God iz bae
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 527
- 1,086
Asante mtoa mada......
Yaan we dada jmnnn..halafu wanaume wa siku hizi wanavopenda raha anataka aje alalle kwako akugegede ,ale bure,aoge bure ajisaidie tena haja kubwa mara mbili aondoke
Vipi mwenzetu?huna??au ndo ilitoka na kiti cha baskeli 1988 form two mwika sec???teh tehha hahahah miss natafuta wewe ni mbaya unasema bikra kabisa hahahahaha
Sasa uende kwa usiempenda ili iweje?Heshima yako Mkuu Daby
Ukweli ni kwamba dada zangu wengi wanashindwa kuchungulia fursa na kujiegemeza kwa mnaume ambaye wala hajali hisia zake kisa kuna kitu amempendea AU ANATAKA KULAZIMISHA NDOA.
Kuna jirani namjua jamaa anakuja kwake kumega na kusepa na siku nyingine vipigo lakini kajifungia na ma status ya Engaged wakati kuna kijana namjua anamtaka kwa kila namna na yuko tayari kumuoa lakini yeye wala.
Yaani unanikana mchana kweupe hv douh!!!!mimi sina mtu mkuu mimi bikra
Mkuu wanaandika kuliko haya labda niseme huenda wakawa hawajui maana yake,na utakapo mwambia kua hapo sio sawaHivi mdada anayejielewa anaweza kuandika "I love the way you do me"! Unajua kuna watu hizi social networks zinawazingua, kila tukio lazima liwekwe online. Yaani maisha yenye privacy hakuna tena siku hizi, inafikia hadi mtu yupo chooni anatupia picha..daaah!!!
Ujumbe huu umfikie Miss Natafuta
kweli kabisa kuna mdada mmoja hivi ni rafiki yangu ni mrembo kweli siku moja tumetoka nae jamaa mmoja akawa anamtongoza hata dakika mbili hazijaisha akamueleza ana mtoto,baba mtoto this blah blah kibao wakati baba mtoto wala hamtaki. mimi nasimama peke yangu tena najitambulisha kama bikra kabisa
Waambie mwenzangu..Nimekupata vizuri, ila ninyi wanaume ni watu wabay sana Mungu awasamehe tu, kipimo mnachowapimia watoto wa wenzenu kitawatafuna na wenu
Waache tu, na mwanaume anaejua kupenda ni mwenye kumjua Mungu wengi wanatamani tu. Yesu tutetee jeshi lakoWaambie mwenzangu..
Watu wanasahau kua ujana maji ya moto..
Uzeeni wataona mabinti zao wakifanyiwa haya wanayowafanyia mabinti za watu wengine.
Unataka kusema waliopo jf ni tofauti na wale wa fb? Kiongozi, "mazombi" wa mapenzi kama unavyowaita wamejaa tele humu, kama walivyo huko fb.Hili bango inabidi likae fb maana kule ndo kuna mazombi wa mapenz
basi kumradhi mkuu, please usilitoe la moyoni nisije kimbia JF bure..Unanitafuta la rohoni mkuu
Aaaah kule wamezidi alafu wakiachana wanakuja na maneno ya moyo sukuma damuUnataka kusema waliopo jf ni tofauti na wale wa fb? Kiongozi, "mazombi" wa mapenzi kama unavyowaita wamejaa tele humu, kama walivyo huko fb.
Ohoo kumbe ww me,,anachosha bwanaMm sio ke aunt ni me..ila pole lakn wa hvyoo uyoo si ndo ana mapenzi ya dhati sas au wee humtak.?na mtu anaekufanyia hvyo basi ulishamzoesha mwenywe tangu mnaanza mahusiano