Pajue Iringa kwa kupitia picha

Pajue Iringa kwa kupitia picha

Safi Iringa na mbeya ni ulaya ya Tanzania napapenda sana , na makazi yangu ya kula uzee nimeyaweka huko Iringa misituni🤣🤣 ngoja nisake tu mtoto mzuri nifie kinenani kwake huko iringa ERoni 🤣🤣
Iringa ni pazuri sana mkuu, nilisoma huko zamani..hali ya hewa ni kama ulaya tu.
 
Mkuu punguza kusema ukweli huyo ni mwenetu ujue🤔
Amenishangaza kutueleza kwamba "Kulilinga" ni linear settlements!Tour guide wake huwa hampeleki kushoto ndanindani wala kulia machimboni.Kwa kumbukumbu zangu,nimepita Iringa mwaka 72 na nilifurahi kuona kuanzia punda, pundamilia hadi pundawaliaji.Sasa yeye ni mkosa-macho au mkosa-mali?
 
Ungetetea hoja yako kimashiko. Njombe ukifika kuna hotel na Lodge kali sana na zipo sehemu nyingi na Bar kali sana. The same Mbeya. Unapelekwa sehemu unaambiwa hotel bei ya chini 80k unaenjoy. Lakini sio Iringa. Sana sana utaambiwa kuna kitimoti bora na bei chee CCM...
Komenti nambari 43 says it all in general.
 
Ungetetea hoja yako kimashiko. Njombe ukifika kuna hotel na Lodge kali sana na zipo sehemu nyingi na Bar kali sana. The same Mbeya. Unapelekwa sehemu unaambiwa hotel bei ya chini 80k unaenjoy. Lakini sio Iringa. Sana sana utaambiwa kuna kitimoti bora na bei chee CCM...
Basi kweli iringa hupajui aisee. Yan iringa iliyojaa watalii vile pakakosekane hoteli kali?? Hujawah hata kuisikia Sea view? Uliza akina Geofrey Mungai au akina masit au Hanspope au akina shambe upewe taarifa za mahotel yao iringa.
Fika gangilonga huko au wiloles .
 
Amenishangaza kutueleza kwamba "Kulilinga" ni linear settlements!Tour guide wake huwa hampeleki kushoto ndanindani wala kulia machimboni.Kwa kumbukumbu zangu,nimepita Iringa mwaka 72 na nilifurahi kuona kuanzia punda, pundamilia hadi pundawaliaji.Sasa yeye ni mkosa-macho au mkosa-mali?
72 shikamoo bro😁
 
Basi kweli iringa hupajui aisee. Yan iringa iliyojaa watalii vile pakakosekane hoteli kali?? Hujawah hata kuisikia Sea view? Uliza akina Geofrey Mungai aua akkna masit au Hanspope aua akina shambe upewe taarifa za mahotel yao iringa.
Fika gangilonga huko au wiloles .
Pale pale center town au nje ya mji kidogo?
 
Pale pale center town au nje ya mji kidogo?
HAwa akina Shambe familiy wana hotel kali 2 ziko centre baada ya kumaliza mshindo.
Huyu Geofrey Mungai ana zinga la dude liko Wilolesi huko ni nje ya centre.
Huyi Masit ana kitu hatari pande za Gangilonga.
Hanspope ana dudel lake centre mkabadala na Crdb bank karibu na ccm mkoa.
 
Basi kweli iringa hupajui aisee. Yan iringa iliyojaa watalii vile pakakosekane hoteli kali?? Hujawah hata kuisikia Sea view? Uliza akina Geofrey Mungai aua akkna masit au Hanspope aua akina shambe upewe taarifa za mahotel yao iringa.
Fika gangilonga huko au wiloles .
Sae Villa,Mount Royal,Alexander Hotels,Queen Esther,Sunset,Hilltop and all mazagazaga hakuona?Aniambie tu nitoke huku Bweri Musoma nije nimfanyishe utalii kwa Mwagongo,Mahaba niue, Bampa to Bampa,Hagafilo, Mwembechai,Ubena kilabu,Nzalalila,Mapanda au kwa Nzigilwa ndiyo panamfaa. NO WAY!
 
Habari zenu wana jamiiforum ,, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
Umenikumbusha mbali sana 1998
 
Dah!Kumbe ni sehemu poa sana.
NB;Sijaona sehemu zangu za zamani.Kihodombi,Gungandembwe/Kigonzile,Kitakita msikitini,Isoka,Ipogolo kwa Mwagongo/Mlimani park/Panyaroads/Kitindini au Mkimbizi kwa Wachina,Mwang'ingo,Transforma na Mkwawa/Makanyagio bila kupasahau Kitwiru Kaloleni na kwa Nzigilwa.
Isoka nilikaa Karibu na machinjio!
 
Back
Top Bottom