Imekuwa bahati mbaya sana ukamkuta mke wako anazini kwa kutumia njia ya kinyume na maumbile... utamwacha au utamsamehe?Kabisa mkuu. Vijana wengi hawajui uzito wa kile kiapo. Wanafikiria vikao vya harusi na sherehe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejikita kwenye kujenga HOJA kumpinga ingependeza zaidi....tatizo kwako ni Upadri au Hoja iliyoletwa na Padri? Jifunze kujenga HOJA na sio kuattack watu usio wajua.Na niombe kusema, kinyume na anavyotuaminisha anayejiita padri, katika biblia imeandikwa, na alaaniwe yeye alalaye na mamaye au umbu lake always yeyote. So kuoa au kulala na ndg awaye yeyote ni dhambi yenye laana kuu. Hapa mke wa ndoa hayumo na wala si pornea kama anavyotuaminisha padri fake
Mshike sana elimu usimwache aende zake ....Theology inapo ipindua Biblia
Inabidi tumshawishi Father aje kuongea na umma wa huku. Ni mpenda mijadala yenye staha.Mimi ninachotaka kujiuliza katika majibu ya Padre ni je,
Wayahudi walimuuliza Yesu swali la ubishi wa marabi wawili kinzani au ni kwa nini Musa aliruhusu talaka?
Pili lazima ijulikane kuwa uasherati na uzinzi ni vitu viwili tofauti japo kimatendo ni moja.
Uasherati ni mahusiano ya kingono nje ya ndoa na
Uzinzi na mahusiano ya kingono nje kwa wanandoa.
Bwana Yesu katika Mathayo 19
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
.
Alimaanisha mwasherati ndiye anaeweza kuachwa katika wanandoa.
Mwanamke aliyechumbiwa na kulipiwa mahari alihesabika kuwa mke wa mtu japo hawajaruhusika kuishi pamoja. Na hili linakubalika na kwa ushahidi wa Mariam na Yoseph. Malaika akimwambia Yoseph usiache kumchukua mkeo..... na kwa wakati huo bado walikuwa hawajaruhusika kuishi maisha ya kujuana.
Ninachomaanisha hapa ni kwamba mwanamwali aliyechumbiwa na kulipiwa mahari ikibainika amevunja kiapo kwa uasherati wa kutembea na mwanamume mwingine ndiye Yesu aliyeruhusu kwamba aachwe.
Kwa habari ya uzinzi yaani baada ya wanandoa kuruhusika kuishi pamoja na kujuana hapo ndipo hatuoni mlango ulio wazi wa kuvunja ndoa. Na hii ndio kanuni kanisa linatumia kwamba hakuna talaka katika ndoa za kikristo.
Hata katika torati kijana wa kiume aliyefanya uasherati na kijana wa kike aliyechumbiwa adhabu yao ilikuwa ni kuuawa. Tofauti na uasherati uliofanywa na asiyechumbiwa, kjana alipaswa kumlipia mahari huyo mwanamke na kumwoa kwa ruhusa ya wazazi wa mwanamke. Na kama wazazi wa mwanamke hawakupenda huyo kijana mme kumuoa mtoto wao , walimlipisha gharama ya uharibifu na kumwacha aende zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uchumba huvunjwa na si kutolewa talaka. Talaka ni kwa walioona na si wachumba. Pia neno pornea linamaanisha mambo yote au dhambi zote za kingono haijalishi ni ndani ya ndoa, hujaoa, ngona na mnyama etc. Pornea kwenye agano jipya linaelezea dhambi za ngono. Sisi kwenye tafsiri tumelinarrow kwenye uasherati.Mimi ninachotaka kujiuliza katika majibu ya Padre ni je,
Wayahudi walimuuliza Yesu swali la ubishi wa marabi wawili kinzani au ni kwa nini Musa aliruhusu talaka?
Pili lazima ijulikane kuwa uasherati na uzinzi ni vitu viwili tofauti japo kimatendo ni moja.
Uasherati ni mahusiano ya kingono nje ya ndoa na
Uzinzi na mahusiano ya kingono nje kwa wanandoa.
Bwana Yesu katika Mathayo 19
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
.
Alimaanisha mwasherati ndiye anaeweza kuachwa katika wanandoa.
Mwanamke aliyechumbiwa na kulipiwa mahari alihesabika kuwa mke wa mtu japo hawajaruhusika kuishi pamoja. Na hili linakubalika na kwa ushahidi wa Mariam na Yoseph. Malaika akimwambia Yoseph usiache kumchukua mkeo..... na kwa wakati huo bado walikuwa hawajaruhusika kuishi maisha ya kujuana.
Ninachomaanisha hapa ni kwamba mwanamwali aliyechumbiwa na kulipiwa mahari ikibainika amevunja kiapo kwa uasherati wa kutembea na mwanamume mwingine ndiye Yesu aliyeruhusu kwamba aachwe.
Kwa habari ya uzinzi yaani baada ya wanandoa kuruhusika kuishi pamoja na kujuana hapo ndipo hatuoni mlango ulio wazi wa kuvunja ndoa. Na hii ndio kanuni kanisa linatumia kwamba hakuna talaka katika ndoa za kikristo.
Hata katika torati kijana wa kiume aliyefanya uasherati na kijana wa kike aliyechumbiwa adhabu yao ilikuwa ni kuuawa. Tofauti na uasherati uliofanywa na asiyechumbiwa, kjana alipaswa kumlipia mahari huyo mwanamke na kumwoa kwa ruhusa ya wazazi wa mwanamke. Na kama wazazi wa mwanamke hawakupenda huyo kijana mme kumuoa mtoto wao , walimlipisha gharama ya uharibifu na kumwacha aende zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nionavyo kuvunjwa na talaka ni kitu kile kile maana huwezi vunja kitu ambacho hakijawahi unganika kisheria. Ukizingatia kwamba katika sheria zile zilizokubaliwa katika uchumba hakuna kinachokuja ongezeka pale zaidi ya tangazo la kuruhusika kwenda kuishi pamoja.Mkuu uchumba huvunjwa na si kutolewa talaka. Talaka ni kwa walioona na si wachumba. Pia neno pornea linamaanisha mambo yote au dhambi zote za kingono haijalishi ni ndani ya ndoa, hujaoa, ngona na mnyama etc. Pornea kwenye agano jipya linaelezea dhambi za ngono. Sisi kwenye tafsiri tumelinarrow kwenye uasherati.
Ukitaka kuelewa kusudio la jambo fulani kuwekwa na Mungu inabidi usome kwa mapana kile alichosema kwenye maandiko tofauti ili upate ukamilifu wa fundisho la Mungu. Mume na mke ni mwili mmoja na kama Mungu anasema ni mwili mmoja iweje tena aruhusu kuwe na sababu ya kufanya mwili huo kutengana? Mantiki tu ya mwili mmoja ni kifungo kuwa hakuna kutengana.Mimi ninachotaka kujiuliza katika majibu ya Padre ni je,
Wayahudi walimuuliza Yesu swali la ubishi wa marabi wawili kinzani au ni kwa nini Musa aliruhusu talaka?
Pili lazima ijulikane kuwa uasherati na uzinzi ni vitu viwili tofauti japo kimatendo ni moja.
Uasherati ni mahusiano ya kingono nje ya ndoa na
Uzinzi na mahusiano ya kingono nje kwa wanandoa.
Bwana Yesu katika Mathayo 19
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
.
Alimaanisha mwasherati ndiye anaeweza kuachwa katika wanandoa.
Mwanamke aliyechumbiwa na kulipiwa mahari alihesabika kuwa mke wa mtu japo hawajaruhusika kuishi pamoja. Na hili linakubalika na kwa ushahidi wa Mariam na Yoseph. Malaika akimwambia Yoseph usiache kumchukua mkeo..... na kwa wakati huo bado walikuwa hawajaruhusika kuishi maisha ya kujuana.
Ninachomaanisha hapa ni kwamba mwanamwali aliyechumbiwa na kulipiwa mahari ikibainika amevunja kiapo kwa uasherati wa kutembea na mwanamume mwingine ndiye Yesu aliyeruhusu kwamba aachwe.
Kwa habari ya uzinzi yaani baada ya wanandoa kuruhusika kuishi pamoja na kujuana hapo ndipo hatuoni mlango ulio wazi wa kuvunja ndoa. Na hii ndio kanuni kanisa linatumia kwamba hakuna talaka katika ndoa za kikristo.
Hata katika torati kijana wa kiume aliyefanya uasherati na kijana wa kike aliyechumbiwa adhabu yao ilikuwa ni kuuawa. Tofauti na uasherati uliofanywa na asiyechumbiwa, kjana alipaswa kumlipia mahari huyo mwanamke na kumwoa kwa ruhusa ya wazazi wa mwanamke. Na kama wazazi wa mwanamke hawakupenda huyo kijana mme kumuoa mtoto wao , walimlipisha gharama ya uharibifu na kumwacha aende zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mstari wa pili ulivyoongea ni sahihi sana na hilo ndo nilitaka kuweka sawa lijulikane,Najua unapotaka kwenda, ila maana ya ndoa haitabadirika hadi hapo itakapobainika kulikua na nia tofauti. Sababu tu ya binaadam kutokuwa na uwezo wa kuyaona yaliyo jificha moyoni hiyo haindoiaana ya ndoa kuwa imeunganishwa na Mungu. Atakayefanya atapeli haina na heri iwe juu yake.
Hata katika maisha ya kawaida tinayaona kwamba sababu tu aliyeshinda mwingine akatangazwa mwingine, hiyo haiondoi aliyetangazwa kuendelea kutambulika na kuapishwa