Oscar De la Hoya Loses to Pacquiao

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Kwa wapenzi wa ngumi, najua dec 6 mlikuwa mkiisubiri kwa hamu na ndiyo hiyo inajongea, wengi tunatarajia kwamba hili ndilo litakalokuwa pambano bora la boxing kwa mwaka huu. Oscar De la Hoya "Golden Boy" (39-5) atakuwa akizichapa na mfilipino Manny "Pacman" Pacquiao (47-3-2) katika pambano lisilo la ubingwa katika uzani wa walterweight. Oscar (35) ambaye ni bingwa wa dunia katika uzito sita tofauti atakuwa akishuka uzito kwani pambano lake la mwisho alipigana katika uzito wa middleweight wakati Manny(29), ambaye ni bingwa mara nne katika uzani tofauti, atakuwa akipanda uzito kutoka lightweight.

Wengi wanatabiri kwamba De la Hoya atashinda mpambano huu kwa sababu ya size yake kubwa ukimlinganisha na Manny, advantage aliyokuwa nayo Manny kwenye hii fight ni his younger age and speed,wengi wanataraji atakuwa mzito kwa kuwa he has had to put weight on. I so want him to win but I wont be suprised at all if he loses.

NB:Amir Khan ,who has been sparring with Pacquiao, will be returning to the
ring on the night for the first time since his devastating demolision by the
powerful-dangerous colombian Breidis Presscot, wish him luck.
 
Golden Boy atamvuruga vibaya sana huyo Mfilipino....

Kila mtu ndio anavyosema hivyo but I think kutakuwa na big suprise, huyu mfilipino kila akishinda huko kwao ni public holiday, hakuna mtu anayelala hata kama anapigana saa 9 usiku!
 
...zama za De la Hoya zinaelekea ukingoni kama zilivyo 'kuchwa' zama za All time Greats wengine kina Hopkins, Roy Jones Jr, na very soon Mayweather.

Ukiona kina Chris Hatton, Joe Calzaghe na wengineo wanakimbilia Golden purse US box office, ujue kuna loophole hapo.

'Pacman' pamoja na kupandisha weight, bado anauwezo mkubwa wa kumuadhirisha Golden Boy, kama Steve Forbes (former Contender contestant) alivyosimama naye punch-punch all the way thru their last bout.

I bet on split points decision on De la Hoya favor, Just b'coz he's 'unpredictable'.

Amir Khan naye, ah...

Thanks God yule m-colombian alimpa reality check. Leo anauwezo mkubwa wa kusafisha tena jina lake.
 

Amir Khan naye, ah...

Thanks God yule m-colombian alimpa reality check. Leo anauwezo mkubwa wa kusafisha tena jina lake.

Huyu Amir Khan aachane na hii biashara ya kupigana na wanywa guiness na kebab, akiwanock out round ya kwanza anajiona mkaaali kumbe ni wapinzani dhaifu, aende akaishi US apigane na opponents wenye majina ndio tutajua uwezo wake halisi.
 
Dah! Aisee Pacman ka dominate kishenzi....nadhani ndio mwisho wa De La Hoya....
 
Mods,

Naomba mhamishe hii ipelekeni kule kwenye michezo. Mpambano umekwisha Manny Pacquiao wins over Oscar DelaHoya!
 

83940270.jpg


83940279.jpg


83940272.jpg


Manny Pacquiao (L) of the Philippines nails Oscar de la Hoya of US at the corner of the ring during their welterweights showdown at the MGM Grand Garden Arena in Las Vegas, Nevada, on December 6, 2008. Filipino boxing icon Pacquiao stopped Oscar de la Hoya after eight rounds, defying a disadvantage in size with a brutally dominant performance in their welterweight showdown.

83940465.jpg




box_g_pacquiao04_400.jpg
 
Last edited:
Haka kafilipino huwa kanachapa kweli kweli. Nilijua katamfumua sana huyu De la Hoya.


De La Hoya amekuwa anashindia jina zaidii, na sehemu kubwa ya ushindi wake huwa ni wa kubahatisha dakika za mwisho mwisho au kwa kupewa na majaji. Aliwahi kupigwa na kijana mmja wa Ghana lakini baadaye ushindi akapewa De la Hoya. Watu walipoonyesha kutoridhishwa na mateokea yale, de la Hoya akaulizwa kama angependa kurudiana ili ubishi uishe, akakataa kurudiana na hadi leo hajapambana tena na Mghana yule.
 
I hope De La Hoya ameweza ku manage hela zake vizuri maana Holyfield sasa hivi anaadhirika na kutia huruma.
 

...apart from Golden Boy,

wapenzi wa ngumi, hasa UK mmemwona self-proclaimed & hyped 'the next BIG thing after Lennox Lewis,' Audley Harrison alivyochapwa vibaya na Taxi Driver?

Amir Khan angalau naye kasafisha jina, kijana anaweza, sema kama alivyosema KKN, kipimo kizuri cha ubora wake ni atapozichapa US na mabondia wa maana, si hawa 'travellers'
 

...apart from Golden Boy,

wapenzi wa ngumi, hasa UK mmemwona self-proclaimed & hyped 'the next BIG thing after Lennox Lewis,' Audley Harrison alivyochapwa vibaya na Taxi Driver?


Hakuna bondia anayeudhi kama hili jamaa, siku hizi linapigana kwa mdomo tu akipanda ulingoni ni zero, cha kushangaza he is almost 38 and still talking about wining the world title!

NB:Rashid Matumla atakuwa akizipiga on Sky Sports one around 10pm hapa UK next friday.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom