Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,152
- 18,097
Hapana mnama, ngi mchaka pure, mzee ni mmashamii plus maza ni oldmosh Ila tumehamia Tarakea ndo tunapoishi Ila kote nimeishiKyasaka note mkuu😆😆
Hapana mnama, ngi mchaka pure, mzee ni mmashamii plus maza ni oldmosh Ila tumehamia Tarakea ndo tunapoishi Ila kote nimeishiKyasaka note mkuu😆😆
Wewe devil 👿 😈 kwenu wap pazuri weka pichaa 😌😂😂😅Kubaya
Dah!Kumbe ni sehemu poa sana.
NB;Sijaona sehemu zangu za zamani.Kihodombi,Gungandembwe/Kigonzile,Kitakita msikitini,Isoka,Ipogolo kwa Mwagongo/Mlimani park/Panyaroads/Kitindini au Mkimbizi kwa Wachina,Mwang'ingo,Transforma na Mkwawa/Makanyagio bila kupasahau Kitwiru Kaloleni na kwa Nzigilwa.
min -me , Monetary doctor kumbe imetokea tume elewana humu sababu ya bloodline zetu..Hapana mnama, ngi mchaka pure, mzee ni mmashamii plus maza ni oldmosh Ila tumehamia Tarakea ndo tunapoishi Ila kote nimeishi
Naomba niwaunganishe urafiki na kaka MENEMENE TEKERI NA PERESI muwe marafiki wawili wapenda pombe. Yeah Iringa imetulia na ni nzuri, panapo uzima nitarudi kufanya utalii wa ndani. Ulishafika Ruaha National park wewe.Madam nimelewa hiyo ni kweli kabisa ila kwa Tanzania yetu hakuna mahali pa utulivu wa nafsi kama iringa na mbeya baadhi ya sehemu , unisamehe tu mimi ni mlevi tu😅😅
Kaka tule pombe tu , mimi ni kibosho tena familia ya mangi sina😅😅min -me , Monetary doctor kumbe imetokea tume elewana humu sababu ya bloodline zetu..
Na damu ya oldmosh hapo kibororoni😊😊
Mene tupo sekta moja ya afya japo kachagua fungu la kukosa🤣🤣🤣😅Naomba niwaunganishe urafiki na kaka MENEMENE TEKERI NA PERESI muwe marafiki wawili wapenda pombe. Yeah Iringa imetulia na ni nzuri, panapo uzima nitarudi kufanya utalii wa ndani. Ulishafika Ruaha National park wewe.
min -me sio mlevi Mimi na yeye ni wanywaji..hapa na konyagi ndogo 🍋 lemon water mdogo mdogo baada ya Majukumu ya mchana kutwaaa..Naomba niwaunganishe urafiki na kaka MENEMENE TEKERI NA PERESI muwe marafiki wawili wapenda pombe. Yeah Iringa imetulia na ni nzuri, panapo uzima nitarudi kufanya utalii wa ndani. Ulishafika Ruaha National park wewe.
Drink 🍻 beer save water.Mene tupo sekta moja ya afya japo kachagua fungu la kukosa🤣🤣🤣😅
Dada mbona huyu ni rafiki yangu muda tu .Naomba niwaunganishe urafiki na kaka MENEMENE TEKERI NA PERESI muwe marafiki wawili wapenda pombe. Yeah Iringa imetulia na ni nzuri, panapo uzima nitarudi kufanya utalii wa ndani. Ulishafika Ruaha National park wewe.
Bloodline mojaa.Kaka tule pombe tu , mimi ni kibosho tena familia ya mangi sina😅😅
Aseeh ndo maana tuna chemistry matata 😂👊...... Mkuu nawe ni meku 😂 kidamin -me , Monetary doctor kumbe imetokea tume elewana humu sababu ya bloodline zetu..
Na damu ya oldmosh hapo kibororoni😊😊
Kaka jana uniliringishia mno tena nikiwa job kabisa , leo nakula vitu halafu siku inayofuata nipo off😅😅Drink 🍻 beer save water.
Kumbe wewe mzaramo Kama ndege JOHNDada mbona huyu ni rafiki yangu muda tu .
Ni jana hapo nilikuwa najaribu kumuomba taratibu za kuwa mchaga ili hii tabia yangu iendane na kabila maana ,wazaramo walevi tunahesabika labda kwenye chuma ulete na viringe vya umbea na ushakunaku
Bantu Lady umeona sasa?Dada mbona huyu ni rafiki yangu muda tu .
Ni jana hapo nilikuwa najaribu kumuomba taratibu za kuwa mchaga ili hii tabia yangu iendane na kabila maana ,wazaramo walevi tunahesabika labda kwenye chuma ulete na viringe vya umbea na ushakunaku
Haswa japo mzaramo ninayeongea lugha kumi na sita za kikabila .Kumbe wewe mzaramo Kama ndege JOHN
Yeah ,, hizo ni picha za mitaa ya iringa ,, kwa leo niliona kwanza nipost hizi za utambulisho wa mji , sehemu ambazo mtu ukifika iringa basi ni lazima uzione kirahisi afu kadri muda unavyoenda tutakuwa tuna share na picha za mitaani sasa ,,Dah!Kumbe ni sehemu poa sana.
NB;Sijaona sehemu zangu za zamani.Kihodombi,Gungandembwe/Kigonzile,Kitakita msikitini,Isoka,Ipogolo kwa Mwagongo/Mlimani park/Panyaroads/Kitindini au Mkimbizi kwa Wachina,Mwang'ingo,Transforma na Mkwawa/Makanyagio bila kupasahau Kitwiru Kaloleni na kwa Nzigilwa.