VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Inawezekana anaamsha "jogoo" ambaye anagoma kuwika!
nakubaliana na wewe kwa hilo. Inawezekana alikuwa ana-jump start jogoo
Inawezekana anaamsha "jogoo" ambaye anagoma kuwika!
Hizi jamaa zimeambiwa zitoe uthibitisho kuwa waliyempata ni Osama , hilo linawashinda badala yake wanaleta habari za umbea, tabloid story.
wanaelewa watu wengi wanapenda hizi story za tabloid na watasahau kudai ushahidi wa kifo cha Osama.
Ivuga amesema hapo juu...ni propaganda inayokusudia kuundosha mjadala wa uthibitisho wa kifo cha Osama na kuwa soap opera Osama alikula nini,alivaa nii,alitumia viagara na bla bla nyengine.
Kesho watasema maiti ilifanyiwa uchunguzi na kuwa Osama alipenda Coca cola na Mcdonal meals na bugers!! Pia zilipakana US dolars nyingi katika chumba cha Osama
Pure soap opera, isnt it?
Hizi jamaa zimeambiwa zitoe uthibitisho kuwa waliyempata ni Osama , hilo linawashinda badala yake wanaleta habari za umbea, tabloid story.
wanaelewa watu wengi wanapenda hizi story za tabloid na watasahau kudai ushahidi wa kifo cha Osama.
Ivuga amesema hapo juu...ni propaganda inayokusudia kuundosha mjadala wa uthibitisho wa kifo cha Osama na kuwa soap opera Osama alikula nini,alivaa nii,alitumia viagara na bla bla nyengine.
Kesho watasema maiti ilifanyiwa uchunguzi na kuwa Osama alipenda Coca cola na Mcdonal meals na bugers!! Pia zilipakana US dolars nyingi katika chumba cha Osama
Pure soap opera, isnt it?
Mkuu umenena vema..Hizi jamaa zimeambiwa zitoe uthibitisho kuwa waliyempata ni Osama , hilo linawashinda badala yake wanaleta habari za umbea, tabloid story.
wanaelewa watu wengi wanapenda hizi story za tabloid na watasahau kudai ushahidi wa kifo cha Osama.
Ivuga amesema hapo juu...ni propaganda inayokusudia kuundosha mjadala wa uthibitisho wa kifo cha Osama na kuwa soap opera Osama alikula nini,alivaa nii,alitumia viagara na bla bla nyengine.
Kesho watasema maiti ilifanyiwa uchunguzi na kuwa Osama alipenda Coca cola na Mcdonal meals na bugers!! Pia zilipakana US dolars nyingi katika chumba cha Osama
Pure soap opera, isnt it?
Kabisapropaganda
Mimi naamini Osama alishakufa siku nyingi.Are you somehow suggesting Osama is still alive?
Kabisa
Hii kitu kama ingekuwa kweli wangetangaza mda mrefu kwani ni pigo kubwa kwa watu wanaofata amri zake kwa kutumia mgongo wa dini.
Kilichofanyika hapa kujaribu kuwa badilisha mawazo wafuasi wake kwamba huyu mtu mnae fuata amri zake kwa kutumia dini ni mshenzi tu.
Hapa kidogo naona wakuu wamechemsha na kama kweli basi wamechelewa kuleta hii habari kwani ingekuwa pigo kubwa sana kwa wafuasi wake.
Wangeendelea kusema basi watu waliokuwa kwenye hizo picha za porno waarabu,wazungu au weusi? Lol
Sasa ndio watu wanatakiwa kuwakiria hivyo kwamba ni washenzi binafsi na sio kuhusisha vitendo vyao na dini yao.wanatumia mgongo wa dini kuficha maovu yao na bahati mbaya wamefanikiwa kuwapotosha wengi ambao wamekataa kufikiria kwa undani zaidi.Al Qaeda wanauza Heroin/Opium kule Afghanistan kwaajili ya ku-fund operations zao nayo hiyo mtasema ni propaganda?
Porno, Unga, .....what next? Kumbe hapa hawa jamaa sio hata wacha Mola wana agenda zao za Lucifer
This is just a Psychological Warfare to discredit Osama bin laden and discourage his followers! They are trying to paint Bin Laden as a hypocrite .. a muslim leader who didn't walk the walk! They said they found some Coca cola and pepsi too.. while everybody knows that Osama hated the west to the point that he didn't drink Coca cola! So funny! They are fueling the conspiracy theories .. people will demand to see the porn movies to see if the actors are white, black or middle east people or maybe they are home-made movies made by Osama himself and his 3 wives!
Jamani jamani.Al Qaeda wanauza Heroin/Opium kule Afghanistan kwaajili ya ku-fund operations zao nayo hiyo mtasema ni propaganda?
Porno, Unga, .....what next? Kumbe hapa hawa jamaa sio hata wacha Mola wana agenda zao za Lucifer
Jamani jamani.
Hivi Al qaeda ni nani? Bofya hapa al Qaeda
Al qaeda na CIA wana uhusiano wa karibu sana kuliko wengi tunavyofikiria. Ni siri iliyowazi, google utaona uhusiano wao.
Marekani baada ya kuingia Afghanistan, opium production imezidi maradufu.
Bofya hapa How Afghanistan Invasion Worked for Opium Production | LFA
AFP: Mexico drug plane used for US 'rendition' flights: report
Unapozungumzia Al qaeda unazungumzia CIA na US gvt. Al qaeda ni chombo kinachotumiwa na US kufanyia ugaidi ili kupata visingizio vya kufanya long term agenda zao.
Kila US anapotaka kwenda kupavuruga, anatumia vikundi hivi anavyovianzisha na kuvitunza hadi pale wanapokuwa tayari kuvitumia kama "kondom".
Sipo hapa kumtetea Osama au yeyote anayefanya "udevil" kama unavyosema. Ninalojaribu kufanya hapa ni kuwatahadharisha watu na misinformation inavyofanya kazi duniani. Propaganda chafu.Whatever it is, Al Qaeda and Osama are devils