Paka wa Muhimbili

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
MNH Pale Kuna Paka Wengi Sana Kweli Huchagua Chakula Kuna Jamaa Alimpa Chakula Akagoma Kula Alipopewa Nyama Ya Samaki Akala
 
Noma noma mkuu
 
Kuna siku nimewahi mstua mmoja akanidindishia kiajabu sana.wale paka noma sana.
.
 
si ni walivyozoeshwa,sie paka wetu kazoeshwa nyama mbichi ukimpa iliyopikwa hali
Hyo mbaya mi namchangia mbich na yakuiva kuna siku alikamata kifaranga cha kuku nikakuta manyoya tu hatar.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…