Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

Acha dhihaka na post zenye kukejeli imani za watu wengine. Nchi yetu imefikia kufanya maamuzi au kuchagua viongozi kwa kuangalia dini zao na wala si weledi wa kazi husika. Hapa jukwaani mara nyingi unakuja kuitetea ccm huku ukitumia uislamu kama kinga kwa hoja za kipuuzi. Unaonekana hujui ama unafanya maksud kama hapa jf imekuwa sehemu ya kushinda viongozi wa siasa ambao sasa wamejikuta hawana uwezo wa kimaamuzi bali kutoa maamuzi na kuteua viongozi kwa mitazamo ya kidini. Leo hii mmefanya propaganda za kipuuzi kwa kutumia dini kama kinga mpaka kupelekea kufanya kwamba ccm ianze kuonekana ya kiislam na cdm ya kikristo. Upuuzi huo mnaoufanya hapa jukwaani umepelekea waislim kujiona hawatendewi haki na mfumo huu dhaifu mpaka wanajikuta wanadai mahakama ya kadhi, badala ya kupambana kuibana serekali iwapelekee waumini wao maji safi, umeme, elimu na afya bora inajitahidi serekali iwapatie mahakama ili washitakiane waache kudai huduma bora za kijamii. Sasa upuuzi wenu utawafanya waislamu wajivunie taasisi ya mashitaka kana kwamba waislam ni watu wasio na maadili huku ukiacha wakristu na wengineo wakikazana kuleta huduma muhimu za kijamii, kwani waisilamu watakuwa mahakamani kushitakiana.

Nikukanye kabisa, ukiingia hapa jukwaa la siasa changia kisiasa na sio kutumia uislamu kuharibu mada na kuleta fitina za kidini kwa maslahi ya kisiasa.

somo kalielewa akiwa mgumu atakuwa alifeli shule.arudi darasani
 
Ee MUNGU Wangu,naja Mbele Yako,natubu Dhambi Zangu Zote,nilipokea RUSHWA Ya PESA,PILAU,KITENGE,TISHETI Na MAKOFIA Nikachagua Chama Hiki,ambacho Sasa Kimenigeuka,kimefisadi Kila Mahali,nikiuza Bidhaa Kariakoo,makoroboi Navamiwa Na Mgambo Wanachukua Bidhaa Zng,nikawa Mama Ntilie Mgambo Wakataifisha Pilau Langu Wakapeleka Majumbani Kwao, Nikawa Bodaboda Nikakamatwa Kwa Kuingia Mjini Faini Laki 1,Nimehamia Kijijini Kujaribu Bahati,nikafanikiwa Kuwa Na Ng'ombe 1.Wakaja Mgambo Wakamchukua Kisa Sijachangia Ujenzi Wa Maabara!Wao Na ESCROW Yao Hawajawahi Kutangaza Wametoa Ngapi Kwenye Mishahara Yao Kuchangia Ujenzi Wa Maabara? Mtoto Wangu Nyarugusu Kafaulu Kwenda Chuo, Kakosa Mkopo, Mtoto Wa Mbunge Wangu Ambae Pia Ni Waziri AMEBAHATIKA Amepata Mkopo Wa 100%.EWE MUNGU Sikia Tubio Langu Hili,naomba Ukafanye Miujiza Yako 2015,Kila Fisadi Ukamtetemeshe Na Asiweze Kupita Kuwa Rais.Naomba Ukawaangazie Na Wenzangu Ambao Hawajaona Udharimu Huu.Angalia BIMA YA AFYA TUNAVYONYONYWA HAKUNA WA KUKE

amen asante kwa kitubio murua natumaini dua hii itasikika na kuwaeleweka sitarudia makosa mwezi 10.
 
somo la padre litafungua wengi mashekhe pia watumie utaratibu utakaofaa watoe dawa darasa kuhusu ufisadi na huu utawala wa dhulma dhidi ya ponda wanaofanya maccm
asiwepo asiye pata dawa na mafundisho ya kukemea ubadhilifu,usawa na uzalendo.
 
Hiyo single ya kupora mke wa mtu imeshachuja, tafuteni nyingine. kila siku ndiyo hiyohiyo???? ukweli wake uko wapi??kama una uchungu sana Slaa kapora mke wa mtu chukua wako mkabidhi aachane na dhambi hiyo.

sioni kama kuwaeleza waumini ukweli eti ni kuleta chokochoko na vita ya wenyewe kwa wenyewe, sidhani. kwa mtu kam padre mnamtegemea sana kwenye kuchunga kondoo wake, kwa kila namna. sasa nyie muwe mnawaua kondoo wake, mchungaji gani atafurahi? nyie mnaua halafu mnamwita aje asome vitabu vyake kuzika. akiwaambia msiue ni mchokozi??

zaidi sana aliyoyasema mapunda ni maoni ambayo kila siku tunayajadili kila mahali tukikutana iwe club,sokoni, na hata kazini watu wanajadili, tofauti tuu ni kwamba yeye kasema wengine wakikaa kumsikiliza.tofauti na sisi tunajadili barabarani kila mahali, ukikutana na watu kumi, basi ujue watu nane wanaongea hayo aliyoyasema Fr. Mapunda.
 
Mmmm hapana REJAO, Viongozi wa dini wanawajibu wa kuwasemea wananchi ile iliyo kweli, katika nyumba za ibada ndio sehemu pekee huwapo utulivu wa usikilizaji na tafakuri mjalabu ya kiroho na kimwili. Kama kiongozi atasema uovu huleta maafa makubwa na hakuna kiongozi mwingine wa kiserikali atakaye sikilizwa (mfano: Burundi na Rwanda), la kama ataongea ya kweli na kuwaweka wazi watakuwa na maamuzi sahihi kwa utaratibu(mfao: AfrikaKusini-Desmond Tutu). Kwasababu serikali yoyote iliyo madarakani haipendi kuumbuliwa ndiyo huanzisha vurugu kutimiza matakwa yake(mfano: Vurugu za Juzi CUF na Polisi).

Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari
 
Naomba kuuliza zaidi, hivi huyu ndiye Fr. Christian Mapunda aliyekuwa akipatikana katika kipindi kimoja cha Radio Maria mida ya saa 2 kasoro asubuhi?
cc: Ngalikivembu
 
Kwani IGP hajamwona jamani ili amkamate aone km kiti chake cha uaijipi hakitabinuka?..
 
Mwambie Padre Mapunda amwambie Padre mwenzake Slaa aache kupora wake za watu.

Na muambieni shehe amwambie sultam aache uzinzi sasa hivi hataugua tena tezi dume bali watamuoa
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari

ndg ww umepotoka kwelikweli hata pakiwemo dhuluma na kunyimwa haki viongoz wa dini wafunge midomo? La hasha kukemea uovu kutetea wanyonge kuelimisha na kutatua changamoto za maisha ni sehemu ya wajibu wa kiongoz wa dini
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari

Wewe ni moja ya watu wenye upeo mdogo sana, hata yesu mwenyewe alipambana na tawala dhalimu za kina herode, achen kukatisha tamaa watumishi wa Mungu wanaojitambua, ww unafkr ili miujiza kina fulani bila kuwakomboa watu kwenye makucha ya watesi wao kuna lolote la maana? kipi bora kuombea watu waache ufisadi au kuwaambia watu wasiwachague mafisadi? hum jf wengne mnatuzalilisha magreat thinkers wa kweli.
 
Huyu padri namfahamu vizuri toka miaka ya mwanzo ya 2000 huwa anaongea ukweli bila kupepesa macho,yaani nyeusi anasema nyeusi na nyeupe anasema nyeupe,anasemaga kweli na siku zote kweli humweka mtu huru.

sure, nimekuwa jimboni miaka kadhaaa huyu padri ni Desmond tutu wa Tanzania
 
Mwambie Padre Mapunda amwambie Padre mwenzake Slaa aache kupora wake za watu.

Mkuu. Bila shaka Slaa atakuwa ameiga kwa Muddy, yule aliyempora Aisha kale kabinti ka miaka 6.
 
Likiwa la CCM ndio la kweli... La upinzani siyo la ukweli. Ulishawahi kumsikia huyu padre akiongea vibaya kuhusu upinzani?
Atakayeitumbukiza hii nchi kwenye vita ni huyu padre kwa uchochezi wake na wala si akina rejao
CCM bana,mtu akiwakosoa au kuwaambia ukweli wananchi anaitwa mchochezi na mvunja amani ya nchi.Ila rais na mwenyekiti wenu anapotetea wezi na wakati huo huo akifukuza mawaziri wake na kubagua watanzania hadharani(aliyepokea milioni 40 yupo mahakamani,aliyepokea bilioni yupo uraiani)anadumisha amani na mshikamano wa Taifa letu.
 
Huyu padri namfahamu vizuri toka miaka ya mwanzo ya 2000 huwa anaongea ukweli bila kupepesa macho,yaani nyeusi anasema nyeusi na nyeupe anasema nyeupe,anasemaga kweli na siku zote kweli humweka mtu huru.

Anaumia hajapata mgao wa escrow
 
Back
Top Bottom