Palestine thanks Tanzania for support at UN

Palestine thanks Tanzania for support at UN

since when walikuwa wamelaa. Hivi ccm ilisha wai lala zenji? Anyways, i have no time to discuss bongo politics. It is pathetic. Tatizo ni pale bongo mnapopigia debe hamas? That is insane.

mwanamtwa vipi tena? Wana ccm wa zanzibar walikua wamelala, sasa wameamka. Kaka hapo mbali hapo?
 
WaAfrika lazma tuna kalaana. Sielewi inakueje vitabu viandikwe na watu wengine kwa ajili yao halafu sisi tunavi adapt na hadi kuuana kwa sababu hio.
Na sijui ni wangapi wanajua kwamba many Jews are NOT Christians. Sasa mtu anesupport Jews bila logical reasoning bali kusema eti ni Taifa teulenashangaa sana! Judaism doesnt believe in the second coming of Christ kwasbabu they dont believe in the first coming.
Tulipotoka sana tulivyoacha kuomba kwa Milima,mito na mizimu yetu ya mababu. Tungekuka mbali sana!
 
Israel ni nchi Takatifu Taifa lenye nguvu na Teule. Ardhi yake iliporwa na sasa inarejeshwa polepole...someni Biblia nyie viongozi dhaifu wa kutoa matamko ya kuunga mkono msichokijua...hata sasa mnakubali kuwa vipofu na viziwi? haiwezekani.
 
Mwenyewe umeandika mstari na bado huuelewi. Labda nikuwekee kwa kiswahili uuelewe vyema

Yohana 3:16
'Kwa maana hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele'

Zingatia bold kwenye comment yako na masasahihisho niliyokuwekea. Si WOTE bali wale wamwaminie. Kama kuna Mpalestina anamwamini, then Yes. Kama anaamini katika kurusha maroketi, then NO. Kama kuna Mtanzania anamwamini, Big Yes, kama anaamini katika kuchoma makanisa, then NO.

Hata Marehemu Mohammed akimkiri Yesu ya kwamba ni bwana na mwokozi basi naye atafanyika kuwa mwana

Lakini waisrael hawamkiri huyo yesu wako nao sijui unawaweka kundi gani.
Kwahiyo ukimkiri yesu kama hao kina Bush ,halafu ukaua watu milioni moja kwa mabomu wewe unapata uzima wa milele?na hao uliowaua wanakua honored .?
 
Israel ni nchi Takatifu Taifa lenye nguvu na Teule. Ardhi yake iliporwa na sasa inarejeshwa polepole...someni Biblia nyie viongozi dhaifu wa kutoa matamko ya kuunga mkono msichokijua...hata sasa mnakubali kuwa vipofu na viziwi? haiwezekani.

people like you appear in every debate all over the internet wherever Israel is discussed and you all ALYWAYS USE THE SAME ARGUMENTS.you just come accross as a parrot.
This is to all GT who lack the INTELLIGENCE for mature conversation and label anyone who CRITICIZE ISRAEL as ant-GOD.
 
Hebu rudi kwenye kiswahili labda akili yako itakaa sawa. Sodoma na Gomora ni sehemu ndogo ya ardhi ya Kaanan kwenye uwanda wa chini wa mto Jordan na si kwamba ni Israel nzima.

Ndio Tanzania haikukuwepo, ilikuwepo Tanganyika, Nyitu, Unknown e.t.c lkn occupants wake ndio sisi sisi. Next time sema Holy Bible sio holy books, hicho kitabu kingine sio holy

I call BS on every spiritual book written in Hebrew.
 
Wabongo bwana kweli religion is a mental disease. Mngetumia hata nusu ya nguvu hizi mnazotumia kutetea ardhi ya Wa-Israel/Wa-Palestine kutetetea ziwa Nyasa. Joyce Banda anafikiri asingekuwa na ubavu wa kudai Ziwa lote.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Huwezi kutetea Israel based on substance.
Hivi nchi kama Iraq na Syria, hata Egypt mbona mataifa mbalimbali yanaishi pamoja?

Iraq imetajwa mara nyingi kwenye biblia kushinda Israel, na kuna watu wa mataifa mengi Iraq.
Sasa, kwanini hawa watu wasikae pamoja wakala bata? .... mambo ya mtume na Yesu are so medieval, they weren't even meant to bring beef, so if you cant live 2gether fk it, have two countries that respect each other.

Thanx Membe, you represented my view, by Membe I mean as the head of Tanzania diplomacy
 

Yohana 3:16
, sip'Kwa maana hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee,

Mi naona unasahau na kipande hiki cha kwanza pia. Ukombozi huu ulikuja kutokana na hiko cha kwanza. "Mungu aliupenda ulimwengu, aliwapenda watu wake, creation yake" ndo point yangu i wanted to make.

Watu wanaotumia kigezo cha Israel kuwa taifa la teule na unyanyasaji kwa wapalestina.

Hata kama wapalestina hawamwamini Yesu na hawamkiri kuwa ni Kristu Masiha, Jesus would have never approved kunyanyaswa kwao in the name of agano la Baba yake na Abraham.

And anywai arent Jews watu wakwanza kumakana Yesu tena mpka leo, they even demanded his crucifixion?
 
Don't forget the Jews reported Jesus to the Romans....and you know what happen after that!
Ndugu yangu, I am not a believer. For me the Palestinian/Israeli conflict is a humanitarian issue. One group is imprisoning the other group. You cannot deny that, and if you do there is something wrong with you. Ask yourself how did the Palestinian end up in a refugee camps, in Gaza where they have no freedom of movement? doesn't that even pain you as a human being?

I mean you don't think that the Palestinians are living in a big prison camp?

Wewe you are not a believer bt I am and yet i concur with you (100%)

Tatizo watu wanaleta ushabiki wa dini kwenye vitu obvious kabisa. Hata hao wanaoleta ushabiki wa dini hawaelewi mafundisho vizuri.

Mkristo anashabikia wayahudi kama vile hajasoma Injili vizuri, jinsi wayahudi hawa hawa walivyomkana Yesu na kudemand asurubiwe na mpaka leo ukienda kwa wayahudi na kutaka kuwahubiria habari za Yesu mtagombana.

Yesu mwenyewe Mwana wa Mungu aliachana nao siku nyngiiiiiii, alivyoona mioyo yao
Migumu na kuawagiza wanafunzi wake waende duniani kote na kuwahubiria injili ili yoyote aaminie atapata uzima wa milele.

Sasa watu waache kutazama mgogoro wa Palestina na Israel kidini
 
Mi naona unasahau na kipande hiki cha kwanza pia. Ukombozi huu ulikuja kutokana na hiko cha kwanza. "Mungu aliupenda ulimwengu, aliwapenda watu wake, creation yake" ndo point yangu i wanted to make.

Watu wanaotumia kigezo cha Israel kuwa taifa la teule na unyanyasaji kwa wapalestina.

Hata kama wapalestina hawamwamini Yesu na hawamkiri kuwa ni Kristu Masiha, Jesus would have never approved kunyanyaswa kwao in the name of agano la Baba yake na Abraham.

And anywai arent Jews watu wakwanza kumakana Yesu tena mpka leo, they even demanded his crucifixion?

Sioni kama una nina haja ya kujadili jambo lolote na wewe ikiwa namna yako ya kusoma Biblia ni kukata mstari nusu. Nimekupa aya nzima we umeikata nusu na kuirudisha hapa. Hiyo ni namna ya usomaji wa Biblia kwenye mihadhara ya waislamu wale wenye kashfa.
 
Huwezi kutetea Israel based on substance.
Hivi nchi kama Iraq na Syria, hata Egypt mbona mataifa mbalimbali yanaishi pamoja?

Iraq imetajwa mara nyingi kwenye biblia kushinda Israel, na kuna watu wa mataifa mengi Iraq.
Sasa, kwanini hawa watu wasikae pamoja wakala bata? .... mambo ya mtume na Yesu are so medieval, they weren't even meant to bring beef, so if you cant live 2gether fk it, have two countries that respect each other.

Thanx Membe, you represented my view, by Membe I mean as the head of Tanzania diplomacy

Iraq ipi? Hii ambayo Washia na Wasunni wanauana? Usiniambie yale mabomu wanayopigana misikitini ndio kula bata
 
Lakini waisrael hawamkiri huyo yesu wako nao sijui unawaweka kundi gani.
Kwahiyo ukimkiri yesu kama hao kina Bush ,halafu ukaua watu milioni moja kwa mabomu wewe unapata uzima wa milele?na hao uliowaua wanakua honored .?

Huu ndio nauita ubishi wa kipumbavu. Sijui ni wapi nimesema kuwa Wayahudi wamemkiri Yesu. Kumkiri Yesu si kwa mdomo, kwani walio wake wanafahamika kwa matendo yao. Kama unajua Bush ni muuaji basi huna haja ya kuniuliza.
 
.. and what will you do with the Black Sheep syndrome "Palestinians" who are using minors and women to fight for the cause of Allah? Love them or rebuke the evil? Don't you know that even Allah never mentioned them in the Holy Qu'ran? Don't you know Allah mentioned Israel!! in the Holy Qu'ran. How hard is it for mankind to miss that?

So is Palestinian-Israel crisis about whats in the Holy Book? Who's land is mentioned in the Holy Books?
 
Huu ndio nauita ubishi wa kipumbavu. Sijui ni wapi nimesema kuwa Wayahudi wamemkiri Yesu. Kumkiri Yesu si kwa mdomo, kwani walio wake wanafahamika kwa matendo yao. Kama unajua Bush ni muuaji basi huna haja ya kuniuliza.

wewe ndo mwenye mawazo ya kipumbafu.just because jesus was born in that area basi unafikiri waisrael wote ni wafuasi wake na kwamba unapaswa kuwasupport hata kama wako wrong.
YOU ARE JUST A KEYBOARD CRUSADER and no more.
 
"Itakae ilaani taifa la Israel na atalaaniwa!"
Katika category ambayo tulimek blunder ilikua kuji di-associate na Israel.. Hata wajerumani wenyewe waliresolve na wale watu. Tanzania kupitia viongozi wetu tumekua genge la wanafiki na wazandiki...mauaji kibao yanatokea nchini hatuchukui hatua ya kukomesha mf Mwangosi kapigwa risasi ushahidi upo wazii sijamsikia rais akizungumzia wala kulaani aina ya mauaji yanayofanywa na jeshi la police, mauaji ya vikongwe, ajali za barabarani, vifo vinavyotokana na huduma mbovu ya afya! Wazungu wanasema always charity biggins at home! Sisemi serikali isilaani mauaji yanayoendelea midle east but serikali yetu inatetea upande mmoja na kila siku wanawatetea wapalestine, that is not right..Palestinian wana wanapokosea,waisrael pia.. Tanzania isifungamane na nchi moja. Ni tabia chafu..nyerere alifanya yake..mazuri na mabaya..tatizo la serikali ya ccm badala ya kuchukua yale mazuri ya nyerere na kuyaendeleza, wao wanachukua yale mabaya ya nyerere na kuyaendeleza mf (kudeclare wazi kua tanzania kutokua mshirika na israel...)

.
Ni kwa nini Tanzania ni masikini ijapo ina utajiri mkubwa wa natural resources? RAIS--SIJUI!!
Hebu tujiulize kenya haina zile mali asili tulizo nazo lakini ndio invester namba moja wa nje hapa nchini. Sababu inajulikana hawakuwahi kumlaani Israel. Ila umaskini wetu uko obvious ni kwamba Baalam wa kitanzania na Balaki wa kitanzania wameungana pamoja kumlaani Israel na hivyo ndimi zao za kichawi zimehukumiwa hatia.
KWANI TUNGEUNGANA NA ZILE NCHI 41 AMBAZO HAZIKUPIGA KURA TUNGEPOTEZA NINI?
.
 
Hivi ile solution two States living side by side in peace imeshindikana nini?
Najua HAMAS hawataki hilo, pia wale fundamentalist Jews (wale wanaovaa makofia ambao hawaendi hata jeshini) hawataki hilo pia.

Kwanini dunia imeshindwa ku deal na hawa FUNDAMENTALISTS
 
Back
Top Bottom