Pajue Iringa kwa kupitia picha

Pajue Iringa kwa kupitia picha

Screenshot_20250423-194203_1745427167878.jpg

Sasa tutoke kidogo kati kati ya mji sasa tusogee pembeni kidogo ya mji,, hapa nipo mtaa wa kijiweni ,, na hivi ndivyo iringa CBD inavyoonekana ukiwa huku kijiweni
 
Kwa wastani range ya bei ya kiwanja 20m kwa 20m kwa maeneo ya kando ya mji ni kiasi Gani? Vp mashamba pia ni bei Gani kwa wastani?
Ukiwa na 4 au 3.5 unapata katika maenro ya kitasengwa dk 15 toka katikati ya mji kwa bajaji
 
Imebarikiwa kwa upande wa hali ya hewa na udongo unayo- support kilimo cha mazao mbali mbali lakini pia uwepo wa misitu mikubwa kama sao hills inapelekea mkoa kuwa na mvua zisizo sua sua ,, so ukiangalia hivi ndiyo watu huvitafsiri kama baraka
Pia mji una hali bora sana ya usafi nadhani Iringa. Cbd ndio mji msafi kuliko yote Tanzania
 
Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
Kuna maisha rahisi sana huko...nyumba rahisi za tofali za kuchoma.
 
Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
"Cha mafinga" kinapatikana wapi?
 
Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
Mkuu vipi waganga wa huko?
Nasikia wapo vizuri
 
Natamani kupajua vizuri Kilolo. Hali ya hewa, shughuli za uchumi na mzunguko wa pesa
Hali ya hewa ni baridi sana ,, kwani kadri unavyoiacha iringa mjini kuelekea kilolo mwinuko wake huongezeka na kufanya wilaya ya kilolo kuwa na baridi zaidi ukilinganisha na iringa mjini

Shughuli kuu kwa kilolo ni kilimo ,, kilolo wanafanya kilimo cha miti kama vile pine kwa ajili ya mbao , gyms kwa ajili ya mbao na nguzo za umeme , milunda kwa ajili ya kusupport issue za ujenzi kama vile kutengenezea majukwaa na nk

Kilimo cha mazao , kama vile mahindi na maharage pia vinafanyika kwa wingi katika wilaya ya kilolo .

Pia Unaweza fanya kilimo cha matunda kama vile apples , pindigesi na mapeasi kwani hali ya hewa ya ubaridi ni very favourable kwa aina hizo za matunda .

Lakini pia shughuli za ufugaji pia zina fanyika kwa kiwango kikubwa tu ndani ya wilaya ya kilolo ,, kuna ufugaji wa ng'ombe wa maziwa mbuzi , kondoo na nk

Muzunguko wa pesa ni mzuri kwa kiasi chake ukichangizwa na biashara ya mbao iliyotamadadi kuanzia wilaya ya kilolo kuelekea ndani ndani mpaka kidabaga ,, kwani biashara ya mbao imekuwa ikiwavuta wafanya biashara wengi wanaofanya shughuli za ulanguzi wa mbao toka pande mbali mbali za nchi na kuchochea mzunguko wa pesa ndani ya kilolo lakini pia biashara mahindi , maharage na usafirishaji ni miongoni mwa biashara zinazochochea mzunguko wa pesa kuwa mkubwa ndani ya kilolo .

Asante natumaini nimejibu kwa namna fulani swali lako
 
Dah!Kumbe ni sehemu poa sana.
NB;Sijaona sehemu zangu za zamani.Kihodombi,Gungandembwe/Kigonzile,Kitakita msikitini,Isoka,Ipogolo kwa Mwagongo/Mlimani park/Panyaroads/Kitindini au Mkimbizi kwa Wachina,Mwang'ingo,Transforma na Mkwawa/Makanyagio bila kupasahau Kitwiru Kaloleni na kwa Nzigilwa.
Kigonzile huwezi kupakumbuka Tena ht kiwanja hupati🤣

Ila nimerudi nimekuta kumevafirika iringa imekua sana aisee
 
Hali ya hewa ni baridi sana ,, kwani kadri unavyoiacha iringa mjini kuelekea kilolo mwinuko wake huongezeka na kufanya wilaya ya kilolo kuwa na baridi zaidi ukilinganisha na iringa mjini

Shughuli kuu kwa kilolo ni kilimo ,, kilolo wanafanya kilimo cha miti kama vile pine kwa ajili ya mbao , gyms kwa ajili ya mbao na nguzo za umeme , milunda kwa ajili ya kusupport issue za ujenzi kama vile kutengenezea majukwaa na nk

Kilimo cha mazao , kama vile mahindi na maharage pia vinafanyika kwa wingi katika wilaya ya kilolo .

Pia Unaweza fanya kilimo cha matunda kama vile apples , pindigesi na mapeasi kwani hali ya hewa ya ubaridi ni very favourable kwa aina hizo za matunda .

Lakini pia shughuli za ufugaji pia zina fanyika kwa kiwango kikubwa tu ndani ya wilaya ya kilolo ,, kuna ufugaji wa ng'ombe wa maziwa mbuzi , kondoo na nk

Muzunguko wa pesa ni mzuri kwa kiasi chake ukichangizwa na biashara ya mbao iliyotamadadi kuanzia wilaya ya kilolo kuelekea ndani ndani mpaka kidabaga ,, kwani biashara ya mbao imekuwa ikiwavuta wafanya biashara wengi wanaofanya shughuli za ulanguzi wa mbao toka pande mbali mbali za nchi na kuchochea mzunguko wa pesa ndani ya kilolo lakini pia biashara mahindi , maharage na usafirishaji ni miongoni mwa biashara zinazochochea mzunguko wa pesa kuwa mkubwa ndani ya kilolo .

Asante natumaini nimejibu kwa namna fulani swali lako
Pia omba msaada kwa akina sie ili mambo yaende sawa. Kilolo ni kubwa na tamu sana. Kuazia Bomalang'ombe, kidabaga, lulanzi,kitowo, pomerini, njoo iringa yenyewe. Pawaga, kidamali, magubike. Kalenga, Ifunda, kiponzero,. Malangali, Nkororo, Kate huko kuna hela siyo mchezo. Ndala inguluvi ya tumatite lunofu. Kamwene iringa yote
 
Back
Top Bottom