jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,284
- 36,373
Mkuu unataka kuwowa kabisa..au unanyapianyapia papuchi yake na wewe ugonge kopi kisela.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kwa mtu muungwana huwezi ona tabu kugharamika ama kumjali mtoto wa mpenzi wko ila nlichokielewa mm(km niko tofauti mtoa mada atanisahihisha) huu ulikuwa mtoko maalum kwa mambo yetu yle cdhani km jamaa alikuwa na ratiba ya kwenda kula pizza kila jambo na wakti wke cku ya kwenda kula bata tu kawaida hamna tabu njoo na mtt tuenjoy ila cku yetu ya kikubwa waja na mtt kufanya nn? labda km alikosa wa kumuachia ila inakera!
Duh nimecheka kweli aiseIla angehaidi kukutunuku papuchi jioni ata pampasi ungembadili mtoto
ExactlyHapana kwa mtu muungwana huwezi ona tabu kugharamika ama kumjali mtoto wa mpenzi wko ila nlichokielewa mm(km niko tofauti mtoa mada atanisahihisha) huu ulikuwa mtoko maalum kwa mambo yetu yle cdhani km jamaa alikuwa na ratiba ya kwenda kula pizza kila jambo na wakti wke cku ya kwenda kula bata tu kawaida hamna tabu njoo na mtt tuenjoy ila cku yetu ya kikubwa waja na mtt kufanya nn? labda km alikosa wa kumuachia ila inakera!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhhhaaaaaa msaidieNdo hvo,..katoto kake kazuur n kamenipenda,namii badae moyo ukafunguka ingawa skupenda iwe vle leo,maana kuna mambo tulishindwa kuongea,hata kushikana shikana ilikua tabu,nilikua nalishwa ice cream tuu
Ni kweli,Kila mtu ana vipaumbele vyake linapokuja suala la mahusiano
Kila mtu ana vitu ambavyo anapenda au hapendi kwenye mahusiano mfano mimi sipendi mtu akiniandikia sms kwa herufi kubwa namuacha...utasema mtu kama huyo hana haki ya kuwa na mahusiano mengine kisa ameachwa na mimi?
Vilevile kwenye mahusiano kuna mambo mengi sana...kupo kuchokwa na mtu uliyenaye, inaweza kuwa kapata chuma kuliko yeye, au mwanaume bazazi tu kila siku anataka kuona chiu mpya...zaidi ya yote no body is perfect, tukisema walioachwa hawana haki ya kuwa na mahusiano mengine pengine hata wewe hutabaki salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha haNdo hvo,..katoto kake kazuur n kamenipenda,namii badae moyo ukafunguka ingawa skupenda iwe vle leo,maana kuna mambo tulishindwa kuongea,hata kushikana shikana ilikua tabu,nilikua nalishwa ice cream tuu
ha ha jiongeze bembeleza mtoto alale funga mgongoni muimbie atalala tuDah! Huwa inanikuta somewhere.....unakuta saa 4 mtoto hajalala namimi nataka kula tunda. Siku hzi hata siendi kulala kwake.
Sukari Yenu
Bado nakupenda Mae....!ha ha jiongeze bembeleza mtoto alale funga mgongoni muimbie atalala tu
me nakupenda zaidi mwakani nakujaBado nakupenda Mae....!
Hizo sound tu...njoo sasahv ndio nina Bulk!!me nakupenda zaidi mwakani nakuja
izungushe hiyo iwe mara tatu yake nakujaHizo sound tu...njoo sasahv ndio nina Bulk!!
Poa nakusubiri palepale.izungushe hiyo iwe mara tatu yake nakuja
pouwa haina noumaPoa nakusubiri palepale.