Palestine thanks Tanzania for support at UN

Palestine thanks Tanzania for support at UN

The book of Revelation,chapter 2,verse 9 state the following about these jews.
''i know thy works and tribulation and poverty....i know the blasphemy of them which say THEY ARE JEWS and they are NOT,but are THE SYNAGOGUE OF SATAN.
...so whoever is calling himself a jew and so a chosen one,we need to look at him veeery closely.
They are just from satan.
GOD can not choose children murders to be his people.
If they were chosen one they wouldnt need NUCLEAR WEAPONS TO KEEP THEM SAFE.
God would have taken care of them.

Sasa upumbavu wako umekuacha, nawe umeamua uzi uwe Kanisa. Mwanzo alikuwa ni pepo kama nilivyokwambia. Ila mwambie huyo kibanga Ampiga Mkoloni uliyemtuma kuwa naye pepo lake litaondoka tu katika Jina la Yesu.

Ila unahitaji maombi zaidi, manake hata Yesu alikuwa Myahudi. Kwa hiyo ni wazimu kuamini kuwa alitoka kwa shetani. Mungu akupe hekima upate kuuona ukweli
 
Last edited by a moderator:
If you think God can protect you why not just close your eyes and walk for God will direct your path?

so what is the use of Israel god if he cant protect them.
THESE JEWS DEPENDS MORE ON AMERICA THAN THEY DEPEND ON THEIR GOD.
 
huko church tulishapita sana wala hakuna jipya unaloniambia.naomba tu kuuliza yule mary na martha walikua dadazake lazaro.SIYO?SIKU jesus alipokwenda kuwatembelea unakumbuka mary alimuachia kazi zote martha yeye akawa analonga na jesus hadi marth akamwambia.
'BWANA mwambie basi mary aje anisaidie kazi maana naona ameng'ang'ania tu ubavuni kwako'
na wakamtolea nje.
Mr mtokapabaya ,CAN YOU TELL ME WHY MARY OF bethany was SO CLOSE TO JESUS? Luka 10:38-42.
.answer that imekua inanisumbua sana why jesus was so close to mary.

Elungata you need to humble yourself to God for him to get you out of that pit of staggaring faith....Wakati ule wa kikombe cha babu tulibishana sana ukakataa na kuja na shuhuda kibao oooh so and so alipona...What I can see is you being swayed by winds of faith kutokana na kukosa misingi katika neno la Mungu..Naomba Mungu sana akusaidie maana umefikia kipindi cha kukata tamaa hasa baada ya babu kuku-disapoint ndiyo maana unaanza kuamini uzushi wa watu wanaopingana na ukweli wa Mungu. It mean ulikuwa unatafuta ukweli and at a very right point shetani akakudaka mzima it is only by God's grace utatoka kwenye hicho kifungo otherwise you are a very good candidate wa cult groups if you are not yet in there...May God have mercy on you!
 
huko church tulishapita sana wala hakuna jipya unaloniambia.naomba tu kuuliza yule mary na martha walikua dadazake lazaro.SIYO?SIKU jesus alipokwenda kuwatembelea unakumbuka mary alimuachia kazi zote martha yeye akawa analonga na jesus hadi marth akamwambia.
'BWANA mwambie basi mary aje anisaidie kazi maana naona ameng'ang'ania tu ubavuni kwako'
na wakamtolea nje.
Mr mtokapabaya ,CAN YOU TELL ME WHY MARY OF bethany was SO CLOSE TO JESUS? Luka 10:38-42.
.answer that imekua inanisumbua sana why jesus was so close to mary.

Luka 10:38-42

Ikawa katika kuenenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumbani kwake. Naye alikuwa na umbu lake aitwaye Mariamu, aliyeketi miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake. Lakini Martha alikuwa akihangaika kwa utumishi mwingi; akamwendea, akasema."Bwana, huoni vibaya hivyo ndugu yangu alivyoniacha nitumike peke yangu? Basi mwambie anisaidie." Bwana akajibu akamwambia, "Martha, Martha, unasumbuka na kufadhaika kwa ajili ya vitu vingi; lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo halitaondolewa."


Swali lako ni hilo hilo tu au una kingine? Manake aya inasema kuwa aliketi miguuni pa Yesu akisikiliza maneno yake. Na jambo hilo lilikuwa jambo bora.

What are you trying to insinuate?
 
Sasa upumbavu wako umekuacha, nawe umeamua uzi uwe Kanisa. Mwanzo alikuwa ni pepo kama nilivyokwambia. Ila mwambie huyo kibanga Ampiga Mkoloni uliyemtuma kuwa naye pepo lake litaondoka tu katika Jina la Yesu.

Ila unahitaji maombi zaidi, manake hata Yesu alikuwa Myahudi. Kwa hiyo ni wazimu kuamini kuwa alitoka kwa shetani. Mungu akupe hekima upate kuuona ukweli

watch out ,you ignorance is showing.
Am asking you why was jesus So close to mary.dont sidestep the issue.
 
Last edited by a moderator:
Yaani mwanangu Kapya bado huoni huo unyama unaotendwa na Israel ambayo siku zote imekuwa ikitaka ionewe huruma kutokana na mauaji yaliyotembezwa na Hitler? Ni bahati mbaya kuwa waliofanyiwa unyama wanaurudia kwa watu wasio na hatia. Kwa ufupi ni kwamba Israel ni taifa la kijambazi lililoiba ardhi ya wapalestina. Tafuta ramani yoyote ya dunia kabla ya 1948 utapata jibu zuri tu.
AYNaTxSlDL44AAAAAElFTkSuQmCC

images-2.jpg images.jpg
 
Palestine has expressed its gratitude to Tanzania for its principled stand in voting in its favour to achieve non-member observer status in the United Nations.

Dr-Nasri-Abu-Jaish.jpg

Ambassador of the State of Palestine to Tanzania, Dr Nasri Abu Jaish


Palestinian Ambassador to Tanzania, Dr Nasri Abujaish told reporters in Dar es Salaam yesterday that it was a remarkable achievement to all peace and freedom loving people all over the world.

“Yesterday (Thursday) November 29, 2012, 138 states voted in favour of Palestine. The vote is a long sought victory for Palestine which has at last been granted its ‘birth certificate’ after 65 years of resistance against Israeli occupation, confiscation, expulsion and genocide,” he said.

According to news agencies, the resolution upgrading the Palestinian status to a non-member observer state at the United Nations was approved by more than two-thirds of the 193-member world body – a vote of 138 for, nine against and 41 abstentions.

Dr Abujaish said that Tanzania’s voting had once again demonstrated the historic solidarity between the people of Tanzania and Palestine. He said it was a global victory for human rights, freedom, national self determination, peace and justice.

He said that with the vote, Israeli occupation was effectively defeated and the State of Palestine and the Palestinians had won and that it showed the world had sided with justice and peace and was against occupation.

“We now hope that with the enhancement of the State of Palestine, the UN Security Council will respond to the resolution submitted in 2011 to grant Palestine full membership in the UN and reaffirm its intention to achieve a two-state solution based on the pre-1967 borders,” he said.

The Ambassador explained that with the new status, Palestine State was now ready to resume negotiation with Israel on issues of illegal settlements, Jerusalem, borders, refugees, water and other resources.

He stressed that Palestinians could now gain access to UN agencies and international bodies, particularly the International Criminal Court, which could become a facilitator to task Israel for alleged war crimes or its on-going settlement building on the war-won land.

Thursday’s vote came on the same day, (November 29) in 1947 when the UN General Assembly voted to recognize a state in Palestine, though the jubilant revelers then were the Jews. The Palestinians rejected that partition plan and decades of tension and violence have followed.

Dr Abujaish said he was optimistic that in three months time, Israel would suffer its first case at the International Criminal Court after forensic tests on the late Palestinian leader Yasser Arafat pointed an accusing finger at them.

He said that Palestinians were convinced that Israel poisoned Mr Arafat and that they were certain Russia and Switzerland would unearth the truth. Joining the United States and Israel in the ‘no’ vote were Canada, the Czech Republic, the Marshall Islands, Micronesia, Nauru, Palau and Panama.

Real independence, however, remains an elusive dream until the Palestinians negotiate a peace deal with the Israelis, who warned that the General Assembly action will only delay a lasting solution. Israel still controls the West Bank, East Jerusalem and access to Gaza. It has accused the Palestinians of by-passing negotiations in the campaign to upgrade their UN status.

Wapalestina waache ugaidi na siasa za maji taka and am for Israel 200%
 
Elungata you need to humble yourself to God for him to get you out of that pit of staggaring faith....Wakati ule wa kikombe cha babu tulibishana sana ukakataa na kuja na shuhuda kibao oooh so and so alipona...What I can see is you being swayed by winds of faith kutokana na kukosa misingi katika neno la Mungu..Naomba Mungu sana akusaidie maana umefikia kipindi cha kukata tamaa hasa baada ya babu kuku-disapoint ndiyo maana unaanza kuamini uzushi wa watu wanaopingana na ukweli wa Mungu. It mean ulikuwa unatafuta ukweli and at a very right point shetani akakudaka mzima it is only by God's grace utatoka kwenye hicho kifungo otherwise you are a very good candidate wa cult groups if you are not yet in there...May God have mercy on you!

WHAT?kikombe cha babu tena.tangu lini nikamuunga mkono huyo mchungaji mchawi?kwanza sidhani hata kipindi hicho nilikua nimeshaanza kupost hapa.HEBU NIWEKEE HIYO POST KAMA UNA UHAKIKA.
Sinaga imani za kipuuzi kama hizo.UNAZUSHIA MEEEN.
 
watch out ,you ignorance is showing.
Am asking you why was jesus So close to mary.dont sidestep the issue.

Ignorant is the one who can not tell whether the glass is half empty or half full.

Kwa maoni yako:
1. Was Jesus close to Mary or
2. Mary was close to Jesus?

Hii hoja yako nimekujibu tayari hapo juu tazama majibu yangu acha kulalama. Sina kitu cha ku- side step hapo. Au ngoja nikupestie hapa hapa.

Luka 10:38-42

Ikawa katika kuenenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumbani kwake. Naye alikuwa na umbu lake aitwaye Mariamu, aliyeketi miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake. Lakini Martha alikuwa akihangaika kwa utumishi mwingi; akamwendea, akasema."Bwana, huoni vibaya hivyo ndugu yangu alivyoniacha nitumike peke yangu? Basi mwambie anisaidie." Bwana akajibu akamwambia, "Martha, Martha, unasumbuka na kufadhaika kwa ajili ya vitu vingi; lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo halitaondolewa."


Swali lako ni hilo hilo tu au una kingine? Manake aya inasema kuwa aliketi miguuni pa Yesu akisikiliza maneno yake. Na jambo hilo lilikuwa jambo bora.

What are you trying to insinuate?

Enhe, what is wrong?
 
utusome tena kwa heru kubwa za three D siyo ile ambayo mpaka uvae micro scope ndiyo uone tunamaanisha nini; No blessings kama tuna laani taifa la Mungu....Period lakini sisi wachache tulioamua kumlilia Mungu kwa nchi yetu iliyotiwa unajisi tutawaonyesha who God is not very far from today....Nyerere katika hili ndipo ninapo mkosoa wala siko naye najua alifanya haya kwakua alikuwa mkatoliki na wakatoliki hawakuwa washirika wa wana wa Israel.....Waarabu kupingana na wa Israel siyo kosa maana wote wapo ki Mungu zaidi ili kutuletea sisi ukombozi tatizo lina kuja kwa sisi gentile ambao tumepewa neema ya bure kupitia haya mataifa mawili Waarabu (mtoto wa mama wa Kambo) na M-Israel mtoto wa mke wa Abraham...

Hakuna kati ya waarabu ama wa Israel atakaye potea wote wata okolewa maana yote mawili ni mataifa original yalianzishwa na Mungu mwenyewe. Kila mtu alipewa baraka yake mmoja alipewa baraka ya kuleta mkombozi na mwingine alipewa baraka za kidunia ndiyo maana hata tufanyeje waarabu hawatakaa wafilisike...Pesa na wealth yote duniani belongs to them....Waisrael vile vile hawatakaa washindwe kufanya wonders maana nguvu na uwezo upo mabegani mwao tatizo ni sisi ambao hatujui nini sehemu ytu hapa duniani ugomvi wa ndugu sisi twauvalia nguo ya krismas kama vile tume alikwa....Huku tukijipambanua tunamjua Mungu kumbe tuko kishabiki zaidi kuliko kutafuta kweli katika imani zetu..I am sure hata waislam wana ukweli kwenye kitabu chao kuhusu wana wa Israel so why kushabikia mambo bila sababu? Mtu atasema ooh sisi ni secular yes lakini msimamo wetu kama secular then kwakua haya mambo yamekaa ki- conservative zaidi (imani) ni kuwa neutral basi na siyo ku-take sides.

Wewe ni mkristo alaf hujui nafasi yako kwenye dunia hii???
Support Israel kwasababu nyingine ila please sio kwa imani yako kwasababu Jews hawamtambui kristo wako hta kidogo. They are still waiting for their Mesiah.
Sasa huwa nashanga Mkristu unaye jaribu kujpendekeza kwa watu ambao wanakuona mzandiki, mzushi.

...I beg to differ, Membe has to tell us sisi wakristo inakuaje atu by pass kwenda kupingana na imani yetu?
Wakristu gani hao? Imani gani hiyo?
 
Luka 10:38-42

Ikawa katika kuenenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumbani kwake. Naye alikuwa na umbu lake aitwaye Mariamu, aliyeketi miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake. Lakini Martha alikuwa akihangaika kwa utumishi mwingi; akamwendea, akasema."Bwana, huoni vibaya hivyo ndugu yangu alivyoniacha nitumike peke yangu? Basi mwambie anisaidie." Bwana akajibu akamwambia, "Martha, Martha, unasumbuka na kufadhaika kwa ajili ya vitu vingi; lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo halitaondolewa."


Swali lako ni hilo hilo tu au una kingine? Manake aya inasema kuwa aliketi miguuni pa Yesu akisikiliza maneno yake. Na jambo hilo lilikuwa jambo bora.

What are you trying to insinuate?

eeh..mr mtoka pabaya why was she so speacial kwa huyo mary magdalena hadi akamkatalia asiende kumsaidia dadake martha kupika.
ISITOSHE KWENYE LAST SUPPER huyo mary alizidiwa na upendo hadi akampaka mafuta.
What really was going on between the two.
 
I totally agree occupation is wrong. I do believe age doesn’t count whether those commented are on their 30’s or 20’s or 80’s what matters here is history of this so called occupied land which has been there hundreds of years.
Others says holy books such as Koran didn’t mentioned about Palestine but I tell you, this land has history of Islam, Judaism, Christians, Hebrews… they all deserve rights to practice their spiritually beliefs and access to holy sites. If I remember well, the agreement of 1948 and 1967; British assisted on end of the war that Jordan, Syria and other Arabs nations when they were destroying Jerusalem and many Jews died in 1948; the agreement ended in dividing Jerusalem; Israel to occupy Western Jerusalem and Palestine Eastern Jerusalem and freedom of practicing their religions regardless of locations but Jordan’s broke the agreement and destroy some of Jews holy places including burial grounds for Jews.
The vote by UN in recognition of Palestine triggered Israel’s to start planning for building settlements on so called occupied territory. They are very RIGHT, 1[SUP]st[/SUP] the agreement of 1948 and 1967 is the basis for peace between these two, 2[SUP]nd[/SUP] Palestine ideas of making Jerusalem as their capital while the area is still in conflict.
If you look at Islam history there is no such bond between Islam’s and Jerusalem, we know of Mecca as holy land and only Prophet SAW went in Jerusalem in a way that can be explained better by others here. Again if you look on continents history; Americas, Africa, Asia etc; where are Arabs? In Israel there are also Arabs! In Jordan, Syria, Lebanon there are also Christians! There is only one man created by Almighty God only that we differ in colour, the fore fathers Abraham have many generations but history tells there is no such state as PALESTINE…NEVER EXISTED. Probably reading the history of Pharaos and Jews in Egypt could tell us more; and holy books keeps this history of Israel’s going to Egypt and on their return to their promised land JERUSALEM found so called PALESTINE; Israel’s will die for anything to be on their promised land and it is even bad they accepted the promised land to be divided..JERUSALEM should be one for ISRAELs.
Bless those who bless Israel and curse those who curse Israel; those who went against it include America they know what happened to their President residence back in US when he was in Spain on trying to solve Israel/Palestine conflict in favor of Palestine and many other events/conspiracies going on…the turn will be into MEMBE/Tanzania and other nations who curse Israel.

In tanzania, the curse will be for Membe and his followers.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
inahatarisha vipi uwepo wa vatican?wayahudi wana iman yao na kitabu chao tofauti na wakatoliki.
Kwanini nyerere na ukatoliki wake aliipinga israel na siasa zake za kuiba ardhi ya palestine.

ndugu yangu nenda google halafu fanya research juu ya vitu hivi;(1)roman-jewish wars,(2)jewish diaspora(3)why romans hate jews(4)vatican jerusalem agenda.
kwa ufupi habari ya wapalestina na israel ina player wa tatu ambaye ndiye hasa adui wa israel na amekuwa akiwatumia wapalestina kama chambo tu.player huyo ni Vatican.swali lako ni zito sana.jibu lake litaingiza mambo makubwa hapa.kwa muda mrefu warumi wanaitaka jerusalem.Usichokijua wewe ni kuwa Roman empire bado ipo na ina nguvu sana,imebadilisha jina tu.Naomba niishie hapa maana nikiendelea ntagusa imani za watu.we soma hizo topic hapo juu utagundua mengi mwenyewe.Kwa wakristo kama mie nawakumbusha tu..KIKULACHO KINGUONI MWAKO!
 
ndugu yangu nenda google halafu fanya research juu ya vitu hivi;(1)roman-jewish wars,(2)jewish diaspora(3)why romans hate jews(4)vatican jerusalem agenda.
kwa ufupi habari ya wapalestina na israel ina player wa tatu ambaye ndiye hasa adui wa israel na amekuwa akiwatumia wapalestina kama chambo tu.player huyo ni Vatican.swali lako ni zito sana.jibu lake litaingiza mambo makubwa hapa.kwa muda mrefu warumi wanaitaka jerusalem.Usichokijua wewe ni kuwa Roman empire bado ipo na ina nguvu sana,imebadilisha jina tu.Naomba niishie hapa maana nikiendelea ntagusa imani za watu.we soma hizo topic hapo juu utagundua mengi mwenyewe.Kwa wakristo kama mie nawakumbusha tu..KIKULACHO KINGUONI MWAKO!

i will search.
 
eeh..mr mtoka pabaya why was she so speacial kwa huyo mary magdalena hadi akamkatalia asiende kumsaidia dadake martha kupiga.
ISITOSHE KWENYE LAST SUPPER huyo mary alizidiwa na upendo hadi akampaka mafuta.
What really was going on between the two.

What a silly question? Sijui ni nini unataka kusema. Mary alizidiwa na upendo maana yake nini?

Kumbe wewe ni Muislamu?! Ni wao ndio nimezoea kuona wakiongea hovyo hovyo na hoja zisizo na msingi. Yule ni Mariamu Magdalena?

Wewe ulitaka kiwe nini kinaendelea? Yesu alimpenda Simon Bar-yona pia. Alimpenda zaidi ya mitume wake wengine kiasi akamkabidhi kanisa, huyo naye tusemeje?

Labda uweke hili swali lako namna nyingine lieleweke vyema
 
Ignorant is the one who can not tell whether the glass is half empty or half full.

Kwa maoni yako:
1. Was Jesus close to Mary or
2. Mary was close to Jesus?

Hii hoja yako nimekujibu tayari hapo juu tazama majibu yangu acha kulalama. Sina kitu cha ku- side step hapo. Au ngoja nikupestie hapa hapa.



Enhe, what is wrong?

wewe usione soo mbona hayo mambo ya kawaida sana.naona unazidi ku beat arround the bush.
Ila ujue kijana yeyote anaekua hadi anafikia umri wa miaka 30.lazima anakua na mtu wake wa karibu au siyo.viginevo labda awe na matatizo fulani kwahiyo usione soo kuadmit.
 
What a silly question? Sijui ni nini unataka kusema. Mary alizidiwa na upendo maana yake nini?

Kumbe wewe ni Muislamu?! Ni wao ndio nimezoea kuona wakiongea hovyo hovyo na hoja zisizo na msingi. Yule ni Mariamu Magdalena?

Wewe ulitaka kiwe nini kinaendelea? Yesu alimpenda Simon Bar-yona pia. Alimpenda zaidi ya mitume wake wengine kiasi akamkabidhi kanisa, huyo naye tusemeje?

Labda uweke hili swali lako namna nyingine lieleweke vyema

mie budha.
Na yule ambae alikua haishi kumuegemea kifuani anaitwa nani kweli?yohana ama peter.dah nilishaanza kusahau.
 
What a silly question? Sijui ni nini unataka kusema. Mary alizidiwa na upendo maana yake nini?

Kumbe wewe ni Muislamu?! Ni wao ndio nimezoea kuona wakiongea hovyo hovyo na hoja zisizo na msingi. Yule ni Mariamu Magdalena?

Wewe ulitaka kiwe nini kinaendelea? Yesu alimpenda Simon Bar-yona pia. Alimpenda zaidi ya mitume wake wengine kiasi akamkabidhi kanisa, huyo naye tusemeje?

Labda uweke hili swali lako namna nyingine lieleweke vyema

mie budha.
Na yule ambae alikua haishi kumuegemea kifuani anaitwa nani kweli?yohana ama peter.dah nilishaanza kusahau.
 
So is Palestinian-Israel crisis about whats in the Holy Book? Who's land is mentioned in the Holy Books?

THE QUR'AN SAYS:

"To Moses We [Allah] gave nine clear signs. Ask the Israelites how he [Moses] first appeared amongst them. Pharoah said to him: 'Moses, I can see that you are bewitched.' 'You know full well,' he [Moses] replied, 'that none but the Lord of the heavens and the earth has revealed these visible signs. Pharoah, you are doomed.'"

"Pharoah sought to scare the Israelites out of the land of Israel: but We [Allah] drowned him [Pharoah] together with all who were with him. Then We [Allah] said to the Israelites: 'Dwell in this land, the Land of Israel. When the promise of the hereafter [End of Days] comes to be fulfilled, We [Allah] shall assemble you, the Israelites, all together in the Land of Israel."

"We [Allah] have revealed the Qur'an with the truth, and with the truth it has come down. We have sent you [Muhammed] forth only to proclaim good news and to give warning."

[Qur'an, "Night Journey," chapter 17:100-104]​
 
Back
Top Bottom