backing from powerfull allies who are either jews or have jews liniage they used all means kurudisha ardhi yao. And one of the means was ubabe, force.

Sasa kumbuka majority ya hawa wa arab ni waislam and these are more than a million muslims. And we all know what muslims are made of when it comes to kumuonea mtu ambaye ni muislam, to them unaonea uislam. Watu,dini wakaununua ugomvi.

Sasa tell me how is it a religous conflict?
 
oooh...sorry kama imekutouch au nimehit point lakini Maandiko yamesema yuko mwanafunzi alikua haishi kuegama kifuani kwa bwana.
Simkumbuki vizuri kama alikua ni yohana ama petero.sasa sioni sababu ya wewe kuovereact.I JUST WANTED TO KNOW.

Please don't put a FROG into my mouth. Nyinyi wanyewe tena kwa quote maandishi hayo "matakatifu" mmesema kwamba
  1. Nabii Issa Bin Mariamu alikuwa HOMOSEXUAL
  2. Mtume Mohammed SAW alikuwa PEDOPHILE

Mimi nikasema hawa watakuwa sio MITUME wa MUNGU watakuwa MITUME SHETANI na hiyo DINI Itakuwa ni ya SHETANI. Sasa hapa nime over react nini?
 
The difference between Hitler and [British Foreign Minister] Balfour was simple: the former [Hitler] did not have colonies to send the Jews to, so he destroyed them, whereas Balfour ...[turned] Palestine into his colony and sent the Jews. Balfour is Hitler with colonies, while Hitler is Balfour without colonies. They both wanted to get rid of the Jews...Zionism was crucial to the defense of the West, [by] ridding Europe of the burden of the Jews."
[Al-Hayat Al-Jadida, Dec. 6, 1998]
 
The State of Israel was created in a peaceful and legal process by the United Nations. It was not created out of Palestinian lands, but rather out of the Ottoman Empire, which had been ruled for 400 years by the Turks who lost it when they, fighting alongside Germany, were defeated in World War I. There were no "Palestinian" lands at the time because there were no people claiming to be Palestinians, but rather simply Arabs who lived in the region of Palestine.

It was only after World War I that the present states of Jordan, Syria, Lebanon and Iraq were also created – also out of the Turkish Empire by the British and French victors. Jordan was created on about 80 percent of the Palestine Mandate, which was originally designated by the League of Nations as part of the Jewish homeland. Since then, Jews have been prohibited from owning property there.

In 1947, a UN partition plan mandated the creation of two states on the remaining 20 percent of the Palestine Mandate: the State of Israel for the Jews, and another state for the stateless Arabs. But the rulers of eight Arab states did not want a non-Arab state anywhere in the Middle East. Thus they rejected the UN arrangement and simultaneously launched a three-front war of annihilation against the newly created state of Israel -- on the very day of its creation in 1948. Israel begged for peace and offered friendship and cooperation to its neighbors. The Arab dictators rejected this offer and answered it with a war, which they ultimately lost.
 
Back
Top Bottom