LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,958
- 5,564
Kufa... unasahaulika kabisaaachana na hizo style..ukute una mke anakubully na kukusengenya utakua umekufa kabisa
Kufa... unasahaulika kabisaaachana na hizo style..ukute una mke anakubully na kukusengenya utakua umekufa kabisa
DuhMbna wanaonekana kama wanatokea ngudu
Jigga na P Diddy wote ni 1969 na wanatofautiana mwezi mmoja tu by the way huyu msela kaanza kukamata pesa kitambo sana na ni moja Kati Watu wajanja sana.enzi hizo kina Jigga walikuwa wadogo kabisa na machawa wake
😄😄🤣🤣😂😂Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.
Mtafute mama Diamond wakati ana miaka 29 na stress na SASA hivi😁😁😁Wewe dada una nini lakini mbavu zangu
Halafu hata hivyo nimeshangaa kwa umri wa hao watoto na kwa tabia za black Americans wenye hela angekua na watoto wakubwa zaid ya hapoDiddy ametimiza miaka 51 mwaka huu.
imebaki kuwataja majina tu sasa😅51 uwe na stress ya kodi kwenye chumba na sebule unaonekana 71.
sisi watu wa africa😅😅 shehe kipoozeoChura hakuna kabisa yaani, maisha haya..!
vip mkemia😅😅😅 hujalipa pango. maana sio nyumba tenaDaaahh, Babu Asprin naomba muongozo hapa
Zile shikamoo ninazopewa na watoto huwa nazikataa kabisa, maana wao wanajua huyu ni mzeevip mkemia hujalipa pango. maana sio nyumba tena
Nimejaribu kuangalia kwa umakini huyo binti wa katikati naona kama binti kavaa kiatu over size!!!?
Mkiatu kama wa Manzese!!!
masikini miaka yetubinaenda kwa kuzidisha sio kujumlishaaZile shikamoo ninazopewa na watoto huwa nazikataa kabisa, maana wao wanajua huyu ni mzee
Cha mama yake🤣🤣Ila wakuu hivi mme-zoom kiatu alichovaa huyo pacha hapo nyuma lakini?
Wewe ni wa kuombewa na gwaji boy.Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.