Pajue Iringa kwa kupitia picha

Pajue Iringa kwa kupitia picha

P
Kwa tako sijapaona nimekula Ice cream pale sana nikiwa mtoto. I wish pia kuiona Tosamaganga kwasasa inafananaje. Huu mkoa nina historia nao sana. Nimesoma na kuishi Iringa. Ahsante Mkuu, vipi na mmea mnalim
Picha zaidi zitawajieni kwasasa nimeanza ni hizo
 
Kaka jana uniliringishia mno tena nikiwa job kabisa , leo nakula vitu halafu siku inayofuata nipo off😅😅
Hongera sanaa,Jana Nilienda home na punch apple nimechanganya konyagi.

Weka kwenye fridge wife kaionja anakuja nifokea.. nikamwambia aache kiherehere akaenda imwagaa..

Saivi ntakua siendi nazo home.
 
FB_IMG_17454175413589086.jpg

Namna ulanzi unavyogemwa ( unavyovunwa /patikana ) mkoani iringa ,, mti utoao ulanzi unaitwa mwanzi na wingi wake ni mianzi hicho kifaa kinachoning'inia ni sehemu ya mwanzi iliyokatwa na kutengenezwa kitaalamu kabisa kwa ajili ya kukinga ulanzi toka kwenye mwanzi mchanga ( mwanzi ambao hujakomaa vizuri ) na kifaa hicho kwa hapa iringa ni maarufu kama " mbeta "
 
Ungetetea hoja yako kimashiko. Njombe ukifika kuna hotel na Lodge kali sana na zipo sehemu nyingi na Bar kali sana. The same Mbeya. Unapelekwa sehemu unaambiwa hotel bei ya chini 80k unaenjoy. Lakini sio Iringa. Sana sana utaambiwa kuna kitimoti bora na bei chee CCM...
FACT
 
Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
Hizo picha ungeziweka kwenye uhalisia wake ningekubaliana na wewe ila hapo naona picha zote ni edited full marangi fake Ili ipendeze sio?
 
HAwa akina Shambe familiy wana hotel kali 2 ziko centre baada ya kumaliza mshindo.
Huyu Geofrey Mungai ana zinga la dude liko Wilolesi huko ni nje ya centre.
Huyi Masit ana kitu hatari pande za Gangilonga.
Hanspope ana dudel lake centre mkabadala na Crdb bank karibu na ccm mkoa.
Nisawa unachoeleza,ila ukilinganisha na Njombe,Ir walichelewa uwekazaji wa mahotel ya watu binafsi km ulivyowataja hapo.
 
Ungetetea hoja yako kimashiko. Njombe ukifika kuna hotel na Lodge kali sana na zipo sehemu nyingi na Bar kali sana. The same Mbeya. Unapelekwa sehemu unaambiwa hotel bei ya chini 80k unaenjoy. Lakini sio Iringa. Sana sana utaambiwa kuna kitimoti bora na bei chee CCM...
Hapa pana ukweli. 😁😁😁
 
Hizo picha ungeziweka kwenye uhalisia wake ningekubaliana na wewe ila hapo naona picha zote ni edited full marangi fake Ili ipendeze sio?
Ntajaribu kupost na video ,, pengine utapata nafasi nzuri zaidi ya kuona uharisia wa huu mkoa
 
Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
Umesahau picha za uswahilini mkuu
 
Nimefika Wakwetu...
Kyo' amba kuda?
Mno wa kwetu kuna kenge hawajui mchango wetu kama chadema , na kuna wachaga wa hovyo kabisa kama kina mrema wa chadema , hao ni kenge , wasio wajua wanaona wana pesa hili
Li naumiza sana, mrema yule kenge wachadema wasaliti ana pesa gani?
 
Screenshot_20250423-194048_1745427054624.jpg

Mtaa wa uhindini (uwindini ) moja ya mtaa maarufu sana ,, Iringa mjini


Screenshot_20250423-194441_1745427120372.jpg

Upande wa pili wa mtaa wa uwindini ukitokea soko kuu la iringa
Screenshot_20250423-194917_1745427092684.jpg

Msikiti wa shia ismailli ,, moja ya msikiti maarufu unaopatikana mtaa wa uwindini ...
 
Back
Top Bottom