Likiwa la CCM ndio la kweli... La upinzani siyo la ukweli. Ulishawahi kumsikia huyu padre akiongea vibaya kuhusu upinzani?Kuusema ukweli ni kuingilia ya "Kaisari?"?Hivi ni kweli huielewi hali ilivyo kwa waliowengi wanateseka kwa umaskini au unajitoa ufahamu? kweli anyebeba hela kwenye rumbesa wakati waliowengi wanakimbizana na matonge ya ugali unamtaka akuongoze kukupeleka wapi..Rejao jinsi wewe na wenzio mnavyochukulia mambo mnaitumbukiza nchi katika vita
Huyo jamaa namfahamu tangu miaka ya 90 siyo mnafiki!
Nakushangaa sana unapofananisha soccer which is a social issue na katiba ambayo ni issue za kisheria zenye politics ndani yake. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa na mwitikio wake ni tofauti kabisa.
Huyu padre inabidi akome na kuichambua biblia cuz guidance ya kazi zake za kila siku ni biblia na siyo katiba. Nimekwisha eleza huko juu kuwa anachofanya huyu fadha ni siasa za kipinzani na siyo mahubiri ya kiroho. Muda mwingi anautumia kuchambua siasa za Tanzania badala ya kuichambua biblia
Huwezi kumsifia mtu kwa kuachana na misingi ya kiapo chake cha upadre na kufanya mambo ambayo hayamuhusu. Siangalii kama kaisifia CCM au upinzani... Isssue ni kuwa anaingilia kazi isiyo yake.
Wote tunamfahamu kuwa huyu padre anatambulika kwa jina padri mwanasiasa wa kambi ya upinzani nchini amekwishawahi kupewa maonyo mbali mbali na viongozi wake ikiwa ni pamoja na kuzuiwa kufanya ibada lakin bado hakomi.Hapa mmnamshangilia lakin anajipalia mkaa wake mwenyewe. Akiendelea hivi ataishia pabaya
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari
Kama umewahi kumsikia huyu padri mahubiri yake sidhani kama ni agizo la Kanisa Katoliki, hayo ni matakwa yake mwenyewe ya kisiasa na siyo ya kiroho na hata vinginevyo. Huyu padre siku zote amekuwa akipandikiza kwa wananchi na waumini wake chuki, fitina na uchonganishi dhidi ya serikali yetu sikivu ili ajinufaishe yeye kisiasa.
We are all aware that huyu fadha role model wake ni padre wilbrod Slaa... Na sasa anaandaa mazingira ya kuingia kwenye ulingo wa siasa baada ya kuona upadre haulipi. Anaitumia vizuri sana forum ya ibada za jumapili kanisani kwake. Kwa hilo nampa hongera.
Likiwa la CCM ndio la kweli... La upinzani siyo la ukweli. Ulishawahi kumsikia huyu padre akiongea vibaya kuhusu upinzani?
Atakayeitumbukiza hii nchi kwenye vita ni huyu padre kwa uchochezi wake na wala si akina rejao
Mzalendo sababu yupo Chadema?
Mjinga sana huyu Padre,sasa si aseme tuchague chamagani!au tuchague chama cha padre mwenzake yule MZIZI slaa?MAPADRE na MAASKOFU wa RC walisababisha MAUWAJI ya KIMBARI kule RWANDA.tuwe makini.
Kwani na wewe ulisharudiana na mumeo baada ya kupora mume wa mtu?Mwambie Padre Mapunda amwambie Padre mwenzake Slaa aache kupora wake za watu.
Hawa mapadri ndiyo huwa wanaleta chokochoko za umwagaji damu kwenye nchi. Hivi yeye siasa inamuhusu nini? someni kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda hao hao ndiyo walikuwa wahusika wakuu.
Nikweli kabisa Ajuza hata alqueda Boko haramu na alshabaab makundi yote hayo ya kigaidi yanaongozwa na mapadriHawa mapadri ndiyo huwa wanaleta chokochoko za umwagaji damu kwenye nchi. Hivi yeye siasa inamuhusu nini? someni kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda hao hao ndiyo walikuwa wahusika wakuu.
Kwani wewe mume wako ni nani Padre Slaa au Padre Mapunda?Kwani na wewe ulisharudiana na mumeo baada ya kupora mume wa mtu?