Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Wapuunzi wenzake ni mashujaa.gaidi ni mtu anegombani haki.g. Washington rais wa kwanza wa marekani alijulikana kama gaiidi kwa taifa la uingereza alipokuwa anapigania haki.kumbe kugombania haki unakuwa gaiidi.sasa osma alikuwa hagombani haki.kama osama ameuwa je bomu la hiroshima japan limeuwa watu laki mbili ulisikia marekani wakiitwa nmagaidi.iraq walisema kuna mabomu makubwa mbaka leo hayajaoneshwa.911 ilipangwa ili watu wajue marekani anajilinda bali anawinda!
 

1. Kama sheikh Osama ni hero kwako that's ok. Kila mtu ana personal hero wake

2. Mugabe, Kim Ill jong na wenzao kama wao ni mashujaa kwako ni sawa. Lakini jiulize mbona hawachukui hatua zozote kimatendo kuipinga US kama kule Libya, Afghanistan, Abotabad etc. kama kweli ni mashujaa basi wasiishie kupiga kelele na kuufyata mkia, waonyeshe vitendo. Nao watume majeshi ama silaha Libya, Afghanistan, abbotabad na kwengineko.

3. Kuna baadhi ya states zina death penalty na nyingine hazina. Hata Iran, Iraq, Saudia, Tanzania, China, N. Korea etc. nako wananyonga na bado ni UN members

4. Kama US wana kesi basi waambie UN, China, Russia, N Korea waishtaki ama waiwekee vikwazo.

Shukran
 
Kuna utata mwingi kwenye suala zima. Hivi mtu fugitive anayetafutwa masaa 24 anaweza kupanga nyumba na kuishi na wake zake na watoto?. Pia aliyesema mipira ya watoto ikianguka ndani kulikuwa na mtu alikuwa anatoka na kuwalipa tu pesa watoto-huu nao ni utata mkubwa!. Huyo anayelipa pesa si angeokota tu hiyo mipira na kuwarushia hao watoto!?. Kulikutwa na mipira mingapi humo ndani?. Habari nyingi zinakosa uzito but i think it is just a matter of time mwanga utapatikana.
 

Check red:
Ninavyowapenda wamarekani ni kwamba vifaa vyao vya kijeshi ni bora sana ila tatizo vikifika uwanja wa vita tu ndio hupata hitilafu na kuanguka, sijui tatizo hili litaisha lini???????????????
 
naungana na wewe lakini dubwana kama Osama sio la kuliamini inaweza likawa lilikuwa limejifunga mabomu muda wote....sasa hofu ndo hapo kwamba ukichelewa dakika moja tu hatari kwake hatari kwenu....

Haaaa haaaa aiseeeee umenivunja mbaaafuuuu! Kweli dubwana Usama sio la kuliamini kabisa!
 
haki ipi sasa?kwasababu bongo waliokufa wengi pale ubalozi walikua waislam!!mie mnaposema haki hata siwaelewi na mashambulio mengi wanayofanya hawa jamaa hayaangalii kwamba huyu mkristo au muislam!


Hata mimi huwa sielewi ni haki gani hiyo inayopiganiwa.
 
wasiwasi wako ni wangu pia,naona kama kuna fumbo flani hivi!najiuliza maswali mengi sana aisee
Mtu chake nahisi kuna zaidi ya hilo, let's wait and see
Msitake kulazimisha kitu ambacho hakipo, ebo mbona Mkapa hatokei popote anapoalikuwa na JK na hatuulizi? Bush kama Republican hataki kumpa ujiko Obama (democrat) especially kwenye kipindi cha kuelekea kwenye uchaguzi, Alishatoa press release na kutoa pongezi hiyo inatosha vile vile tangu ameondoka madarakani amekuwa haonekani sana hadharani.
 
Hata mimi huwa sielewi ni haki gani hiyo inayopiganiwa.
Utawaweza hawa, utasikia haki zake za kibinadamu zilivunjwa, sijui hawakuruhusu sheria ifuate mkondo.. Hivi watu wote waliofariki kwa sababu ya mabomu ya Al Qaeda walipewa vyote hivyo?
 
Check red:
Ninavyowapenda wamarekani ni kwamba vifaa vyao vya kijeshi ni bora sana ila tatizo vikifika uwanja wa vita tu ndio hupata hitilafu na kuanguka, sijui tatizo hili litaisha lini???????????????

Ni heri ya vifaa vya kimarekani kuliko mafeki ya wachina!!!
 
Hivi Bill Clinton alialikwa? Manake ugomvi na Osama ulianza kwenye utawala wake na balozi pamoja na USS Cole zililipuliwa yeye ndo akiwa raisi. Hata lile jaribio la '93 Clinton ndo alikuwa raisi. Sasa kwa nini watu wanamkomalia Bush?
 
Hivi Bill Clinton alialikwa? Manake ugomvi na Osama ulianza kwenye utawala wake na balozi pamoja na USS Cole zililipuliwa yeye ndo akiwa raisi. Hata lile jaribio la '93 Clinton ndo alikuwa raisi. Sasa kwa nini watu wanamkomalia Bush?
Sidhani kama Clinton alialikwa, hii ni non issue basi tu watu wanataka kuingiza siasa. Obama alitaka kupull move ya Reagan alipompa Carter ndege kwenda kuchukua mateka wakimarekani na kurudi nao nyumbani.
 
Osama: Umetuletea balaa na tafran kubwa huku ughaibuni. Kabla ya Sept 11 kila kitu kilikuwa shwaaaaaariiiiiiiii. Umeleta balaa za deportations, E-verify, kero za airport, FBI misikitini, sheria mpya za makaratasi kule INS kila kukicha etc.
Familia zimetenganishwa, marafiki wamekuwa deported etc. Mungu akuchome moto mara trillion moja. Ukawe kuni zetu kwenye moto wa kiama.
ROT AND ROT IN HELL, B-ASTARD USAMA!!
 
:israel:I like the way they are killing these rats.:israel:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…