Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Sisi tuliozoea kuhojiana na watu huwa tunagundua uwongo kirahisi.Njia ya muongo ni fupi.Kwani Afghanistan wanakosema waliupeleka mwili wa Osama kuna bahari?

Hahahaha mliozoea kuhoji hahahahaha. Una digrii ya kuhoji? Hata ivo haibadili ukweli kuwa osama kafa
 

mmhhhh!!
 
Wamemuua, hawajampiga picha hata moja halafu wanasema eti wamemzika baharini.
Full changa la macho.

Akili mgando!!
Kama Osama wako yupo basi si ajitokeze na awaumbue wakina Obama ama atoe CD/DVD ama vijitapes vyake?
 
hata mkiandika mara ngapi osama kafa period.najua inakuuma kwasababu wewe ni mslamu.osama kafa halafu siku hivi akuna umbe ukijua english unaangalia habari
 
mi mwenyewe siamini........tutaaminije kwa kuambiwa tu......hebu tusubiri lazima kuna kitu kinakaangwa hapa
 
wamechakachua mauwaji haya,wamerakni wazuri kweli kwenye kuchakachua vitu
 


Nyie wengine ni akina Tomas ktk Biblia, haya picha hiyo.
 
Ure contradicting youself . Inakuwaje kitu kisicho na usichokipa umuhimu kiasi hicho unapata muda wa kutoa comment tena zaidi ya Nne. Na huko kwenye thread zinazongela issue ya theft of public monies unakochangia ni wapi?

Watu wa design hiyo hawakosekani katika kila jamii. Wanajifanya wao ni special.
 
Thanks for your comment but, kumbuka hawa jamaa walishatangaza kuwa Osama aliuwawa Torabora, usishangae kifo chake kikitangazwa tena 2020.
 
Mimi nimeangalia hamna picha zozote za kifo chake wala maiti....hawa US wanatuzuga. Kulikuwa na habari kuwa osama alifariki like 1 week ago kwa kifo cha kawaida, huenda hawa wamarekani wamedandia.

Kwa nini wamesema wamemzika chini ya bahari fasta fasta namna hiyo bila hata evidence yeyote ya kifo chake. Naona hapa cnn kuna mtangazaji mmoja kamkomalia correspondent mwingine wa state haouse kwenye hilo swala la evidence kama kweli wamemuua...jamaa analeta politics!
 
Saddam Hussein alinyongwa na serikali ya mpito ya Irak. Siku moja picha zitaleak tu kama zilivyoleak za Abu ghraib na kwingine.
 
2011 ni mwaka ambao hautasahaulika kwenye historia ya dunia hii....hasa kwa madikteta wa nchi za kiarabu na watu kama wakina Osama.
Hakika mwaka 2011 ni mwaka wenye usiri mkubwa sana kwa mungu wetu!....marais wanatimuliwa ikulu kwa nguvu za umma....na kwingineko magaidi wa kimataifa wanakufa kifo cha mende. Heeee mwenyezi mungu hatuwezi kupingana na wewe na endelea kufanya kile ulichopanga kufanya ndani ya mwaka 2011!.....Jina lako tunalitukuza daima na milele!
 


watanzania taaabuuu.. ndo nyie nyie mnao amini mpaka leo Balali hajafa....
 
Sidhani kama Marekani wamekulazimisha uamini,kama huamini au unaamini hiyo ni wewe tu na roho yako
 
Hivi nyie wana jf mbona mna2danganya kitoto hebu angalieni hiyo picha ni ya marehemu kweli!hii ni siasa bwana jamaa anatafuta umaarufu wa kuingia madarakani tena!edited hiyo ya picture sio ukweli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…