Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
mpaka sasa hivi habari zinachanganya changanya jinsi zinavyotoka japo inaonekana wana huakika wamemuua.

Haikuwa na haja Obama kutoa habari kama bado wajamaliza dna tests na hawako tayari kuonesha picha zake .

Ni habari nyeti hizi Mkuu AW, bila shaka walishaziangalia prons & cons za kutangaza mauaji ya Osama kabla ya kuwa na ushahidi wa kutosha na ushahidi huo kutolewa baadaye na pia kukaa na habari hizi (sijui kwa muda gani) mpaka hapo wapate uthibitisho 100% kwamba kweli waliyemuua ni Osama. Kama habari hizo zingevujishwa kabla ya kutangazwa na Obama basi ingekula kwa Obama tena kwa kiwango cha juu sana.

Wamarekani wasingemuelewa kabisa Obama kukaa na habari hizo kwa siku kadhaa bila kuwatangazia Walimwengu.
 
Hunijui wewe. Ungenijua wala usingeandika hayo mavi ya kuku.

I'm almost as American as they come.

Hakujui kabisa nadhani angekuwa kwenye lile jukwaa la US election 2008 angefahamu fika uliposimamia. Hahahahaha, some are celebrating some are angry why the damn guy got him, the mission to make him a one term has hit a pumpy road now.
 
Bei ya mafuta ishashuka by 2% baada kifo cha Osama , hawa jamaa wanajua kutuchezea sana kwenye bei za mafuta.
 
Kwani hizo mashine katengeneza Osama?.Mbona unataka kubebesha makosa watu yasiyokuwa yao!.

Hata kama hayo ndio mafunzo uliyokaririshwa madrasat, jaribu basi angalau kushirikisha ubongo wako unapojadili vitu na watu.
 
Hakujui kabisa nadhani angekuwa kwenye lile jukwaa la US election 2008 angefahamu fika uliposimamia. Hahahahaha, some are celebrating some are angry why the damn guy got him, the mission to make him a one term has hit a pumpy road now.

Afadhali wewe mwambie maana kubishana na watu walio wageni humu ni kazi si kidogo.
 
Awesome! Sasa ngoja niingie bookingbuddy.com ninunue tiketi yangu ya kwenda bongo....lol

Hahahahaha utalanguliwa tu! lol! Utaona leo na si ajabu wiki yote hii NYSE itakavyopaa kwa habari hizi za kuuawa Osama.
 
Hakujui kabisa nadhani angekuwa kwenye lile jukwaa la US election 2008 angefahamu fika uliposimamia. Hahahahaha, some are celebrating some are angry why the damn guy got him, the mission to make him a one term has hit a pumpy road now.

Therefore!?
 
Kumbe hata ulinganishaji wa DNA hawajamaliza? Unajua mimi nijuavyo haya mambo ya DNA yanachukuaga hata siku kadhaa. Sasa jamaa eti tunaambiwa wamemuua jana na kupata DNA match jana hiyo hiyo. Mweh!

Hapa Wamarekani bila kutoa conclusive proof itakula kwao. Watatengeneza a larger than life figure more than he already is.

wewe hujaelewa! Walipata information toka August 10. Itakuwa wamechukua muda kuhakikisha ni yeye. Alafu ndio wakamtandika! Sasa ni kumalizia confirmation tu!
Mbona unakuwa kichwa ngumu ivyo?
 
Naona msiba unataka kuwashukia Pakistan sasa lol, watu hawaamini kwamba hawakua wanajua mda wote kwamba Osama yupo Pakistan na mbaya zaidi kwenye maisha ya juu.
 
Hapa mkuu hatujuwani kwa sura, hapa tunajuwana kwa mitazamo tu mkuu, anza kuhesabu post zako ulizopost kwenye thread hii unavyojaribu kushindana na ukweli kwenye dunia ya kistaraabu ndio utagunduwa ulichoandika wewe ni mavi ya bata. Labda ndugu yangu wewe sio msafiri, Huyu shetani Osama amebadilisha utaratibu mzima wa maisha ya binadamu katika dunia ya leo, kuanzia kuomba viza za nchi za magharibi, airport sasa hivi tunasachiana mpaka matakoni,natumeletewa mpaka electronic finger print mashine, unafikiri dunia ya kistaraabu tunapaswa kudhibitiwa kiasi hiki! fikiria na dadisi kwa makini ndio utagunduwa ulichoandika wewe ni mavi ya bata. wewe mtu ambae haujawahi kuvumbuwa hata sindani ETI unafanya argument na CIA! kichekesho cha karne.

Usiamini kila kitu kinachosemwa na hawa watu wa Magharibi. Kwani CIA ni mungu?
Mpakaka sasa hakuna ushahidi wowote kwamba Osama ameuwawa.
 
Usiamini kila kitu kinachosemwa na hawa watu wa Magharibi. Kwani CIA ni mungu?
Mpakaka sasa hakuna ushahidi wowote kwamba Osama ameuwawa.

Kwani alikuwa na pacha wake! Hapo wangezidi kusumbuka kabisa
 
Afadhali wewe mwambie maana kubishana na watu walio wageni humu ni kazi si kidogo.

Sasa busara inaanza kukukimbia, wewe una uhakika gani kwamba mtazamo wako ndio sahihi na sio mtazamo wangu? always value to differ, William Malecela ni share holder wa hii forum, lakini yeye ni JF expert member tu, wewe huna hata share moja humu, lakini ni premium member, kuna prevalege unazipata wewe kama premium member lakini mmoja wa wamiliki wa mtandao huu hapati hizo prevalege. hoja sio member huyu amejoin lini, hiyo ni hoja dhaifu, hoja ni material gani mtu anapresent.
 
Usiamini kila kitu kinachosemwa na hawa watu wa Magharibi. Kwani CIA ni mungu?
Mpakaka sasa hakuna ushahidi wowote kwamba Osama ameuwawa.

I doubt of the image.......fabrication. I never make conclusion based on what they say, but based on proof beyond doubt. This is not first time to announce this, first was president Bush, few weeks later, a tape was release with a strong message form the same "dead" person Sheik Osam bin Laden
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom