Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Kwa kujadili hili tukio tutatia akili.Wale wanaosema tuhamie kwengine ni wale wavivu wa kufikiri na kutafuta ufumbuzi wa mambo.
Nimesoma revised story ya US kuhusu kifo cha Osama nahisi ndio kwanza utata unaongezeka.Lile jumba kama vile liko ndani ya kambi ya jeshi.Ilikuwa ni mzimu wa pamoja wa US na Pakistan.
Naendelea kuamini kwamba Osama ni marehemu zamani.Kama kuna mtu aliyatajwa kuuliwa basi ni mhanga mwengine wa operesheni hii.Haitokuwa rahisi kudadisi kwa watu wa kawaida na kujua ukweli kwani imeelezwa jumba limezungukwa na watu wa jeshi.Kwamba ilikuwa imetengwa na nyumba nyengine ni kuikosesaha jirani wa kutoa ushahidi juu ya jirani yao.
Watoto walio hai ambao imetajwa wanahojiwa bila shaka hawana asili ya Yemen au Saudia hivyo hakuna mtu atakayewatambua kama ni watoto wa Osama.Mkubwa wao ameuliwa.
Wanasema kulikuwa na wanawake wakijaribu kumhami Osama kwa kumzingira.Huo ulikuwa ni usiku mkubwa na tukio la kushtukiza,jambo hilo si rahisi kufanywa na mwanamke wa kawaida.Wangesema hao wanawake walizimia au walikuwa wakipiga mayowe sawa!.
Hii helkopta iliyoharibika baadae nani alikuja kuichukua?.Jeshi la Pakistan au wamarekani wenyewe?.
Uwezekano ni kuwa familia fulani ya kiCIA imetolewa kafara ili mchezo unoge.
Obama mwenyewe atakuwa kachezewa mchezo na mafreemasons au na wajomba zake mayahudi.Kwanini asitake kuuona mwili wa mtu aliyemuona ni adui mkubwa wa America angalau kwa sekunde chache ndipo ukatupwa baharini.Hajang'amua kwamba picha aliyokuwa akiangalia ni vidio fulani tu kutoka CIA?.
Makamanda waliomwamsha Obama usiku ashuhudie lile shambulio kwanini wasione umuhimu wa kumkabidhi mwili wa Osama halafu maamuzi mengine yakafanyika.Katika hizi stori haijaelezwa uamuzi wa kumtupa baharini ulifikiwaje na kwanini iliamuliwa iwe papo kwa papo.
Wanasema waliotoa taarifa ni wasaidizi wawili wa Osama mtu na nduguye ambao kwa ulofa wao walihisiwa hawangeweza kumiliki nyumba ile.Zaidi ya Osama katika lile jumba kulikuwa na familia nyengine tano.Walikuwa hawatupi takataka zao nje ya nyumba bali wakichoma moto tu.
Wanasema hiyo nyumba haikuwa na walinzi bali kuta nene tu.Wakati huo tangu waingie hapo ilikuwa ni vita tu.Nani walikuwa akipambana nao.
Hiyo nyumba ilikuwa haina simu wala internet,idadi ya kompyuter zilizokutwa na mafaili vya nini?.Labda waseme walikuta Laptop moja tu ya sheikh.
Osama katika hali ya uadui aliokuwa akiusikia umejengwa juu ya jina lake asingeweza kuwa na ofisi na mafaili nyumbani kwake.Nani hao angekubali waingie na kutoka nyumbani kwake kuchukua makaratasi na maelekezo?.Lazima wawe ni wale waliokuwa wakimlinda na haiwezi kuwa ni uamuzi wake.
Osama kwa nafsi yake alikuwa ni mtu mpole sana na hata kuzungumza kwa haya haya.Alikuwa na uelewa mpana wa athari za dunia kutawaliwa na wababe lakini mwenyewe hata bunduki kupiga kwa tabu.
Iwapo ushahidi wa Marekani kuhusu kifo cha Osama ni huu ni wazi kuwa aibu itawaandama na wamejimaliza.Iwapo wana ushahidi mwengine wanapaswa wautoe haraka kabla hawajachelewa na ikawa haiaminiki tena.Ndio maana muda mwingi niko kwenye net nikisubiri ushahidi mwengine.
Panetta: Bin Laden death photo to be released
nadhani siku watakayo toa hizo picha ndipo mtakapo funga midomo
 
Na kwa kuongezea jingine ambalo pia kwenye sinema hii hata ndugu zake pia wamekaa hiyo maiti ya ndugu yao hii pia nayo inaleta utata kua hao ndugu zake hawakuridhika na maiti hiyo kama kweli ni ya Osama Bin Laden!
 
By AGENCIES

WHEN one of Osama bin Laden’s most trusted aides picked up the phone last year, he unknowingly led US pursuers to the doorstep of his boss, the world’s most wanted terrorist.

That monitored phone call, recounted on Monday by a US official, ended a years-long search for bin Laden’s personal courier, the key break in a worldwide manhunt, the American news agency, according to Associated Press.

The courier, in turn, led US intelligence to a walled compound in north-east Pakistan, where a team of Navy SEALs shot bin Laden to death.
Inside the US Central Intelligence Agency (CIA) team hunting bin Laden, it was clear that bin Laden’s vulnerability was his couriers.
He was too smart to let al-Qaeda foot soldiers, or even his senior commanders, know his hideout.
If he wanted to get his messages out, someone he trusted had to carry them.

After interrogating a number of captured al-Qaeda leaders, the CIA established that Abu Ahmed al-Kuwaiti was bin Laden’s trusted courier.

CIA, therefore, concluded that if they found al-Kuwaiti, they could find bin Laden.

It took years of work before the CIA identified the courier’s real name: Sheikh Abu Ahmed, a Pakistani man born in Kuwait. When they identified him, he was nowhere to be found and CIA sources did not know where he was hiding.
Bin Laden was insistent that no phones or computers be used near him.

So the eavesdroppers at the National Security Agency kept coming up cold.

Ahmed was identified by detainees as a mid-level operative who helped al-Qaeda members and their families find safe havens.

But his whereabouts were a mystery to US intelligence that, according to Guantanamo Bay documents, one detainee said Ahmed was wounded while fleeing US forces during the invasion of Afghanistan and later died in the arms of the detainee. But mid last year, Ahmed had a telephone conversation with someone monitored by US intelligence, according to an American official.

Ahmed was located somewhere away from bin Laden’s hideout when he had the discussion, but it was enough to help intelligence officials locate and watch Ahmed.

In August 2010, Ahmed unknowingly led authorities to a compound in the north-east Pakistani town of Abbottabad.
Intelligence officials had known about the house for years, but they always suspected that bin Laden would be surrounded by heavily armed security guards.

Nobody patrolled the compound in Abbottabad.

Nobody came or went out and no telephone or Internet lines ran from the compound.
The CIA soon believed that bin Laden was hiding in plain sight, in a hideout, specially built to go unnoticed.

By mid-February, the officials were convinced a “high-value target” was hiding in the compound.

John Brennan, Obama’s top counterterrorism adviser, said Monday:
“I was confident we had the basis to take action.”

Obama tapped two dozen members of the navy’s elite SEAL Team Six to carry out a raid with surgical accuracy.

Before dawn on Monday morning, two helicopters left Jalalabad in eastern Afghanistan. They entered Pakistani airspace using sophisticated technology intended to evade that country’s radar systems, a US official said.

The helicopters lowered into the compound, dropping the SEALs behind the walls. No shots were fired, but shortly after the team hit the ground, one of the helicopters came crashing down and rolled onto its side. None of the SEALs was injured and the mission continued uninterrupted.

The SEALs secured the rest of the property first, then proceeded to the room where bin Laden was hiding. A firefight ensued, Brennan said.

The courier, Ahmed and his brother were killed, officials said.

Then, the SEALs killed bin Laden with a bullet just above his left eye, blowing off part of his skull, another official said.
Using the call sign for his visual identification, one of the soldiers communicated that “Geronimo” had been killed in action, according to a US official. Bin Laden’s body was immediately identifiable.

DNA testing, a photo analysis by the CIA, confirmation on site by a woman believed to be bin Laden’s wife, who was wounded, and matching physical features such as bin Laden’s height, all helped confirm the identification.

US forces searched the compound and flew away with documents, hard drives and DVDs that could provide valuable intelligence about al-Qaeda, a US official said.

Bin Laden’s body was flown to the USS Carl Vinson in the North Arabian sea.

There, aboard a US warship, officials conducted a traditional Islamic burial ritual.

Bin Laden’s body was washed and placed in a white sheet. He was placed in a weighted bag that, after religious remarks by a military officer, was slipped into the sea.
 
Udhalilishaji wa aina hii ndio ambao Mungu haupendi na ambao kwa huo Marekani itapigika kwa laana ya Mungu na wala si silaha.
Hebu fikiria unapokufa mtoto na mke wako badala kufarijiwa wanawekwa rumande ati kuhojiwa.Ikiwa huo si ushenzi na unyama ni nini?


Waliokufa WTC na ubalozi wa Marekani Tanzania na Kenya ulikuwa sio ushenzi na unyama!!! Si bora hawajuwaua kama ambavyo yeye Osama alikuwa anawauwa watu wasio na hatia kisa Wamarekani!!!! Kama wanahojiwa ni sawa tu wanaweza kusaidia kupatikana kwa information nyingi za kigaidi. Ok!!
 
la msingi kauawa na dunia hainae tena. yale aliyoyafanya ndo yamemfikisha hapo. kwa wanaofurahia aliyoyafanya poleni ila kwa wale walioonja machungu ya matendo yake tutafurahia mwisho wake. Kundi lake litasambaratishwa ingawa naamini huo hautakuwa mwisho wa ugaidi duniani. matendo yao tayaendelea kuwepo kwa namna moja au nyingine ila kitisho cha al-qaeda ndo mwisho. inasilkitisha pia kuwa alikuwa hodari kuchagua watoto wa watu wengine na kuwatoa mhanga bila ya kutoa hata mtoto/mjukuu wake hata mmoja! Hii ina-defeat nia njema yoyote ambayo anajifanya kuwa nayo kwenye ajenda yake aliyopigania

au alishafariki dunia kitambo, US wakatafuta kaburi lake wakalikosa. Now, since once dead, always dead, wakaja na theory mpya ya kutengeneza hoax aliyotusimulia Obama juzi, wangechelewa tu kidogo British wangekuja na hoax yao kumpa ujiko Queen na Mjeshi Prince William ambaye alikataa kwenda honeymoon akavaa gwanda siku ya pili baada ya harusi, eti kwenda kwenye special asignment (kumkamata Osama - Afaghanstan?) mwenye kichwa haambiwi 'think'.
 
kwanini bin laden kazikwa baharini?wakati hao makafiri wanapinga dini ya kislamu na sheria zake.iweje leo wamzike mtu aliytikisa uchumi wao kwa heshima na kufuata mbdil4 ya kislam .na iweje wasambaze picha 2 na hizo zilitumika 2 years ago.hi propaganda za wayahudi.
 
Hitimisho sahihi ni kuwa OBL alikufa siku nyingi toka kipindi kile anasumbuliwa na maradhi ya Figo. Kilichotokea hapo Pakistani ninachohisi ni kuwa baada ya kifo cha OBL, familia yake (wake na watoto ) walipelekwa kuishi Pakistani na TALABAN. Sasa Serikali ya Pakistani nahisi inajua picha yote hiyo na hassa ukizingatia hapo kuna chuo kikubwa tu cha maofisa wa kijeshi wa Pakistani. Sasa kama ulivyosema ili kuimaliza picha hii ndio wameamua kutuletea usanii kama huu. Wajua Mungu anapotaka kuwaumbua wanafiki, huwaondolea busara zote na kuwajaza ujinga mtupu. Ndio maana serikali ya USA inatoa statement zinazokinzana kila mara juu ya tukio hili.
 
wewe upo dunia gani?
Marekani wamesema mpaka sasa haijarelease picha ya dead Osama.
Hiyo picha unayoisemea ilikuwepo photoshop muda mrefu

Picha wamesema wataweka kulingana na hali ya mambo-muislam akifa hawekwi hadharani (America walilaumiwa kuvuja kwa picha za Sadam Husein)
Mazishi ya muislam hayaitaji msikiti kama kitu cha lazima (Dua,osha,shuka nyeupe,ubao)

kwa taarifa yako sasa, muda huu marekani wanaanda movie maalum itakayoonesha yale yote yaliyosemwa na utaweza kuamini... subiri uone picha ukweli haupo, osama alishakufa ndugu yangu kwa ahadi ya mungu wake.
Utambue kuwa obama amepoteza imani kwa wamarekani wengi hivyo anataka kuirudisha kwa propaganda kama hizi.
 
kwa taarifa yako sasa, muda huu marekani wanaanda movie maalum itakayoonesha yale yote yaliyosemwa na utaweza kuamini... subiri uone picha ukweli haupo, osama alishakufa ndugu yangu kwa ahadi ya mungu wake.
Utambue kuwa obama amepoteza imani kwa wamarekani wengi hivyo anataka kuirudisha kwa propaganda kama hizi.
kweli tonatofautina kimawazo-kwa hio wewe hizi taarifa ulizipata wapi?
 
Kama kweli Watanzania tunaamini kuwa Osama alihusika na ulipuaji wa ubalozi wa US hapa kwetu na kujeruhi Watz wengi kuliko Waamerika na bado leo hii tunamtetea' binafsi napatwa na wasi juu ya uzalendo' utaifa na uelewa wa mambo ambao Watz walio wengi humu ndani wanadai kuwa nao
 
Ni elimu nzuri kwani haiko biased kwa kundi lolote. Hawa kina Ami ni minyororo tu ya ukoloni wa kidini ndiyo inayowasumbua. Watu kama hawa juwa wana majibu hata kabla ya kujua swali. Nawasamehe anyway


Kuna kundi la watu humu ndani wanataka habari fulani fulani za kuwasifia watu na chama fulani ukileta habari tofauti na maudhui wanayoyataka wao watakuambia crap na kejeli zisizo na maana. Nadhani ifike muda wajue kuwa sio kila mtu atakuwa na mtizamo sawa na wewe.
 
Kweli kabisa,na tunataka iwe hivyo ili tufungue ukurasa mwengine wa mjadala.Na hii ni hekima kuliko kujadili kitu chenye dalili ya usanii.
Kwa mfano kwanini auliwe sasa na alikuwa na kosa gani?.Tusubiri tuone.
Sasa wameshakwambieni hizo picha kwa sasa bado ni sensitive kutokana na gruesome waliomuacha nayo jamaa, hila zitakuja.

Na sioni sababu ya wao kutunga, hila bora uhamishie ushabiki wao kwa huyu jamaa 'Ayman al-Zawahiri'. Kufa kwa Osama sidhani ndio kuwa deter 'al-qaeda' kwanza huyo jamaa ni noma kushinda hata Obama maana aogopi huyu fujo anaonekana.

Osama his dead kubalini halafu mi nadhani mkitaka kupigana mabomu muwatafute wazungu na wahindi. Sisi waafrika na wachina si vita vyetu hivi.
 
Even if they officialy produce his photo no one will beliave it will just be another photoshopped.
If getting rid of the *supposed body AT SEA*isnt enough to tell even a brain damaged idiot that they are lyin their collective butt off*NOTHING WILL.
What is annoying is that people ARE going to swallow this BS again.then we will be arguing for a decade here if that was bin laden or not.
 
sasa uzalendo upi unaongelea wewe.wakati wanapiga iraq na sasa wanapiga libya hawalengi walengwa yani majeshi ya gaddafi.waliopata madhara iraq ni innocent na libya pia sasa ukiniambia uzalendo katika karne hi hamna.ther is nuthn like sm1 or people are being patriotic.hu uzalendo ni wa danganya toto.
 
Even if they officialy produce his photo no one will beliave it will just be another photoshopped.
If getting rid of the *supposed body AT SEA*isnt enough to tell even a brain damaged idiot that they are lyin their collective butt off*NOTHING WILL.
What is annoying is that people ARE going to swallow this BS again.then we will be arguing for a decade here if that was bin laden or not.
Mbona unaenda mbali sana umeshaambiwa mkewe alikaa mbele kujaribu kuzuia mashambulizi jamaa wakampa ya mguu mwenyewe chali sasa kwanza ungeanza kufuatilia ukweli huu.

Mi naamini ushenzi wa marekani watakuwa jamaa walimbabua risasi kisawa sawa na hizo picha atakuwa hatamaniki, kama ni photo shop labda kumremba marehemu, lakini sorry to say but he is no longer with us.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom