Paka mweusi na pakajimmy

Paka mweusi na pakajimmy

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,621
Reaction score
4,311
Jamani naomba kuuliza hapa JF kua kuna watu wawili majina yao yanashabihiana! Hivi huyu Paka Mweusi na PakaJimmy je wanaundugu wowote? Asanteni sana kama mtanifanyia huu uvumbuzi kuhusu hawa The Greaty Thinkers.:thinking:
 
Ndio wana undugu kwa sababu wote ni jamii ya PAKA. Na wanaishi misituni:Cry::Cry:
 
Mwenyewe nilishakoma siku ya kwanza kukutana na pj. Nilidhani pm. Lakini nilidungua mara moja ila ni watu tofauti tofauti na wale wanaotumia id mbili tofauti
 
jamani hao ni dugu moja wote wanyama ila koo tofauti
 
wako kwenye kundi moja la wanyama jamii ya paka. ila sidhan kama ni ndugu....nadhan pakajimmy sio mweusi yeye
 
Sa siungewaPM uwaulize si una2uuliza 2tajuaje.
 
Huyo paka jimy atakuwa muhindi. Na pakamweusi nahsi ni mtanga alafu anapatikana sana hospitali ya Tanga.
 
Ha ha haaaaa!
Nawasikiliza!...Jaribuni kuhisihisi wee, then mwishoni tutajitokeza na huyu jamaangu Pakamweusi!
 
Paka Jimmy ni chotara wa paka la kizungu na kiafrika kama yale makuku ya kisasa,Paka mweusi ni mwafrika 100%

Ni ndugu kabisaaa,mi nawafahamu.........🙂:car::car::car:
 
Paka Jimmy ukimsalimia atakuitikia Nyaauuuuu tena kizungu alaf Paka mweusi dah nyau yake balaa!! Hahahahaha!
 
Paka Jimmy pacha wa kwanza Paka mweusi pacha wa pili.... ( kurwa na Doto) lol
 
Back
Top Bottom