kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Unataka utandikwe risasi za masaburi sio? Wewe endelea kukomaa na hawa hawa akina mwajuma wa buzaTafuta na namba zao utuwekee hapa.
Itapendeza zaidi
Unataka utandikwe risasi za masaburi sio? Wewe endelea kukomaa na hawa hawa akina mwajuma wa buzaTafuta na namba zao utuwekee hapa.
Itapendeza zaidi
We jamaa wewe! sikukuu gani? 😂😂😂😂Wamevaa magauni ya sikukuu! Safi saana
Cha mama yake.Ila wakuu hivi mme-zoom kiatu alichovaa huyo pacha hapo nyuma lakini?
Halafu vinavaa ' malapa' kweli hivi vitoto kama vya Nyashimo.Hela tu inawabeba. Hivi vya nyuma vibaya,vina sura ya kiume
View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Halafu vinavaa ' malapa' kweli hivi vitoto kama vya Nyashimo.
Hahahaha b Baba Mkwe kkaa kisharishari dahView attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Duh kanishinda kidogoKuna wa miaka 30,
Unataka utandikwe risasi za masaburi sio? Wewe endelea kukomaa na hawa hawa akina mwajuma wa buza
Wanawake bwuana, wakiwa sokoni 18-29 huwa hawashikiki, ngoja afike 30+, stress za kuolewa zinaanza na umri umeenda, huwa wanarudi wenyewe....Na engagement ring ya Ben anayo sasa hivi.
Sio malyaMbna wanaonekana kama wanatokea ngudu😊
Uhuni wake ni upi kiongozi😀😀😀Wanaonekana kama mabinti wa kanisa!
hao mapacha ni kama wameshika bible...
kumbe dingi lao bonge la huni
Nimejaribu kuangalia kwa umakini huyo binti wa katikati naona kama binti kavaa kiatu over size!!!?
Mkiatu kama wa Manzese!!!
Hahaha nilishangaa kwamba yule wa 15yo ndo wakwanza kweli?Kuna wa miaka 30,
Wamevaa magauni ya sikukuu! Safi saana
Mwamba hajaoa ila anakula bata na wanae.View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.