St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
ahaa haaahhaa.... hata mi nahisi hivyo...
Hata wewe mama wahisi hivyo??
ahaa haaahhaa.... hata mi nahisi hivyo...
ndio wana undugu kwa sababu wote ni jamii ya paka. Na wanaishi misituni:cry::cry:
ahaa haaahhaa.... hata mi nahisi hivyo...
St. Paka Mweusi
Kujiita hivyo ni kosa na unakwza imani za watu wengine huwezi kujiita mtakatifu paka mweusi
Habari zenu mapaka?
Namuomba paka mmoja nimfuge.
Jamani naomba kuuliza hapa JF kua kuna watu wawili majina yao yanashabihiana! Hivi huyu Paka Mweusi na PakaJimmy je wanaundugu wowote? Asanteni sana kama mtanifanyia huu uvumbuzi kuhusu hawa The Greaty Thinkers.:thinking:
Afadhali nimeiona hii post kabla ya Paka jimmy,mama mi nimeshajichokea na maisha ya ukimburu,nifuge tu mimi na naomba ufute hiyo post yako ili mwenzangu asiione kuondoa competition.