Pajue Iringa kwa kupitia picha

Pajue Iringa kwa kupitia picha

Bar kali na Lodge kali na watoto wazuri. Yaani Iringa ipo kama mshare. Ukitoka kule tunakoingilia round about ni kunyosha hadi juu njia ya Iringa hakuna varieties za ndanindani..
Huna hela za kutosha au huna tour guide mwema.
 
Kwa tako sijapaona nimekula Ice cream pale sana nikiwa mtoto. I wish pia kuiona Tosamaganga kwasasa inafananaje. Huu mkoa nina historia nao sana. Nimesoma na kuishi Iringa. Ahsante Mkuu, vipi na mmea mnalima?
Umesoma shule gani iringa. Mwaka gani?
 
Huna hela za kutosha au huna tour guide mwema.
Ungetetea hoja yako kimashiko. Njombe ukifika kuna hotel na Lodge kali sana na zipo sehemu nyingi na Bar kali sana. The same Mbeya. Unapelekwa sehemu unaambiwa hotel bei ya chini 80k unaenjoy. Lakini sio Iringa. Sana sana utaambiwa kuna kitimoti bora na bei chee CCM...
 
Back
Top Bottom