Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,737
- 42,829
Huyu Askofu ni hatari kwa mustakabari wa taifa letu anaweza kuingiza nchi kwenye machafuko kama walivyofanya wenzake Rwanda.
acha chuki thamini content yake.
Huyu Askofu ni hatari kwa mustakabari wa taifa letu anaweza kuingiza nchi kwenye machafuko kama walivyofanya wenzake Rwanda.
kwani huyu padri hazipendi kucha zake???
Nabii yeyote haogopi!!kwani huyu padri hazipendi kucha zake???
I wish viongozi wengine wa Dini wangeiga mfano wa Padre Mapunda... Wapi Kilainisho?
sasa watampa nchi gani maana ,MAPUNDA ni jna la kitanzania kabisa yaani kwa kiingereza anaitwa donkeysHuyu padri watakuja kusema c mtanzania!!
Hivi unadhani viongozi wa dini wote wangekuwa wehu kamu huyu padri babtista hii nchi ingekalika??
Yes! Kwako ni Mwehu, kwetu ni katika viongozi wa dini wenye kujitambua! Nchi haikaliki haitawaliki kutokana na watu wachache sana kuendekeza Ufisadi na U-fascist wa kutumia vyombo vya dolla kuwatesa wanaharakati, wananchi wasiokuwa na hatia! Ponda anakosa gani hadi ateseke kiasi kile? Kile kiwanja cha Waislam kilichogeuzwa Dry Port ni halali? Ingekuwa ni RC ndo wameporwa kiwanja chao hali ingekuwaje? Dhulma dhidi ya Waislam, Wakristo na Wapagani zimezidi kutamalaki... CCM yafaa kuondolewa sasa ...