Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

Waislamu siku nyingi saana wamekuwa wakiipinga CCM misikitini na kwenye mihadhara mkasema wanachanganya dini na siasa au mmesahau jamani... Kama tungewaunga mkono waislamu kwenye harakati zao za kupambana na CCM basi siku nyingiii ingekuwa haipo!!! anyway kama na kanisani vita hii imeingia safi saana,, huyu shetani mweusi sasa hana pakukimbilia,,,, masheikh, mapadri,wachungaji CCM ni pepo lakukemewa mchana na usiku.
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari

Yani wewe unawazia na pale panapotoka kile kitu kizito kinachonukaga baaada ya chakula kupita kwenye utumbo, Mungu aliumba mwili na Roho, wachungaji wanakazi ya kutupa elimu ya mambo yote ya mwili na ya Roho kwa waislamu ni elimu dunia, elimu akhera. Kuanzia leo uwe unatumia ubongo kufikiri
 
huyu father ni mwiba sana kwa magamba
kUNA VIONGOZI WA DINI WAWILI TU AMBAO NI TISHIO KWA CCM NA SERIKALI
CCM HAIMUOGOPI SANA PADRI MAPUNDA LAKINI HUYO WA PILI BALAA!!!!!!!!!!!!!
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari
Kwanini Serikali isiache mambo ya Kiasari yawe ya kaisari kwenye Mahakama ya Kadhi?
 
Kama umekosa cha kusema nyamaza mbona samweli cta alikuwa mwekiti wa bmk aliwasema sana viongozi wa dini hamkusema ya kaisari mwachie kaisari inapifika kwenye mifupa yenu ndio hii misemo inakuwa na mashiko?mapunda kasema na wao wajiandae kuwapa kazi vijana wao wa kumteka lkn watz tumeisha hubiriwa
 
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari

walewale, hata wewe katiba hujaisoma..
..nina uhakika
 
Fr. Mapunda, namfahamu vizuri, ni-mtu anayeamini katika kweli na huwa haogopi kusimamia haki na ukweli. Alikuwa hapa Mwanza miaka ya 1996-2002. Nilikuwa sikosi kanisani kusikiliza mahubiri yake.

WENGI WAMEHONGWA!!! yeye hajahongwa kweli!!!!
 
Nyie Kanisani kwenu si mnafundishwa ufisadi kama viongozi wenu kina Askofu Kilaini mafisadi nyie wafuasi mtakuaje.

zile pesa za waarabu mnazopewa wanagawana masheikh ndio maana mnapigana kugombea u imam wa misikiti kumbe ni deal
 
Mjinga sana huyu Padre,sasa si aseme tuchague chamagani!au tuchague chama cha padre mwenzake yule MZIZI slaa?MAPADRE na MAASKOFU wa RC walisababisha MAUWAJI ya KIMBARI kule RWANDA.tuwe makini.
kilichosababisha mauaji Rwanda sio mapadre ni wanasiasa punguani wahhid
 
Ukichanganya na ile amri 11 ya God bless Lema kwamba "Usiwe ccm" hali inakua mbaya zaidi.
 
Kwanini Serikali isiache mambo ya Kiasari yawe ya kaisari kwenye Mahakama ya Kadhi?

Binafsi mimi sina tatizo na hiyo Mahakama ya Kadhi, nisichokitaka mimi ni kuwa sehemu ya kuchangia uendeshaji wa hiyo mahakama ya kadhi! Kodi yangu kuchangia kulipa mshahara kadhi ni sawa na kushiriki ibada zao, nimeshiriki ibada ya kuchinjiwa kitoweo kwa muda mrefu tangu udogo wangu bila kujua! Inatosha sasa wakitaka hiyo Mahakama ya kadhi waruhusiwe waiendeshe wenyewe kwa pesa zao halali, kwa maana hawawezi kuendesha kadhi kwa kodi zitokanazo na pesa haramu kama sigara, bia na nguruwe, pengine hata mauaji huo utakuwa ni unafki!
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Hata rwanda chokochoko zilianza hivi hivi, kwanini usiache watu wajiamulie wenyewe chama cha siasa?
Mapadri wengine vimeo wanaeneza chuki tu , na fujo ikianza mwambieni haitamuacha mpumbsvu mkubwa.
 
Huyu Askofu ni hatari kwa mustakabari wa taifa letu anaweza kuingiza nchi kwenye machafuko kama walivyofanya wenzake Rwanda.
 
Tunahitaji viongozi wakweli wawazi na majasili, tunahitaji mashekh, wachungaji, na wazee wote waheshima kuungana kukemea uzalilishaji, ukandamizaji na unyanyasaji mkubwa unaofanywa na sisiem, Haki ni tunda lamani ambayo ccm wanaikanyaga.

kazi kubwa ya viongozi wa dini nikuhakikisha watawala na wataliwaliwa wanatenda kwa mujibu wa haki, kweli na heshima.

amani ndiyo tunda la haki
 
Huyo jamaa namfahamu tangu miaka ya 90 siyo mnafiki!

alawahi kutibiwa kwa maradhi tanayotokana na ulevi wa pombe uliokithiri ni mfuasi wa white fathers kitengo cha roman catholic kinachotimiwa na majasusi ya nchi za magharibi.
 
Back
Top Bottom