Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Unajua kumbe! Ila unatakiwa ujue hata watoto wa baba mmoja hawalingani. Na hata urithi hawawezi kupata sawa, hata kupendwa hawapendwi sawa ingawa mzazi ni mmoja
............. kwa waislaam wototo wote urithi wao ni sawa ! hilo halina mjadala, kuchaguwa mtoto wa kumpenda ........... hiyo ni sifa ya kiibinaadam inaeleweka, lakini si sifa ya kiuungu ! Mungu sio msahaulifu, Mungu hujua ya kesho ! binaadam hana sifa hizo. Tia akili !:happy: