Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

Huyu Padre si angefuata mwenzake Slaa ijulikane moja.
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari



hivi katika misikiti unafundishwa mambo ya roho na mwili au ni mambo ya ahera tu.
 
huyu ni maarufu kama tunda la kanisa, wewe uliesema aache siasa umesahau kama politics is who get what when anda how, sasa kama watumishi wa mungu wasipowaelekeza kondoo njia salama unadhani watakuwa salama katika kumtumiakia mungu!!!
fikiria kabla hujasema neno hapa, keep it up padre mapunda a.k.a tunda la kanisa
 
watu wa Mungu kutousema uovu wa ccm hadharani ni sawa kuitafuta ghadhabu ya Mungu ilipo
 
Huyu Padre si angefuata mwenzake Slaa ijulikane moja.

yaani na wewe hapo ndiyo etc yako? mnaposema viongozi wawasaidie kuombea amani huwa mnatafuta amani gani?
 
Nilipata bahati ya kushiriki nae ibada ya asbh ya Jumatatu wiki hii,parokia ya Moyo mt. Yesu. Aliifanya siku yangu itakasike haswa,nadhani huyu ni mmoja kati ya wale wachache tuliobakiwa nao wenye kuitendea haki nadhiri yake.

Kanisa linao wajibu wa kuwapa elimu ya kimwili na kiroho waamini wake. Na ndicho padre Mapunda anacho kitenda kwa ajili ya wana wa Taifa Teule La Mungu ambalo watu wake wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
-Kilaini alivyokuwa anampigia debeJK 2005 alikuwa anahubiri mambo ya Mungu au siasa?

Ndio viongozi wenu wa kanisa hao.. Wala rushwa wakubwa na mafisadi. JK hakuwahi kumwomba Kilain ampigie kampeni.. Huyo kilain alifanya hayo kwa mahaba yake binafs
 
yaani na wewe hapo ndiyo etc yako? mnaposema viongozi wawasaidie kuombea amani huwa mnatafuta amani gani?



si kila anae amini katika kweli ,kuinena kweli na kuitenda kweli ni mfuasi wa vyama vya upinzani bali dhamira na utayari wa kuyahitaji maendeleo kwa watu wote
 
Naam Nyeusi iitwe Nyeusi kwa jina lake siyo rangi ya Waafrica...!!!

Asante Fr.Mapunda kwa ukweli wako hakika kanisa linajivunia uwepo wako.!!!

Ukweli Utakuweka Huru.

BACK TANGANYIKA
 
hivi katika misikiti unafundishwa mambo ya roho na mwili au ni mambo ya ahera tu.
Nyie Kanisani kwenu si mnafundishwa ufisadi kama viongozi wenu kina Askofu Kilaini mafisadi nyie wafuasi mtakuaje.
 
si kila anae amini katika kweli ,kuinena kweli na kuitenda kweli ni mfuasi wa vyama vya upinzani bali dhamira na utayari wa kuyahitaji maendeleo kwa watu wote



pamoja kaka. siku zote watu wagizani hawataki mwanga. ndiyo maana wakristu wanafukuza....... na wengine wanayapooza na kukaa nayo
 
Huyu Padri ni Mzalendo kweli kweli na ninampenda sana kukumbuka alivyo kuja Dar niliweka bandiko lake
 
Mjinga sana huyu Padre,sasa si aseme tuchague chamagani!au tuchague chama cha padre mwenzake yule MZIZI slaa?MAPADRE na MAASKOFU wa RC walisababisha MAUWAJI ya KIMBARI kule RWANDA.tuwe makini.
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari

Umerudi Rejao! Long time, hayo ya siasa kama angeisifia CCM ungemfagilia tu, ila kwa kuwa ameiponda, basi unawaza kuwa ni ya kaisari. Ngoja watu wafundishwe, tena amefanya vizuri kwenda kusemea huko kwao manake huko ndiko vitenge na kofia hugaiwa kwa bidii. Go Fr go, fungua akili za watu
 
Nyie Kanisani kwenu si mnafundishwa ufisadi kama viongozi wenu kina Askofu Kilaini mafisadi nyie wafuasi mtakuaje.

mbona nyie mnafundishana ugaidi misikitini mwenu je ni jambo geni kwako au Fr mapunda kuongoza waumini wake sehem mahala salama kwako ni kero? amani ya bwana iwe nawe
 
Mjinga sana huyu Padre,sasa si aseme tuchague chamagani!au tuchague chama cha padre mwenzake yule MZIZI slaa?MAPADRE na MAASKOFU wa RC walisababisha MAUWAJI ya KIMBARI kule RWANDA.tuwe makini.
Hawataki ufisadi wala kichaka chenu yani ccm maana nijanga hilo delete mafisadi delete ccm
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari

Pole mkuu umegushwa pabaya, huo ndo uhuru wa mawazo kwa hiyo acha dawa ikuingie.
 
Back
Top Bottom