yah wanaongea point coz wamepitia maisha ya kustruggle mwenyewe, papuchi unapewa tatizo huwa waoga kubeba mimba nyingineAf ma singo maza wanaongeaga point hatar,yaan ni stor za maisha,ukitaka papuch unapewa,unapikiwa,..yaan ushindwe wew tuu
Hahahahahahhahaaa komaa na siku nyingineeBaba hii ikikutokea hakuna namna,..maana singo maza chuma cha ukwel kama hakija zaa,..sasa kujitutumua uonekana mwanaume anaejal,lazma ukubal chochote anachotaka mtoto,...nimenunulishwa maputo leo,..mtoto had face painting aisee,ikabid namie ni act kama baba,huez kwepa etii
Kukupa papuchi!!! Ili umfanye single mother again!!!!Tatzo wala hakuna,hvo tuvitu twa kununua ni nothing kwangu,ishu ilikua nije kupewa papuch,sasa nkashangaa kabadir gia hewan,siku ikageuka kua picknik
Kwahiyo unataka kuchunwa si ndio!!!Tatzo routine za ma singo maza hazisomek,..unaeza mtoa a shop,.hvo vtu anavonunua,tena wala sio vya bei..atanunua mwiko,scrabber za sufuria,mara anunue ketchup,kamaliza,..unamwambia chkua wine bas,ndo anachkua,..kiukwel ma singo maza wanajua maisha,hawakomoi
Huyo mama nae hana adabu kabisa!!Kuna mmoja alileta mrejesho hapa baby alininuliwa kiepe na fanta wakiwa guest house, baada ya msomi baby alilala wakubwa wakaanza yao.
Kabla jamaa hakafika kileleni mtoto amepiga chafya Khaaa mstuko ilibidi akusanye nguvu upya.
Hili pia nmeliona,maana jana kuna mda nilikua napewa mahaba flan ambayo sjawai pewa nayeye,tena mbele ya mwanae,kama kulishwa,kufutwa mdomo na tishu,.kushikwa shikwa,.mda wa kuagana ndo ulikua mtam,nkasema huyu udhaifu wake uko kwa mwanae,..Ukitaka kumfaidi single mother, jikite zaidi kwa mtoto wake na usiwe na haraka. Siku akiamua utafaidi.
Ndiyo maaaana, shost ni single mother ana boy wake wa 9 yrs. Basi kuna jamaa anapiga hesabu, mtoto ni Man United wa damu basi jamaa amenunua shuka na pazia za Man United kutoka Turkey na amwekea mtoto flat screen chumbani na king' amuzi cha sports juu.Ukitaka kumfaidi single mother, jikite zaidi kwa mtoto wake na usiwe na haraka. Siku akiamua utafaidi.
Huyo mtoto ni wenu?Dah! Huwa inanikuta somewhere.....unakuta saa 4 mtoto hajalala namimi nataka kula tunda. Siku hzi hata siendi kulala kwake.
Sukari Yenu
Kumbe huwa watoto wanapatikana kwa kunywa maji?Ahhhh bwana,..kwan kukupa papuch ndo kujaza ujazwe.
Kwahiyo shida yako ni nini haswa?Hahahahha,hawez nichuna,anajua ntakimbia,..yuko smart