Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,494
- 16,680
Hapa sasa hivi tunajadili picha zinazohusiana na kifo cha Osama zilizotoka.Ikitoka na ya Osama tutaendelea.....
Inakuwaje maiti wote watatu wamekufa namna moja kwa kulala chali na wote wamelalia damu nyingi mno.Si lazima mtu atoke damu yote mwilini ndipo afe.Mmoja wapo amevaa kanzu safi kama kwamba alikuwa msikitini na si yule aliyeshtushwa na kishindo kikubwa cha vita.
Picha inayoelezwa ni ya Khalid Osama inaonekana kama kwamba imevimba hasa mikononi.Kwa taarifa zilizotoka haikuchukua muda mpaka askari wa Pakistan walipokuja kupekuwa ile nyumba.Huyu Khalid kama ni kupigana ndiye alikuwa mkali zaidi mbona hana dalili za kifo cha mtu aliyechoka.
Kuhusu picha ya mke wa Osama na hata hao maiti wote si lazima ziwe za 2 MAy 2011.Nijuwavyo vyombo vya usalama huwa vina rundo la picha za matukio mbali mbali.Inawezekana kama ni Khalid kweli ni ya zamani ilitunzwa tu ifae baadae.
Osama mwenyewe alikwishatenganishwa na ndugu na marafiki zake zamani.Taarifa za wake zake na watoto hakuna wa kuzitetea kwa kuzikulbali wala kuzikataa mbali na CIA na ISI.Huyu sheikh juhudi yake kubwa ilikuwa ni kujificha na kuombea dua vita dhidi ya Marekani na washirika wake.Hakuhitaji compyuter za ofisi wala mafaili.Na hivyo vya nini wakati dalili inaonekana alikuwa kifungo cha nyumbani chini ya ISI na CIA? mpaka hapo alipokufa yapata miaka 3 iliyopita.
Vyovtote iwavyo ISI ya Pakistan na CIA ni kitu kimoja na wanashiriki mchezo huo huo huku wakilindana kinamna.Makeke ya waziri wa mambo ya nchi za nje wa Pakistan ni makelele ya bure wala hajui kinachoendelea.Na Pakistan haina tena huo uwezo kujilinda na kutoa funzo kwa Marekani au taifa jengine likitaka kuingia na kufanya operesheni nchini mwake kama alivyojidai huyu waziri.Wangekuwa ni wakweli wangefanya hivyo au angalau kuwa pamoja na wanacnhi wao wenye ghadhabu wanaouliwa kila leo.Wangekatisha mahusiano na Marekani ndipo wangeeleweka.
Inakuwaje maiti wote watatu wamekufa namna moja kwa kulala chali na wote wamelalia damu nyingi mno.Si lazima mtu atoke damu yote mwilini ndipo afe.Mmoja wapo amevaa kanzu safi kama kwamba alikuwa msikitini na si yule aliyeshtushwa na kishindo kikubwa cha vita.
Picha inayoelezwa ni ya Khalid Osama inaonekana kama kwamba imevimba hasa mikononi.Kwa taarifa zilizotoka haikuchukua muda mpaka askari wa Pakistan walipokuja kupekuwa ile nyumba.Huyu Khalid kama ni kupigana ndiye alikuwa mkali zaidi mbona hana dalili za kifo cha mtu aliyechoka.
Kuhusu picha ya mke wa Osama na hata hao maiti wote si lazima ziwe za 2 MAy 2011.Nijuwavyo vyombo vya usalama huwa vina rundo la picha za matukio mbali mbali.Inawezekana kama ni Khalid kweli ni ya zamani ilitunzwa tu ifae baadae.
Osama mwenyewe alikwishatenganishwa na ndugu na marafiki zake zamani.Taarifa za wake zake na watoto hakuna wa kuzitetea kwa kuzikulbali wala kuzikataa mbali na CIA na ISI.Huyu sheikh juhudi yake kubwa ilikuwa ni kujificha na kuombea dua vita dhidi ya Marekani na washirika wake.Hakuhitaji compyuter za ofisi wala mafaili.Na hivyo vya nini wakati dalili inaonekana alikuwa kifungo cha nyumbani chini ya ISI na CIA? mpaka hapo alipokufa yapata miaka 3 iliyopita.
Vyovtote iwavyo ISI ya Pakistan na CIA ni kitu kimoja na wanashiriki mchezo huo huo huku wakilindana kinamna.Makeke ya waziri wa mambo ya nchi za nje wa Pakistan ni makelele ya bure wala hajui kinachoendelea.Na Pakistan haina tena huo uwezo kujilinda na kutoa funzo kwa Marekani au taifa jengine likitaka kuingia na kufanya operesheni nchini mwake kama alivyojidai huyu waziri.Wangekuwa ni wakweli wangefanya hivyo au angalau kuwa pamoja na wanacnhi wao wenye ghadhabu wanaouliwa kila leo.Wangekatisha mahusiano na Marekani ndipo wangeeleweka.